SHIRIKISHO la soka Duniani FIFA Leo hii imetoa Listi ya Ubora Duniani na Mabingwa wa Dunia Germany wameendelea kushika Namba Moja huku Tanzania ikiporomoka Nafasi 2 na kukamata Nafasi ya 112.
Kulikuwa hamna mabadiliko yeyote ya Timu 7 za juu lakini England, iliyokuwa Nafasi ya 20, imepanda Nafasi 7 na sasa kukamata Nafasi ya 13.
Barani Afrika, Ageria imeendelea kuwa juu kabisa ikiwa Nafasi ya 18 baada kushuka Nafasi 3 ambapo Listi ya Ubora Duniani inayofuata itatolewa Tarehe 18 Desemba 2014.
20 BORA HII HAPA.
1.Germany
2.Argentina
3.Colombia
4.Belgium
5.Netherlands
6.Brazil
7.Portugal
8.France
10.Uruguay
11.Italy
12.Switzerland
13.England
14.Chile
15.Romania
16.Costa
Rica
17.Czech
Republic
18.Algeria
19.Croatia
20.Mexico