Monday, June 17, 2013

KOMBE LA MABARA NCHINI BRAZIL HISPAIN YAILAZA URUGUAY

Katika mechi ya kwanza ya ufunguzi  wa Michuano ya FIFa Kombe la Mabara inayochezwa huko nchini Brazil ambapo katika Kundi B mabingwa wa dunia Timu ya Taifa ya Hispain imefanikiwa kuibamiza Uruguay goli 2-1 kwenye mechi iliyochezwa katika uwanja wa Arena Pernambucho Mjini Recife.
Goli za hispain zilitiwa kimiani na pedro na Robert Soldado katika dakika za 20 na 32 huku bao la kufutia machozi kwa Uruguay imefungwa na mshambuliaji nyota wa Club ya Liverpool Luis Suarez dakika ya 88 ya mtanange huo huku Hispain ikitawala kwa kiwango cha juu.
Kwa upande wake Kocha wa Hisapin Vicent del bosque ametanabaisha kuwa ushindi huo wa mechi ya kwanza umewapa point 3 muhimu na kukiri walichoka katika kipindi cha mwisho kutoka na hali ya hewa ya joto.
MSIMAMO KUNDI B
NA
TIMU
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Spain
1
 1
0
0
 2
 1
 1
 3
2
Uruguay
1
 1
0
1
 1
 2
-1
 0
3
Nigeria
0
 0
0
0
 0
 0
  0
 0
4
Tahiti
0
 0
0
0
 0
 0
  0
 0

MSIMAMO KUNDI A
NA
TIMU
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Brazil
1
 1
0
0
  3
 0
  3
 3
2
Italy
1
 1
0
1
  2
 1
  1
 3
3
Mexico
1
 0
0
1
 1
 2
 -1
 0
4
Japan
1
 0
0
1
 0
   3
  -3
 0
 Juni 15
Brazil 3 Japan 0
Juni 16
Mexico 1 Italy 2
Saa 7 Usiku
Hispain 2 Uruguay 1
Saa 4 Usiku
RATIBA MECHI YA LEO JUNI 17
Tahiti vs Nigeria
Saa 4 Usiku
Uwanja – {Belo Holizonte}
JUMA TANO JUNI 19
Brazil vs Mexico
Saa 4 Usiku
Uwanja-{Fortaleza}
Italy vs Japan
Saa 7 Usiku
Uwanja- {Recife}