NI FAINALI ya kukata na shoka hapo
Kesho katika dimba la uwanja wa wembley uliopo jijini london nchini uingereza
watoto wa baba mmoja kutoka ujerumani watavaana kucheza Fainali ya
Klabu Bingwa Ulaya ambapo Borussia Dortmund na Bayern Munich
watakukutana hapo kesho
Jumamosi Mei 25 na kila upande imejipanga kuhakikisha inaibuka na
ushindi hasa kisaikolojia
Hii ni mara ya kwanza kwa Klabu
za Germany kukutana Fainali ya UCL, hii itakuwa mara ya 4 kwa Klabu za
Nchi moja kukutana Fainali hizi.
Mwaka 2000, Klabu za Spain, Real Madrid
na Valencia, zilivaana, Mwaka 2003 AC Milan na Juventus za Italy
zilipigana na 2008 ni Man United v Chelsea za England.
Kwa Bayern Munich hii ni Fainali yao ya
10 ya Klabu Bingwa Ulaya wakiwa nyuma ya Real Madrid, waliofika Fainali
12, na AC Milan, Fainali 11,
Hii itakuwa Fainali ya 3 kwa Bayern ndani ya Misimu minne iliyopita lakini mara ya mwisho kutwaa Kombe la UCL ni Mwaka 2001.
Kwa Borussia Dortmund, hii ni Fainali ya Pili kwao ambapo walishinda ile ya kwanza ya Mwaka 1997.
Baada ya kutwaa Ubingwa wa Ulaya Mwaka
1997, Msimu uliofuata, 1997/98, Borussia Dortmund na Bayern Munich
zilikutana Robo Fainali ya UCL na Borussia kusonga kwa Jumla ya Bao 1-0.
KLABU ZA NCHI MOJA KUUMANA FAINALI ULAYA
KLABU ZA NCHI MOJA KUUMANA FAINALI ULAYA
1999/2000 Real Madrid 3-0 Valencia CF
2002/03 AC Milan 0-0 Juventus (AC Milan washinda kwa Penati 3-2)
2007/08 Manchester United 1-1 Chelsea FC (Man United washinda kwa Penati 6-5)
UEFA CUP
1979/80 VfL Borussia Mönchengladbach 3-2 Eintracht Frankfurt
WAPI WAMETOKA MPAKA KUFIKA FAINALI:
FAHAMU: -N: Nyumbani -U: Ugenini
BORUSSIA DORTMUND | BAYERN MUNICH |
KUNDI D: | KUNDI F: |
MSHINDI | MSHINDI |
-Ajax: 1-0 [N] 4-1 [U] | -Valencia: 2-1 [N] 1-1 [U] |
-Man City: 1-1 [U]] 1-0 [N] | -BATE Borislov:1-3 [U] 4-1 [N] |
-Real Madrid: 2-1 [N] 2-2 [U] | Lille: 1-0 [U] 6-1 [N] |
RAUNDI ZA MTOANO: | RAUNDI ZA MTOANO: |
-Donetsk: 2-2 [U] 3-0 [N] | -Arsenal: 3-1 [U] 0-2 [N] |
-Malaga: 0-0 [U] 3-2 [N] | -Juventus: 2-0 [N] 2-0 [U] |
-Real Madrid: 4-1 [N] 2-0 [U] | -Barcelona: 4-0 [N] 3-0 [U] |
DONDOO MUHIMU:
REFA:
-Nicola Rizzoli [Italy]
akisaidiwa na wenzake toka Italy Renato Faverani na Andrea Stefani na
Refa wa Akiba, Damir Skomina, wa Slovenia.
BALOZI MAALUM:
-Steve McManaman, Mshindi mara mbili wa UCL, ni Mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa England
SHERIA ZA FAINALI:
-Baada Dakika 90 kama Sare, zitachezwa Dakika za Nyongeza 30 na kama bado Sare ni Mikwaju ya Penati kuamua Bingwa.
-Kila Timu itakuwa na Wachezaji wa Akiba 7
-Kila Timu inaruhusiwa kubadili Wachezaji Watatu tu.
UWANJA: Wembley Stadium
-Ndio Uwanja wa Nyumbani wa Timu ya Taifa ya England.
-Ingawa ndio ilichezwa
Fainali ya UCL Mwaka 2011, UEFA imeuteua tena kwa kuadhimisha Miaka 150
ya uhai wa FA, Chama cha Soka England.
-Ni mara ya 7 kwa Wembley
kutumika kwa Fainali za Klabu Bingwa Ulaya nyingine zikiwa za Miaka ya
1963, 1968, 1971, 1978, 1992 na 2011.
-Katika Fainali za Miaka ya
1968 na 1978, Klabu za England zilitwaa Ubingwa kwa Mwaka 1968
Manchester United kuichapa Benfica Bao 4-1 na Liverpool kuifunga Club
Brugge 1-0 Mwaka 1978.
MATOKEO MICHIZO ZA HIVI KARIBUNI
[BUNDESLIGA PAMOJA NA DFB POKAL]
04/05/13 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 1
27/02/13 Bayern Munich v Borussia Dortmund 1 : 0
01/12/12 Bayern Munich v Borussia Dortmund 1 : 1
12/08/12 Bayern Munich v Borussia Dortmund 2 : 1
12/05/12 Borussia Dortmund v Bayern Munich 5 : 2
11/04/12 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 0
19/11/11 Bayern Munich v Borussia Dortmund 0 : 1
26/02/11 Bayern Munich v Borussia Dortmund 1 : 3
03/10/10 Borussia Dortmund v Bayern Munich 2 : 0
13/02/10 Bayern Munich v Borussia Dortmund 3 : 1
12/09/09 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 5
08/02/09 Bayern Munich v Borussia Dortmund 3 : 1
23/08/08 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 1
23/07/08 Borussia Dortmund v Bayern Munich 2 : 1
19/04/08 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 2
13/04/08 Bayern Munich v Borussia Dortmund 5 : 0
28/10/07 Borussia Dortmund v Bayern Munich 0 : 0
26/01/07 Borussia Dortmund v Bayern Munich 3 : 2
11/08/06 Bayern Munich v Borussia Dortmund 2 : 0
13/05/06 Bayern Munich v Borussia Dortmund 3 : 3
17/12/05 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 2
19/02/0 Bayern Munich v Borussia Dortmund 5 : 0
18/09/04 Borussia Dortmund v Bayern Munich 2 : 2
17/04/04 Borussia Dortmund v Bayern Munich 2 : 0
09/11/03 Bayern Munich v Borussia Dortmund 4 : 1
19/04/03 Borussia Dortmund v Bayern Munich 1 : 0
Ukitazama kuelekea mchezo wa kesho Bayen munich inanafasi kubwa kutwaa kombe hili lakini ukitazama zaidi timu hizi zinaupinzani wa hali ya juu hivyo timu ambayo itakuwa imejipanga na kufanya maandalizi mazuri basi inanafasi ya kutwaa ubingwa msimu wa UCL UEFA CHAMPION LIGI MSIMU WA 2012-2013
*FAHAMU NI BINGWA BAYERN MUNICH BUNDASLIGA
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
GD
|
PTS
|
1
|
Bayern Munich
|
34
|
28
|
4
|
1
|
94
|
18
|
82
|
92
|
2
|
BV Borussia Dortmund
|
34
|
19
|
9
|
5
|
80
|
42
|
41
|
66
|
MABINGWA WALIOPITA WA UCL
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||