Baada ya kuipa mafanikio ya kutosha Bayern muninch Jupp Heynckes hatimaye amebainisha kuwa hataendelea kufanya kazi hiyo baada ya kuondoka kwa mabingwa wa soka barani Ulaya. Bayern wakiwa chini ya kocha huyo mwenye umri wa miaka 68 wamefanikiwa kumaliza msimu kwa mafanikio kwa kunyakuwa mataji matatu ya Bundesliga, DFB-Pokal na Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa mafanikio hayo Bayern imekuwa klabu ya saba barani Ulaya kufanikiwa kushinda mataji matatu mfululizo. Hatahivyo Heynckes ameamua kustaafu kufundisha baada ya nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa zamani wa Barcelona Pep Guardiola.
Sunday, June 16, 2013
FIFA YATANGAZA KUWA MZUNGUUKO WA TATU KUFUZU KOMBE LA DUNIA NI MWEZI SEPTEMBER.
SHIRIKISHO la Soka Dunia-FIFA limetangaza kuwa mzunguko wa tatu wa mechi za kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2014 pamoja na hatua ya mtoano kwa nchi za barani Ulaya itafanyika Septemba na Octoba mwaka huu. Ratiba kwa upande wa nchi za Afrika ambazo zitajumuisha washindi kutoka katika makundi 10 itafanyika Septemba 16 jijini Cairo, Misri ambapo nchini tano zilizo juu katika viwango vya ubora vya FIFA ndizo zitaongoza ratiba hiyo. Nchi nane zitakazomaliza katika nafasi ya pili barani Ulaya nazo zitapangiwa ratiba jijini Zurich, Switzerland Octoba 21 huku nchi nne kati ya zilizo juu katika viwango vya FIFA zikiongoza ratiba hiyo. Tanzania inajitupa uwanjani leo kuvukuzia nafasi ya kuingia katika ratiba hiyo kwa kupambana na Tembo wa Ivory Coast katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
SIMBA, YANGA, SUPER FALCOM HAZIENDI SUDAN KWENYE KAGAME:
KLABU za Tanzania hazitakwenda kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame inayofanyika kuanzia wiki ijayo mjini Kigali, Rwanda.
Hiyo inafuatia kuingiliana kwa taarifa za Serikali, awali ilielezea kuzizuiatimu hizo kwenda sudani kutokana na hali ya machafuko, na baadaye ikiziruhusu kwenda baada ya kuhakikishiwa usalama wa klabu hizo na Serikali ya Sudan kuwa zitapata ulinzi wa kutosha.
serikali ilitoa ruhusa kwa timu hizi baada ya kupata uthibitisho kutoka serikali ya sudani huku ukitazama mashindano haya yanaanza Jumanne june 18 ambapo club hazijafanya maandalizi yoyote ya safari.
mbali na hiyo haitoshi baada ya zuio la awali, CECAFA (Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati) likateua timu mbadala kuziba nafasi ya timu tatu za Tanzania.
aidha Timu za bongo kwetu tanzania zilizotarajiwa kushiriki michuano hiyo ni Simba SC, Yanga za Dar es Salaam na Super Falcons ya Zanzibar.
katika hali ya kawaida Sasamichuano hii ya Kagame mwaka huu, haikustahili kufanyika Sudan, ambako kila siku tunasikia watu wanauawa kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, lakini kutokana na sababu zake katibu wa CECAFA Musonye ameamua kuipeleka huko.
Hivyo mtandao huu umefanya mazungumzo mbalimbali za wadau wa michezo hapa nchini ambapo miongoni mwao wamezungumza katika hali ya kawaida endapo machafuko ya kitokea"
inaamaa vilabu vya tanzania ndio vitapata fursa ya kuwa chini ya uangalizi haya yote yanatokana kauli ya serikali ya sudani kuiandikia barua serikali ya tanzania kupitia wizira ya habari utamaduni na michezo kuwa timu za tanzania zitapata ulinzi wa kutoka katika michuani hiyo.
katika hali ya kawaida wadau wamesema haiingii akilini kuzipeleka timu na kwenda kuziangamiza katika nchi ambayo haishiwi vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hata hivyo katika hali ya kawaida inamaana vilabu vya tanzania ndio vyenye umuhimu katika suala la ulinzi vipi kenya na burundi pamoja na uganda vilabu hivi havihitaji ulinzi?".
Mbali ya yote michuano hii haikustahili kuchezwa Sudani kutokana na sababu ambazo kila mtu anazifamu vita za wenyewe kwa wenyewe ambapo kila siku tunasikia vurugu za hapa na pale.Tukumbuke michezo ni burudani na starehe ya aina yake endapo kutakuwa na vurugu za hapa na pale pasi furaha ya michezo inapotea kabisa Hivyo CECAFA kwa mara nyingine tena tulitazame hili.
RATIBA KOMBE LA KAGAME ILIKUWA HIVI:
KUANZIA JUNI 18 HADI JULAI 2, 2013 (EL-FASHIR NA KADUGLI, SUDAN)
TAREHE TIMU TIMU KUNDI/MUDA UWANJA
18.06.2013. TUSKER SUPER FALCON B - SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL HILLAL AL NASRI B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
19.06.2013. VITALOO PORTS C - SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
20.06.2013. YANGA SC EXPRESS C - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
20.06.2013. ELMAN FC APR FC A - SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
20.06.2013. SUPER FALCON AL NASRI B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
20.06.2013. TUSKER AL-SHANDY B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
21.06.2013. EL MERREIKH SIMBA SC A -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
22.06.2013. EXPRESS FC VITALOO C - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
PORTS YANGA SC C -SAA 10:00 JIONI EL FASHER
22.06.2013. AL NASRI TUSKER B - SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL SHANDY AL HILAL B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
23.06.2013 APR SIMBA SC A - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
EL MERREIKH ELAM FC A -SAA 10:00 JIONI
EL-FASHER
24.06.2013 AL NASRI AL SHANDY B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
SUPER FALCON AL HILLAL B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
24.06.2013. PORTS EXPRESS FC C -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
25.06.2013. VITALOO YANGA SC C -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
26.06.2013. AL SHANDY SUPER FALCON B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL HILLAL TUSKER B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
26.06.2012. SIMBA SC ELMAN FC A -SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
APR FC EL MERREIK A -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
27.06.2013. MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO
MAPUMZIKO
28.06.2013. (23) B2 VS C2 (24) B1 VS BEST Q UTATANGAZWA KADUGLI
28.06.2013. (25) C1 VS A2 (26) A1 VS B3 UTATANGAZWA EL-FASHER
30.06.2013. WNR 23 VS WNR 25 WIN 24 VS WIN 26 UTATANGAZWA
01.07.2013. MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO
02.07.2013. ILIYOFUNGWA ILIYOFUNGWA MSINDI WA TATU EL-FASHER
ALIYESHINDA 27 ALIYESHINDA 28 FAINALI
TAREHE | TIMU | TIMU | KUNDI/MUDA | UWANJA |
18.06.2013. | TUSKER | SUPER FALCON | B - SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL HILLAL | AL NASRI | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
19.06.2013. | VITALOO | PORTS | C - SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
20.06.2013. | YANGA SC | EXPRESS | C - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
20.06.2013. | ELMAN FC | APR FC | A - SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
20.06.2013. | SUPER FALCON | AL NASRI | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
20.06.2013. | TUSKER | AL-SHANDY | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI |
21.06.2013. | EL MERREIKH | SIMBA SC | A -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI |
22.06.2013. | EXPRESS FC | VITALOO | C - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
PORTS | YANGA SC | C -SAA 10:00 JIONI | EL FASHER | |
22.06.2013. | AL NASRI | TUSKER | B - SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL SHANDY | AL HILAL | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
23.06.2013 | APR | SIMBA SC | A - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
EL MERREIKH | ELAM FC | A -SAA 10:00 JIONI |
EL-FASHER
|
24.06.2013 | AL NASRI | AL SHANDY | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
SUPER FALCON | AL HILLAL | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
24.06.2013. | PORTS | EXPRESS FC | C -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
25.06.2013. | VITALOO | YANGA SC | C -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
26.06.2013. | AL SHANDY | SUPER FALCON | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL HILLAL | TUSKER | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
26.06.2012. | SIMBA SC | ELMAN FC | A -SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
APR FC | EL MERREIK | A -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER | |
27.06.2013. | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO |
MAPUMZIKO
|
28.06.2013. | (23) B2 VS C2 | (24) B1 VS BEST Q | UTATANGAZWA | KADUGLI |
28.06.2013. | (25) C1 VS A2 | (26) A1 VS B3 | UTATANGAZWA | EL-FASHER |
30.06.2013. | WNR 23 VS WNR 25 | WIN 24 VS WIN 26 | UTATANGAZWA | |
01.07.2013. | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO |
02.07.2013. | ILIYOFUNGWA | ILIYOFUNGWA | MSINDI WA TATU | EL-FASHER |
ALIYESHINDA 27 | ALIYESHINDA 28 | FAINALI |
NEYMA AFANYA MAMBO KATIKA KOMBE LAMICHUANO YA KOMBE LA MABARA-UFUNGUZI

MSHAMBULIAJI nyota mpya wa Fc Barcelona,Neymar jana alifanikiwa kung'arisha nyota yake katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mabara, akifunga bao la mapema dakika ya tatu wakati Brazil inailaza 3-0 Japan.
Mshambuliaj huyo nyota wa Brazil, alifunga kwa shuti la nje ya eneo la hatari, akiunganisha pasi ya Fred ambaye naye alipokea krosi ya Marcelo kwa kifua kwanza.
Ushindi huo unaiweka Brazil kileleni mwa Kundi A kwa pointi zake tatu. Italia na Mexico watamenyana leo katika mechi nyingine ya kundi hilo.
Kikosi cha Brazil jana kilikuwa; Julio Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Marcelo, Oscar, Gustavo, Paulinho, Fred/Jo dk81, Neymar/Lucas Moura dk74 na Hulk/Hernanes dk75.
Japan: Kawashima, Konno, Nagatomo, Uchida, Yoshida, Endo/Hosogai dk77, Honda/Inui dk88, Kiyotake/Maeda dk51,Kagawa, Hasebe na Okazaki.
LUCAS ASEMA SUAREZ AKIONDOKA NI PENGO KUBWA KWA LIVERPOOL

MESSI AMUACHA MARADONA KATIKA ORODHA YA WAFUNGAJI TIMU YA TAIFA
MSHAMBULIAJI nyota wa kimataifa wa Argentina na club ya fc barcelona Lionel Messi amemuacha nguli wa soka wan chi hiyo Diego Maradona katika orodha ya wafungaji kufuatia mabao matatu aliyofunga katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Guatemala ambao walishinda kwa mabao 4-0. Nyota huyo wa Barcelona alifungua karamu ya mabao katika dakika ya 15 ya mchezo kabla ya kuongeza lingine muda mchache kabla ya mapumziko huku bao la tatu akifunga katika dakika ya 52 na kufikisha jumla ya mabao 35 kwa timu ya taifa na kumuacha Maradona ambaye aliwahi kuifungia timu hiyo mabao 34. Akihojiwa mara baada ya mchezo huo Messi kama kawaida yake alidai kumzidi Maradona kwa mabao sio suala muhimu kwake kitu cha msingi ni kwamba walicheza kwa umoja ndio maana wamepata matokeo mazuri. Messi sasa anawakaribia nyota wengine wa nchi hiyo ambao ni Hernan Crespo huku bado akiwa na safari ndefu ya kumfikia kinara wa ufungaji wa nchi hiyo Gabriel Batistuta ambaye kipindi chake akiichezea Argentina alifunga mabao 56.
Subscribe to:
Posts (Atom)