Sunday, June 16, 2013

SIMBA, YANGA, SUPER FALCOM HAZIENDI SUDAN KWENYE KAGAME:

KLABU za Tanzania hazitakwenda kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame inayofanyika kuanzia wiki ijayo mjini Kigali, Rwanda.
Hiyo inafuatia kuingiliana kwa taarifa za Serikali, awali ilielezea kuzizuiatimu hizo kwenda sudani kutokana na hali ya machafuko, na baadaye ikiziruhusu kwenda baada ya kuhakikishiwa usalama wa klabu hizo na Serikali ya Sudan kuwa zitapata ulinzi wa kutosha.

serikali ilitoa ruhusa kwa timu hizi baada ya kupata uthibitisho kutoka serikali ya sudani huku ukitazama mashindano haya yanaanza Jumanne june 18 ambapo club hazijafanya maandalizi yoyote ya safari.
mbali na hiyo haitoshi baada ya zuio la awali, CECAFA (Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati) likateua timu mbadala kuziba nafasi ya timu tatu za Tanzania.
aidha Timu za bongo kwetu tanzania zilizotarajiwa kushiriki michuano hiyo ni Simba SC, Yanga za Dar es Salaam na Super Falcons ya Zanzibar.

katika hali ya kawaida Sasamichuano hii ya Kagame mwaka huu, haikustahili kufanyika Sudan, ambako kila siku tunasikia watu wanauawa kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, lakini kutokana na sababu zake katibu wa CECAFA  Musonye ameamua kuipeleka huko.
Hivyo mtandao huu umefanya mazungumzo mbalimbali za wadau wa michezo hapa nchini ambapo miongoni mwao wamezungumza katika hali ya kawaida endapo machafuko ya kitokea"
inaamaa vilabu vya tanzania ndio vitapata fursa ya kuwa chini ya uangalizi haya yote yanatokana kauli ya serikali ya sudani kuiandikia barua serikali ya tanzania kupitia wizira ya habari utamaduni na michezo kuwa timu za tanzania zitapata ulinzi wa kutoka katika michuani hiyo.
katika hali ya kawaida wadau wamesema haiingii akilini kuzipeleka timu na kwenda kuziangamiza katika nchi ambayo haishiwi vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hata hivyo katika hali ya kawaida inamaana vilabu vya tanzania ndio vyenye umuhimu katika suala la ulinzi vipi kenya na burundi pamoja na uganda vilabu hivi havihitaji ulinzi?".
Mbali ya yote michuano hii haikustahili kuchezwa Sudani kutokana na sababu ambazo kila mtu anazifamu vita za wenyewe kwa wenyewe ambapo kila siku tunasikia vurugu za hapa na pale.Tukumbuke michezo ni burudani na starehe ya aina yake endapo kutakuwa na vurugu za hapa na pale pasi furaha ya michezo inapotea kabisa Hivyo CECAFA kwa mara nyingine tena tulitazame hili.

RATIBA KOMBE LA KAGAME ILIKUWA HIVI:
KUANZIA JUNI 18 HADI JULAI 2, 2013 (EL-FASHIR NA KADUGLI, SUDAN)

TAREHETIMUTIMUKUNDI/MUDAUWANJA
18.06.2013.TUSKERSUPER FALCONB - SAA 8:00 MCHANAKADUGLI
AL HILLALAL NASRIB -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
19.06.2013.VITALOOPORTSC - SAA 10:00 JIONIEL-FASHER
20.06.2013.YANGA SCEXPRESSC - SAA 8:00 MCHANAEL-FASHER
20.06.2013.ELMAN FCAPR FCA - SAA 10:00 JIONIEL-FASHER
20.06.2013.SUPER FALCONAL NASRIB -SAA 8:00 MCHANAKADUGLI
20.06.2013.TUSKERAL-SHANDYB -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
21.06.2013.EL MERREIKHSIMBA SCA -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
22.06.2013.EXPRESS FCVITALOOC - SAA 8:00 MCHANAEL-FASHER
PORTSYANGA SCC -SAA 10:00 JIONIEL FASHER
22.06.2013.AL NASRITUSKERB - SAA 8:00 MCHANAKADUGLI
AL SHANDYAL HILALB -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
23.06.2013APRSIMBA SCA - SAA 8:00 MCHANAEL-FASHER
EL MERREIKHELAM FCA -SAA 10:00 JIONI
EL-FASHER
24.06.2013AL NASRIAL SHANDYB -SAA 8:00 MCHANAKADUGLI
SUPER FALCONAL HILLALB -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
24.06.2013.PORTSEXPRESS FCC -SAA 10:00 JIONIEL-FASHER
25.06.2013.VITALOOYANGA SCC -SAA 10:00 JIONIEL-FASHER
26.06.2013.AL SHANDYSUPER FALCONB -SAA 8:00 MCHANAKADUGLI
AL HILLALTUSKERB -SAA 10:00 JIONIKADUGLI
26.06.2012.SIMBA SCELMAN FCA -SAA 8:00 MCHANAEL-FASHER
APR FCEL MERREIKA -SAA 10:00 JIONIEL-FASHER
27.06.2013.MAPUMZIKOMAPUMZIKOMAPUMZIKO
MAPUMZIKO
28.06.2013.(23) B2 VS C2(24) B1 VS BEST QUTATANGAZWAKADUGLI
28.06.2013.(25) C1 VS A2(26) A1 VS B3UTATANGAZWAEL-FASHER
30.06.2013.WNR 23 VS WNR 25WIN 24 VS WIN 26UTATANGAZWA
01.07.2013.MAPUMZIKOMAPUMZIKOMAPUMZIKOMAPUMZIKO
02.07.2013.ILIYOFUNGWAILIYOFUNGWAMSINDI WA TATUEL-FASHER
ALIYESHINDA 27ALIYESHINDA 28FAINALI