
Goli za hispain zilitiwa kimiani na pedro na Robert Soldado
katika dakika za 20 na 32 huku bao la kufutia machozi kwa Uruguay imefungwa na
mshambuliaji nyota wa Club ya Liverpool Luis Suarez dakika ya 88 ya mtanange
huo huku Hispain ikitawala kwa kiwango cha juu.
Kwa upande wake Kocha wa Hisapin Vicent del bosque
ametanabaisha kuwa ushindi huo wa mechi ya kwanza umewapa point 3 muhimu na
kukiri walichoka katika kipindi cha mwisho kutoka na hali ya hewa ya joto.
MSIMAMO KUNDI B
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
1
|
Spain
|
1
|
1
|
0
|
0
|
2
|
1
|
1
|
3
|
2
|
Uruguay
|
1
|
1
|
0
|
1
|
1
|
2
|
-1
|
0
|
3
|
Nigeria
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
4
|
Tahiti
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0
|
MSIMAMO KUNDI A
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
1
|
Brazil
|
1
|
1
|
0
|
0
|
3
|
0
|
3
|
3
|
2
|
Italy
|
1
|
1
|
0
|
1
|
2
|
1
|
1
|
3
|
3
|
Mexico
|
1
|
0
|
0
|
1
|
1
|
2
|
-1
|
0
|
4
|
Japan
|
1
|
0
|
0
|
1
|
0
|
3
|
-3
|
0
|
Juni 15
Brazil 3
Japan 0
Juni 16
Mexico 1
Italy 2
Saa 7 Usiku
Hispain 2
Uruguay 1
Saa 4 Usiku
RATIBA MECHI YA LEO JUNI 17
Tahiti vs
Nigeria
Saa 4 Usiku
Uwanja – {Belo
Holizonte}
JUMA TANO JUNI 19
Brazil vs
Mexico
Saa 4 Usiku
Uwanja-{Fortaleza}
Italy vs Japan
Saa 7 Usiku
Uwanja- {Recife}