Saturday, May 4, 2013

COSAFA CUP 2013: KUANZA KUTIMUA VUMBI JULAI 6 TAIFA KATIKA MAKUNDI


Kwa mujibu wa Listi ya Ubora ya FIFA iliyotolewa Aprili 11 mwaka huu Waandaaji wa michuano hii  ndio imetumika kuamua Nchi zipi zitaanzia hatua ya Makundi na zipi zitaanza kucheza hatua ya Raundi ya Mtoano ya Robo Fainali.

Kulingana na mfumo wa Mashindano haya, Timu ambazo zitafungwa Robo Fainali nazo zitasonga kwenye Nusu Fainali yao maalum hadi Fainali yao na Mshindi wake atatwaa Ngao.
hivyo Washindi wa Robo Fainali watasonga na Bingwa kwenye Fainali ndie atatwaa Kombe rasmi la 2013 COSAFA CASTLE CUP.

RATIBA:HATUA YA MAKUNDI
6 JULAI 2013
14:30 Tanzania v Mauritius Nkoloma Stadium, Lusaka
17:00 Namibia v  Seychelles Nkoloma Stadium, Lusaka
8 JULAI 2013
14:30 Mauritius v Namibia Nkoloma Stadium, Lusaka
17:00 Tanzania v Seychelles Nkoloma Stadium, Lusaka
10 JULAI 2013
15:00 Tanzania v Namibia Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
15:00 Mauritius v Seychelles Nkoloma Stadium, Lusaka
KUNDI B:
-Kenya
-Botswana
-Lesotho
-Swaziland
RATIBA:
7 JULAI 2013
13:00 Kenya v Lesotho Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
15:30 Botswana v Swaziland Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
9 JULAI 2013
13:00 Lesotho v Botswana Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
15:30 Kenya v Swaziland Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
11 JULAI 2013
15:00 Kenya v Botswana Nkoloma Stadium, Lusaka
15:00 Lesotho v Swaziland Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
RAUNDI YA MTOANO:
HATUA YA ROBO FAINALI:
13 JULAI 2013
13:00 Zimbabwe v Malawi Nkoloma Stadium, Lusaka
15:30 South Africa v Group A winner Nkoloma Stadium, Lusaka
14 JULAI 2013
13:00 Angola v Group B winner Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
15:30 Zambia v Mozambique Godfrey 'Ucar' Chitalu 107 Stadium, Kabwe
TAZAMA TIMU HIZI KATIKA LISTI  YA UBORA FIFA
*Zambia 45
*South Africa 62
*Angola 94
*Zimbabwe 101
*Mozambique 106
*Malawi 109
*Tanzania 116
*Kenya 122
*Botswana  22
*Namibia 125
*Lesotho 156
*Swaziland 183
*Mauritius 189
*Seychelles 199