Wednesday, February 12, 2014

REAL MADRID KUISUBIRI MSHINDI KATI YA REAL SOCIEDAD v BARCELONA LEO:

Nyota Mahiri Duniani Cristiano Ronaldo Jana Usiku Aliiwezesha Real Madrid kutingaFainali ya Copa del Rey baada ya kuibwaga Atletico Madrid  kwenye Mechi ya Marudiano ya Nusu Fainali iliyochezwa Estadio Vicente Calderon.
Penati hizo za Ronaldo zilipatikana katika Dakika ya 7 na 16 na kuwabwaga nje Atletico Madrid ambao ndio walikuwa Mabingwa Wateteza wa Kombe hili.
hivyo basi Real wametinga Fainali kwa Jumla ya Bao 5-0 baada kushinda Mechi ya Kwanza 3-0 huko Santiago Bernabeu Wiki iliyopita.
Kwenye Fainali Real itacheza na Mshindi wa Leo kati ya Real Sociedad na Barcelona ambao wanarudiana huko Estadio Anoeta huku Barcelona wako mbele kwa Bao 2-0 walizopata huko Nou Camp Wiki iliyopita.
COPA_DEL_REY-FP
COPA del REY
NUSU FAINALI
[Saa za Bongo]
Marudiano
Jumanne Februari 11
Atletico de Madrid 0 Real Madrid CF 2 [0-5] [Estadio Vicente Calderon]
Jumatano Februari 12
24:00 Real Sociedad v FC Barcelona [0-2] [Estadio Anoeta]
FAINALI
Aprili 19
Real Madrid v Real Sociedad/Barcelona

KAZI IPO LEO ARSENAL VS MAN UNITED-UWANJANI EMIRATES

Jumatano Februari 12

2245 Arsenal v Man United

2245 Everton v Crystal Palace

2245 Man City v Sunderland

2245 Newcastle v Tottenham

2245 Stoke v Swansea

2300 Fulham v Liverpool

MSIMAMO:

NA TIMU P W D L F A PTS GD
1 Chelsea FC 26 17 6 3 48 21 27 57
2 Arsenal FC 25 17 4 4 48 26 22 55
3 Man City 25 17 3 5 68 27 41 54
4 Liverpool 25 15 5 5 63 30 33 50
5 Tottenham 25 14 5 6 32 32 0 47
6 Everton FC 25 12 9 4 37 26 11 45
7 Man United 25 12 5 8 41 31 10 41
8 Southampton 26 10 9 7 37 29 8 39
9 Newcastle 25 11 4 10 32 34 -2 37
10 Swansea 25 7 6 12 32 35 -3 27
11 Hull City 26 7 6 13 25 31 -6 27
12 West Ham 26 7 7 12 28 33 -5 28
13 Aston Villa 26 7 7 12 27 36 -9 28
14 Stoke City 25 6 8 11 26 40 -14 26
15 Crystal Palace 25 8 2 15 18 34 -16 26
16 Norwich City 26 6 7 13 19 39 -20 25
17 West Brom 26 4 12 10 30 38 -8 24
18 Sunderland 25 6 6 13 25 38 -13 24
19 Cardiff City 26 5 7 14 19 44 -25 22
20 Fulham FC 25 6 2 17 24 55 -31 20

RATIBA MECHI ZIJAZO:

Jumamosi Februari 22

1545 Chelsea v Everton

1800 Arsenal v Sunderland

1800 Cardiff v Hull

1800 Man City v Stoke

1800 West Brom v Fulham

1800 West Ham v Southampton

2030 Crystal Palace v Man United

Jumapili Februari 23

1630 Liverpool v Swansea

1630 Newcastle v Aston Villa

1900 Norwich v Tottenham

RIPOTI YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA WAKAZI WA PWANI UKANDA WA PWANI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI:


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI 
         MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Simu: 255 22 2460735/2460706
FAKSI: 255 22 2460735/2460700
Barua pepe: met@meteo.go.tz
Tovuti: Tanzania Meteorological Agency - Admin -

S.L.P. 3056
DAR ES SALAAM
Unapojibu tafadhali nakili:
Kumb. Na.: TMA/1622

10 Februari, 2014

Taarifa kwa Umma: Matarajio ya kuwa naVipindi vya Mvua kubwa, Upepo Mkali na Mawimbi Makubwa.
Taarifa Na.
201402-01
Muda wa Kutolewa: Saa za Afrika Mashariki
Saa 11 Jioni
Daraja la Taarifa:
Tahadhari
Kuanzia: Tarehe
11 Februari, 2014
Mpaka: Tarehe
13 Februari, 2014
Aina ya Tukio Linalotarajiwa
1. Vipindi vya mvua kubwa (zaidi ya mm 50 ndani ya saa 24)
2. Hali ya Upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa
pamoja na mawimbi makubwa zaidi ya mita 2.0
Kiwango cha uhakika:
Wastani (60%)
Maeneo yanayotarajiwa
kuathirika
1. Vipindi vya Mvua Kubwa: Ukanda wa pwani mikoa ya Tanga,
Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya
Unguja na Pemba, Mbeya , Njombe, Ruvuma pamoja na kusini
mwa mkoa wa Morogoro
2. Upepo Mkali na Mawimbi Makubwa: Pwani ya mikoa ya Tanga,
Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba
Maelezo:
Hali hii inatokana na kuwepo kwa kimbunga “FOBANE” kusini
magharibi mwa Bahari ya Hindi. Mfumo huu unatarajiwa kuvuta upepo kutoka Pwani ya Somalia na misitu ya Congo kuelekea maeneo ya nchi yetu.
Angalizo:
Watumiaji wa bahari na wakazi wa maeneo hatarishi wanashauriwa kuchukua tahadhari.
Maelezo ya Ziada
Mamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea kufuatilia hali hii na itatoa
mrejeo pale itakapobidi

WAZIRI UMMY MWALIMU AFUNGUA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA MADIWANI WANAWAKE KUTOKA HALMASHAURI ZA MKOA WA TANGA

NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS,UMMY MWALIMU AKIUZNGUMZA WAKATI WA WARSHA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WOTE WANAWAKE KUTOKA HALMASHAURI ZOTE MKOANI TANGA.
BAADHI WA WASHEMIWA MADIWANI KUTOKA HALMASHAURI MBALIMBALI MKOANI TANGA WAKIFUATILIA MADA MBALIMBALI KWENYE WARSHA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WANAWAKE .










MJUMBE WA BODI YA  TAWODE NA MWENYEKITI WA JUMUIYA WA UMOJA WA VIJANA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA TANGA (UVCCM),ABDI MAKANGE AKIZUNGUMZA KWENYE MAFUNZO HAYO LEO
MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO KULIA AKIWA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA TAWODE FATUMA MGANGA KUSHOTO KWENYE MAFUNZO HAYO LEO
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS UMMY MWALIMU KATIKATI KUSHOTO NI MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO NA KULIA NI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA TANGA,GUSTAV MUBBA WAKIWA KWENYE WARSHA YA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA MADIWANI WOTE MKOA WA TANGA.  
HAPA WAKIPIGA MAKOFI.
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS UMMY MWALIMU KATIKATI KUSHOTO NI MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO  NA KULIA NI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA,GUSTAV MUBBA LEO WAKATI WA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA MADIWANI WANAWAKE KUTOKA HALMASHAURI ZOTE ZA JIJI LA TANGA