Saturday, May 18, 2013

YANGA YAITANDIKA SIMBA BAO 2-0 NAKUPELEKA SHANGWE JANGWANI.

Katika mechi wa kukata na shoka wapinzani wa jadi katika soka la Tanzania ambapo kwa ujumla leo ndio ilikuwa  tamati ya ligi kuu Vodacom Tanzania bara yanga leo imesheherekea ubingwa wake kwa furaha kubwa baada ya kuibamiza simba Bao 2-0 katika Mechi iliyopigwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Yanga ambao walijinyakulia Ubingwa mapema wakiwa na baadhi ya michezo mkononi, wameanza mechi hii kwa kasi zaidi ambapo kunako dakika ya 4 ya mchezo mchezaji wa kimataifa kutoka Burundi Didier Kavumbagu aliweza kutupia bao la kuongoza na kuleta furaha kwa mashabiki wa yanga kote Tanzania.
Lakini katika Dakika ya 28 simba walipata nafasi safi ya kusawazisha Bao hilo walipopata Penati kufuatia Nadir Haroub 'Cannavaro' kumuangusha Mrisho Ngassa katika eneo la hatari lakini Mussa Mudde alikosa Penati hiyo baada kipa alli Mustapha  barthez kuicheza penati hiyo..
dakika 45 za kipindi cha kwanza Yanga 1 Simba 0  katika Kipindi cha Pili, Dakika ya 63, Hamis Kiiza alifungia Yanga Bao la Pili.
Kwenye Dakika ya 89 Mechi hii iliingia balaa baada ya masoud Cholo wa Simba na  DidierKavumbagu kuvaana na Refa Martin Saanya alipoingilia kati na kuanguka  chini na  alipoamka  refa huyo alionekana kutokwa damu lakini Mechi iliendelea.
VIKOSI VYA LEO:
Yanga: Ally Mustapha 'Barthez', Mbuyu Twite, David Luhende, Nadir Haroub 'Cannavaro', Kelvin Yondan, Athuman Idd 'Chuji', Simon Msuva, Frank Domayo, Didier Kavumbagu, Hamis Kiiza, Haruna Niyonzima
Akiba: Said Mohamed, Juma Abdul, Oscar Joshua, Nurdin Bakar, Nizar Khalfan, Said Bahanuz, Jerry Tegete
SimbaJuma Kaseja, Nassor Masoud 'Chollo', Haruna Shamte, Shomari Kapombe, Mussa Mudde, William Lucian, Mwinyi Kazimoto, Abdallah Seseme, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba, Haruna Chanongo
Akiba: Abel Dhaira, Miraji Adam, Ramadhan Singano 'Messi', Felix Sunzu, Christopher Edward, Jonas Mkude, Hassan Mkude
REFA: Martin Saanya [Morogoro]
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Mei 18
Simba SC 0 Yanga 2
Toto Africans 2 Vs 0 Ruvu Shooting
Mgambo JKT  1 Vs African Lyon 0
JKT Ruvu 1 Vs 0 Mtibwa Sugar
TZ Prisons 0 Vs 1 Kagera Sugar
JKT Oljoro 0 Vs 1 Azam FC
Polisi Moro 1 Vs 0 Coastal Union
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Timu tano za juu hucheza michuano ya BANK ABC huku Yanga pia mwakani ikiwakilisha Taifa katika Club Bingwa afrika bila kusahau Azam fc kurejea tena katika michuano ya kombe la shirikisho barani afrika kwa mara ya pili baada ya mwaka ya mwaka huu kutolewa na timu ya Far Rabat kwa jumla ya bao 2-1.
Timu 3 zimeshuka daraja african lyon,Polisi morogoro,Toto african kuzipisha Mbeya city kutoka mbeya tanzania, Ashanti united ya Dar es saalam bila kusahau Rhino Rangers ya Tabora kucheza VPL Msimu ujao.

MSIMAMO: 
*YANGA =BINGWA
NA
TIMU
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
yanga
26
18
6
2
47
14
33
60
2
azam fc
26
15
6
4
45
20
25
54
3
simba sc
26
12
9
5
38
25
13
45
4
kagera sugar
26
11
8
6
26
19
8
44
5
mtibwa sugar
26
10
9
6
29
25
5
39
6
coastal union
26
8
11
6
25
24
2
35
7
ruvu shooting
26
8
8
9
22
26
-2
32
8
jkt oljoro
26
7
8
10
21
26
-5
29
9
tanzania prisons
26
7
8
10
16
23
-6
29
10
jkt ruvu
26
7
5
13
21
38
-18
29
11
mgambo shooting
26
7
4
14
16
27
-11
28
12
polisi morogoro
26
4
10
11
13
23
-11
25
13
toto african
26
4
10
11
21
33
-13
25
14
african lyon
26
5
4
16
16
38
-22
19

BUNDASLIGA TAMATI LEO, BPL,LA LIGA NA SERIA A TAMATI KESHO.

Katika anga za michezo barani ulaya ligi mbalimbali hufikia tamati hapo kesho lakini kwa hapa bongo na kule nchini ujerumani  ligi kuu nchini humo imefikia tamati hii ambapo timu zite zimeshuka dimbani katika viwanja mbalimbali nchini humo ikimbukwe bingwa wa nchini humo ni bayen munich tazama matokeo kwa uzuri hapa kwa table:
BUNNDASLIGA
MATOKEO YA LEO MEI 18
Germany - Bundesliga I. (Table)

May 18 
 FTAugsburg3 - 1Greuther Furth
 FTBorussia Dortmund1 - 2Hoffenheim
 FTEintracht Frankfurt2 - 2Wolfsburg
 FTFreiburg1 - 2Schalke
 FTHamburger SV0 - 1Bayer Leverkusen
 FTHannover3 - 0Fortuna Dusseldorf
 FTMonchengladbach3 - 4Bayern Munich
 FTNurnberg3 - 2Werder Bremen
 FTStuttgart2 - 2Mainz
MSIMAMO: TIMU 10 ZA JUU.
**BINGWA BAYERN MUNICH
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Bayern Munich
34
28
4
1
94
18
82
92
2
BV Borussia Dortmund
34
19
9
5
80
42
41
66
3
Bayer 04 Leverkusen
34
18
8
7
64
39
26
65
4
Schalke 04
34
15
7
11
56
49
9
55
5
SC Freiburg
34
14
9
10
44
38
6
51
6
Eintracht Frankfurt
34
14
8
11
47
44
3
51
7
Hamburger SV
34
14
6
13
42
52
-10
48
8
Mönchengladbach
34
12
11
10
42
45
-3
47
9
Hannover 96
34
12
6
15
57
62
-5
45
10
VfL Wolfsburg
34
10
12
11
45
50
-5
43
LIGI KUU YA ENGLAND
JUMAPILI, Mei 19
Chelsea              v Everton             saa (12:00) jioni  
Liverpool            v Queens Park Rangers saa (12:00) jioni  
Manchester City      v Norwich City        saa (12:00) jioni  
Newcastle United     v Arsenal             saa (12:00) jioni  
Southampton          v Stoke City          saa (12:00) jioni  
Swansea City         v Fulham              saa (12:00) jioni  
Tottenham Hotspur    v Sunderland          saa (12:00) jioni  
West Bromwich Albion v Manchester United   saa (12:00) jioni  
West Ham United      v Reading             saa (12:00) jioni  
Wigan Athletic       v Aston Villa         saa (12:00) jioni

MSIMAMO:
*MAN UNITED BINGWA
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man United
37
43
88
2
Man City
37
33
78
3
Chelsea
37
35
72
4
Arsenal
37
34
70
5
Tottenham
37
19
69
6
Everton
37
16
63
7
Liverpool
37
27
58
8
West Brom
37
-4
48
9
Swansea
37
-1
46
10
West Ham
37
-10
43
11
Stoke
37
-11
41
12
Norwich
37
-18
41
13
Newcastle
37
-22
41
14
Southampton
37
-11
40
15
Fulham
37
-13
40
16
Aston Villa
37
-22
40
17
Sunderland
37
-12
39
18
Wigan *
37
-26
35
19
Reading *
37
-28
28
20
QPR *
37
-29
25
*ZIMESHUKA DARAJA
LIGI KUU NCHINI ITALIA.

RATIBA:
Jumapili Mei 19
Atalanta v Chievo Verona
Bologna v Genoa
Internazionale v Udinese
AS Roma v Napoli
Torino FC v Catania
Siena v AC Milan
Pescara v Fiorentina
Palermo v Parma
Cagliari v SS Lazio
MSIMAMO:
**BINGWA JUVENTUS
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Juventus
37
27
6
4
69
21
48
87
2
Napoli
37
23
9
5
72
34
38
78
3
AC Milan
37
20
9
8
65
38
27
69
4
Fiorentina
37
20
7
10
67
43
24
67
5
Udinese
37
17
12
8
54
43
11
63
6
SS Lazio
37
18
7
12
51
41
10
61
7
AS Roma
37
17
8
12
69
55
14
59
8
Catania
37
15
10
12
48
44
4
55
9
Inter Milan
37
16
6
15
53
52
1
54
10
Parma
37
12
10
15
42
45
-3
46
11
Cagliari
37
11
11
15
42
55
-13
44
12
Chievo
37
12
8
17
35
50
-15
44
13
Bologna
37
11
10
16
46
52
-6
43
14
Sampdoria
37
10
10
17
40
49
-9
39
15
Atalanta
37
11
8
18
37
54
-17
39
16
Torino FC
37
8
15
14
44
53
-9
38
17
Genoa
37
8
13
16
38
52
-14
37
18
Palermo
37
6
14
17
33
51
-18
32
19
Siena
37
9
9
19
35
55
-20
30
20
Pescara
37
6
4
27
26
79
-53
22
LIGI NCHINI HISPANIA LA LIGA
LA LIGA
RATIBA:
Jumamosi Mei 18
Getafe CF v Valencia
Granada CF v Osasuna
Sevilla FC v Real Sociedad
Jumapili Mei 19
Levante v Rayo Vallecano
Deportivo La Coruna v RCD Espanyol
Real Zaragoza v Athletic de Bilbao
FC Barcelona v Real Valladolid
Jumatatu Mei 20
Real Mallorca v Real Betis
Jumapili Mei 26
Athletic de Bilbao v Levante
Atletico de Madrid v Real Mallorca
MSIMAMO:
*BINGWA FC BARCELONA
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
35
29
4
2
107
38
69
91
2
Real Madrid CF
36
25
6
5
96
37
59
81
3
Atletico de Madrid
36
22
6
8
62
30
32
72
4
Real Sociedad
35
16
11
8
64
45
19
59
5
Valencia
35
17
8
10
62
50
12
59
6
Malaga CF
36
15
9
12
49
45
4
54
7
Real Betis
35
15
7
13
52
54
-2
52
8
Sevilla FC
35
13
8
14
52
47
5
47
9
Getafe CF
35
13
8
14
42
52
-10
47
10
Rayo Vallecano
35
14
4
17
43
61
-18
46
11
RCD Espanyol
35
11
11
13
43
47
-4
44
12
Real Valladolid
35
11
10
14
46
50
-4
43
13
Levante
35
11
9
15
36
53
-17
42
14
Athletic  Bilbao
35
11
8
16
40
61
-21
41
15
Osasuna
35
9
9
17
29
42
-13
36
16
Granada CF
35
9
9
17
32
53
-21
36
17
Real Zaragoza
35
9
7
19
35
53
-18
34
18
Deportivo 
35
7
11
17
44
66
-22
32
19
Celta de Vigo
36
8
7
21
34
52
-18
31
20
Real Mallorca
35
7
8
20
38
70
-32
29