Friday, May 24, 2013

UCL: WATOTO WA BABA MMOJA USO KWA USO WEMBLEY

NI FAINALI ya kukata na shoka  hapo Kesho katika dimba la  uwanja wa wembley uliopo jijini london nchini uingereza watoto wa baba mmoja kutoka ujerumani watavaana  kucheza Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya  ambapo Borussia Dortmund na Bayern Munich watakukutana hapo  kesho Jumamosi Mei 25 na kila upande imejipanga kuhakikisha inaibuka na ushindi hasa kisaikolojia
Hii ni mara ya kwanza kwa Klabu za Germany kukutana Fainali ya UCL, hii itakuwa mara ya 4 kwa Klabu za Nchi moja kukutana Fainali hizi.
Mwaka 2000, Klabu za Spain, Real Madrid na Valencia, zilivaana, Mwaka 2003 AC Milan na Juventus za Italy zilipigana na 2008 ni Man United v Chelsea za England.
Kwa Bayern Munich hii ni Fainali yao ya 10 ya Klabu Bingwa Ulaya wakiwa nyuma ya Real Madrid, waliofika Fainali 12, na AC Milan, Fainali 11,
Hii itakuwa Fainali ya 3 kwa Bayern ndani ya Misimu minne iliyopita lakini mara ya mwisho kutwaa Kombe la UCL ni Mwaka 2001.
Kwa Borussia Dortmund, hii ni Fainali ya Pili kwao ambapo walishinda ile ya kwanza ya Mwaka 1997.
Baada ya kutwaa Ubingwa wa Ulaya Mwaka 1997, Msimu uliofuata, 1997/98, Borussia Dortmund na Bayern Munich zilikutana Robo Fainali ya UCL na Borussia kusonga kwa Jumla ya Bao 1-0.

KLABU ZA NCHI MOJA KUUMANA FAINALI ULAYA

UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI
1999/2000 Real Madrid 3-0 Valencia CF
2002/03 AC Milan 0-0 Juventus (AC Milan washinda kwa Penati 3-2)
2007/08 Manchester United 1-1 Chelsea FC (Man United washinda kwa Penati 6-5)
UEFA CUP
1979/80 VfL Borussia Mönchengladbach 3-2 Eintracht Frankfurt

WAPI WAMETOKA MPAKA KUFIKA FAINALI:
FAHAMU:  -N: Nyumbani -U: Ugenini
BORUSSIA DORTMUND BAYERN MUNICH
KUNDI  D: KUNDI  F:
MSHINDI MSHINDI
-Ajax: 1-0 [N] 4-1 [U] -Valencia: 2-1 [N] 1-1 [U]
-Man City: 1-1 [U]] 1-0 [N] -BATE Borislov:1-3 [U] 4-1 [N]
-Real Madrid: 2-1 [N] 2-2 [U] Lille: 1-0 [U] 6-1 [N]
RAUNDI ZA MTOANO: RAUNDI ZA MTOANO:
-Donetsk: 2-2 [U] 3-0 [N] -Arsenal: 3-1 [U] 0-2 [N]
-Malaga: 0-0 [U] 3-2 [N] -Juventus: 2-0 [N] 2-0 [U]
-Real Madrid: 4-1 [N] 2-0 [U] -Barcelona: 4-0 [N] 3-0 [U]

DONDOO MUHIMU:
REFA:
-Nicola Rizzoli [Italy] akisaidiwa na wenzake toka Italy Renato Faverani na Andrea Stefani na Refa wa Akiba, Damir Skomina, wa Slovenia.
BALOZI MAALUM:
-Steve McManaman, Mshindi mara mbili wa UCL, ni Mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa England
SHERIA ZA FAINALI:
-Baada Dakika 90 kama Sare, zitachezwa Dakika za Nyongeza 30 na kama bado Sare ni Mikwaju ya Penati kuamua Bingwa.
-Kila Timu itakuwa na Wachezaji wa Akiba 7
-Kila Timu inaruhusiwa kubadili Wachezaji Watatu tu.
UWANJA: Wembley Stadium
-Ndio Uwanja wa Nyumbani wa Timu ya Taifa ya England.
-Ingawa ndio ilichezwa Fainali ya UCL Mwaka 2011, UEFA imeuteua tena kwa kuadhimisha Miaka 150 ya uhai wa FA, Chama cha Soka England.
-Ni mara ya 7 kwa Wembley kutumika kwa Fainali za Klabu Bingwa Ulaya nyingine zikiwa za Miaka ya 1963, 1968, 1971, 1978, 1992 na 2011.
-Katika Fainali za Miaka ya 1968 na 1978, Klabu za England zilitwaa Ubingwa kwa Mwaka 1968 Manchester United kuichapa Benfica Bao 4-1 na Liverpool kuifunga Club Brugge 1-0 Mwaka 1978.
MATOKEO MICHIZO ZA HIVI KARIBUNI
[BUNDESLIGA PAMOJA NA DFB POKAL]
04/05/13      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 1
27/02/13      Bayern Munich v Borussia Dortmund       1 : 0
01/12/12      Bayern Munich v Borussia Dortmund       1 : 1
12/08/12      Bayern Munich v Borussia Dortmund       2 : 1
12/05/12      Borussia Dortmund v Bayern Munich       5 : 2
11/04/12      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 0
19/11/11      Bayern Munich v Borussia Dortmund       0 : 1
26/02/11      Bayern Munich v Borussia Dortmund       1 : 3
03/10/10      Borussia Dortmund v Bayern Munich       2 : 0
13/02/10      Bayern Munich v Borussia Dortmund       3 : 1
12/09/09      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 5
08/02/09      Bayern Munich v Borussia Dortmund       3 : 1
23/08/08      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 1
23/07/08      Borussia Dortmund v Bayern Munich       2 : 1
19/04/08      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 2
13/04/08      Bayern Munich v Borussia Dortmund       5 : 0
28/10/07      Borussia Dortmund v Bayern Munich       0 : 0
26/01/07      Borussia Dortmund v Bayern Munich       3 : 2
11/08/06      Bayern Munich v Borussia Dortmund       2 : 0
13/05/06      Bayern Munich v Borussia Dortmund       3 : 3
17/12/05      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 2
19/02/0        Bayern Munich v Borussia Dortmund       5 : 0
18/09/04      Borussia Dortmund v Bayern Munich       2 : 2
17/04/04      Borussia Dortmund v Bayern Munich       2 : 0
09/11/03      Bayern Munich v Borussia Dortmund       4 : 1
19/04/03      Borussia Dortmund v Bayern Munich       1 : 0
Ukitazama kuelekea mchezo wa kesho Bayen munich inanafasi kubwa kutwaa kombe hili lakini ukitazama zaidi timu hizi zinaupinzani wa hali ya juu hivyo timu ambayo itakuwa imejipanga na kufanya maandalizi mazuri basi inanafasi ya kutwaa ubingwa msimu wa UCL UEFA CHAMPION LIGI MSIMU WA 2012-2013

 TAZAMA MSIMO WA BUNDASLIGA
*FAHAMU NI BINGWA BAYERN MUNICH BUNDASLIGA
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Bayern Munich
34
28
4
1
94
18
82
92
2
BV Borussia Dortmund
34
19
9
5
80
42
41
66










MABINGWA WALIOPITA WA UCL

MWAKA               BINGWA


1955–56 Real Madrid
1956–57 Real Madrid
1957–58 Real Madrid
1958–59 Real Madrid
1959–60 Real Madrid
1960–61 Benfica
1961–62 Benfica
1962–63 Milan
1963–64 Internazionale
1964–65 Internazionale
1965–66 Real Madrid
1966–67 Celtic
1967–68 Manchester United
1968–69 Milan
1969–70 Feyenoord
1970–71 Ajax
1971–72 Ajax
1972–73 Ajax
1973–74 Bayern Munich
1974–75 Bayern Munich
1975–76 Bayern Munich
1976–77 Liverpool
1977–78 Liverpool
1978–79 Nottingham Forest
1979–80 Nottingham Forest
1980–81 Liverpool
1981–82 Aston Villa
1982–83 Hamburg
1983–84 Liverpool
1984–85 Juventus
1985–86 Steaua BucureČ™ti
1986–87 Porto
1987–88 PSV Eindhoven
1988–89 Milan
1989–90 Milan
1990–91 Red Star Belgrade
1991–92 Barcelona
1992–93 Marseille
1993–94 Milan
1994–95 Ajax
1995–96 Juventus
1996–97 Borussia Dortmund
1997–98 Real Madrid
1998–99 Manchester United
1999–2000 Real Madrid
2000–01 Bayern Munich
2001–02 Real Madrid
2002–03 Milan
2003–04 Porto
2004–05 Liverpool
2005–06 Barcelona
2006–07 Milan
2007–08 Manchester United
2008–09 Barcelona
2009–10 Internazionale
2010–11 Barcelona
2011–12 Chelsea