Saturday, April 19, 2014

19 WAITWA TAIFA STARS KUUNGANA NA 16 KUTOKA MABORESHO

19 WENGINE WATAJWA TAIFA STARS
Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu.
Wachezaji walioitwa ni makipa Aishi Manula (Azam), Deogratias Munishi (Yanga) na Mwadili Ali (Azam). Mabeki ni Abdi Banda (Coastal Union), Aidan Michael (Ruvu Shooting), Aggrey Morris (Azam), Erasto Nyoni (Azam), Hassan Mwasapili (Mbeya City), Kelvin Yondani na Said Moradi (Azam).
Viungo ni Amri Kiemba (Simba), Frank Domayo (Yanga), Himid Mao (Azam) na Jonas Mkude (Simba).
Washambuliaji ni Athanas Mdamu (Alliance), Haruna Chanongo (Simba), Juma Liuzio (Mtibwa Sugar), Khamis Mcha (Azam), Mbwana Samata (TP Mazembe, DRC), Mrisho Ngasa (Yanga), Mwinyi Kazimoto (Markhiya, Qatar), Ramadhan Singano (Simba), Simon Msuva (Yanga) na Thomas Ulimwengu (TP Mazembe, DRC).
Wachezaji walioitwa kutoka katika kikosi cha maboresho ni kipa Benedicto Tinoko Mlekwa (Mara), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke), Said Juma Ally (Mjini Magharibi), Abubakar Ally Mohamed (Kusini Unguja), Hashim Ramadhan Magona (Shinyanga), Omari Athumani Nyenje (Mtwara) na Chunga Said Zito (Manyara).
Washambuliaji ni Mohammed Seif Saidi (Kusini Pemba), Ayoub Kasim Lipati (Ilala), Abdurahman Othman Ally (Mjini Magharibi), Paul Michael Bundara (Ilala). Wachezaji wa U 20 ni Mbwana Mshindo Musa (Tanga) na Bayaga Athanas Fabian (Mbeya).
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itaingia kambini kwenye hoteli ya Kunduchi Beach.
MICHUANO YA BEACH SOCCER YAIVA
Michuano ya mpira wa miguu ya ufukweni (Beach Soccer) inazinduliwa rasmi kesho (Aprili 20 mwaka huu) kwenye ufukwe wa Escape One uliopo Mikocheni, Dar es Salaam na kushirikisha timu 13.
Uzinduzi huo utaanza saa 5 asubuhi na mechi zitachezwa hadi saa 11 jioni. Michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini inashirikisha timu 13 kutoka vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam.
Vyuo hivyo ni Chuo Kikuu cha Ardhi (AU), Chuo Kikuu cha St. Joseph Tanzania (SJUIT), Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO), Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW), Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.
Vingine ni Chuo cha Utumishi wa Umma Magogoni, Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Chuo cha Utawala wa Kodi (ITA) na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).
Michuano hiyo itakuwa inachezwa Jumamosi na Jumapili kwenye fukwe za Escape One na Gorilla Beach iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam.
BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

Friday, April 18, 2014

BUNDESLIGA KESHO KILINGENI KESHO

RATIBA
Jumamosi Aprili 19
BV Borussia Dortmund v FSV Mainz 05
SV Werder Bremen v TSG Hoffenheim
SC Freiburg v Borussia Mönchengladbach
Eintr. Braunschweig v Bayern Munich
FC Augsburg v Hertha Berlin
Hamburger SV v VfL Wolfsburg
Jumapili Aprili 20
FC Nuremberg v Bayer 04 Leverkusen
VfB Stuttgart v Schalke 04
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GDS
PTS
1
Bayern Munich
30
25
3
2
82
20
62
78
2
BV Borussia Dortmund
30
19
4
7
67
32
35
61
3
Schalke 04
30
17
7
6
56
38
18
58
4
Bayer 04 Leverkusen
30
16
3
11
50
37
13
51
5
VfL Wolfsburg
30
15
5
10
53
45
8
50
6
Borussia Mönchengladbach
30
14
7
9
52
35
17
49
7
FSV Mainz 05
30
14
5
11
44
45
-1
47
8
FC Augsburg
30
12
6
12
41
45
-4
42
9
TSG Hoffenheim
30
10
10
10
66
63
3
40
10
Hertha Berlin
30
10
7
13
38
42
-4
37
11
Eintracht Frankfurt
30
9
8
13
37
50
-13
35
12
SV Werder Bremen
30
8
9
13
34
58
-24
33
13
Hannover 96
30
9
5
16
38
55
-17
32
14
SC Freiburg
30
8
8
14
35
52
-17
32
15
VfB Stuttgart
30
7
7
16
45
58
-13
28
16
Hamburger SV
30
7
6
17
46
62
-16
27
17
FC Nuremberg
30
5
11
14
35
58
-23
26
18
Eintr. Braunschweig
30
6
7
17
28
52
-24
25

BPL:KUWAKA MOTO KESHO CHELSEA KUPAPATUANA NA SUNDERLAND

 LIGI KUU ENGLAND:[Saa za Bongo]
Jumamosi 19 Aprili 2014
14:45 Tottenham v Fulham
17:00 Aston Villa v Southampton
17:00 Cardiff v Stoke
17:00 Newcastle v Swansea
17:00 West Ham v Crystal Palace
1930 Chelsea v Sunderland
Jumapili 20 Aprili 2014
14:00 Norwich v Liverpool
16:05 Hull v Arsenal
18:10 Everton v Man United
Jumatatu 21 Aprili 2014
22:00 Man City v West Brom 
MSIMAMO:
NA TIMU P W D L F A GD PTS
1 Liverpool 34 24 5 5 93 42 51 77
2 Chelsea 34 23 6 5 66 24 42 75
3 Man City 33 22 5 6 88 34 54 71
4 Arsenal 34 20 7 7 59 41 18 67
5 Everton 34 19 9 6 55 34 21 66
6 Tottenham 34 18 6 10 48 48 0 60
7 Man United 33 17 6 10 56 38 18 57
8 Southampton 34 13 9 12 50 45 5 48
9 Newcastle 34 14 4 16 38 52 -14 46
10 Stoke 34 11 10 13 38 48 -10 43
11 Crystal Palace 34 12 4 18 27 41 -14 40
12 West Ham 34 10 7 17 38 47 -9 37
13 Hull 33 10 6 17 34 40 -6 36
14 Aston Villa 33 9 7 17 35 49 -14 34
15 Swansea 34 8 9 17 45 50 -5 33
16 West Brom 33 6 15 12 40 51 -11 33
17 Norwich 34 8 8 18 26 53 -27 32
18 Fulham 34 9 3 22 34 74 -40 30
19 Cardiff 34 7 8 19 30 64 -34 29
20 Sunderland 33 6 8 19 31 56 -25 26

PAZIA VPL LAFUNGWA, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inafikia tamati kesho (Aprili 19 mwaka huu) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani, huku mabingwa wapya Azam wakikabidhiwa kombe lao Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam katika mechi yao dhidi ya JKT Ruvu.

Mechi zote saba zitachezwa kuanzia saa 10 kamili jioni ambapo Yanga na Simba zitakuwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mechi ambayo viingilio vyake ni sh. 7,000 kwa viti vya bluu na kijani, sh. 10,000 viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP C na B wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa leo (Aprili 18 mwaka huu) katika vituo saba vya; Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Kariakoo (Kidongo Chekundu), Buguruni Shell, mgahawa wa Steers uliopo Mtaa wa Ohio na Samora, Ubungo OilCom, Dar Live Mbagala na Uwanja wa Taifa.

Mechi nyingine zitakuwa kati ya Tanzania Prisons na Ashanti United (Uwanja wa Jamhuri, Morogoro), Rhino Rangers na Ruvu Shooting (Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora), Mbeya City na Mgambo Shooting (Uwanja wa Sokoine, Mbeya), Oljoro JKT na Mtibwa Sugar (Uwanja wa Sheikh Kaluta Amri Abeid, Arusha) na Coastal Union na Kagera Sugar (Uwanja wa Mkwakwani, Tanga).
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1 
Azam FC
25
17
8
0
50
15
35
59
2 
Young Africans
25
16
7
2
60
18
42
55
3
Mbeya City
25
12
10
3
32
20
12
46
4
Simba SC
25
9
10
6
40
26
14
37
5
Kagera Sugar
25
8
11
6
22
20
2
35
6
Ruvu Shooting
25
9
8
8
26
32
-6
35
7
JKT Ruvu
25
10
1
14
23
39
-16
31
8
Mtibwa Sugar
25
7
9
9
29
30
-1
30
9
Coastal Union
25
6
11
8
16
19
-3
29
10
Mgambo JKT
25
6
8
11
18
34
-16
26
11
Tanzania Prisons
25
5
10
10
25
33
-8
25
12
Ashanti United
25
6
7
12
20
38
-18
25
13
JKT Oljoro
25
3
9
13
18
36
-18
18
14
Rhino Rangers
25
3
7
15
18
37
-19
16
MICHUANO YA BEACH SOCCER KUANZA JUMAPILI
Michuano ya mpira wa miguu ya ufukweni (Beach Soccer) inazinduliwa rasmi keshokutwa (Aprili 20 mwaka huu) kwenye ufukwe wa Escape One uliopo Mikocheni, Dar es Salaam na kushirikisha timu 13.

Uzinduzi huo utaanza saa 5 asubuhi na mechi zitachezwa hadi saa 11 jioni. Michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini inashirikisha timu 13 kutoka vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam.

Vyuo hivyo ni Chuo Kikuu cha Ardhi (AU), Chuo Kikuu cha St. Joseph Tanzania (SJUIT), Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO), Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW), Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.

Vingine ni Chuo cha Utumishi wa Umma Magogoni, Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Chuo cha Utawala wa Kodi (ITA) na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).

Michuano hiyo itakuwa inachezwa Jumamosi na Jumapili kwenye fukwe za Escape One na Gorilla Beach iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam.

WAZOEFU TAIFA STARS KUTAJWA KESHO
Wachezaji wazoefu wa Taifa Stars watakaoungana na wale 16 waliopatikana katika mpango wa maboresho wa timu hiyo watatangazwa kesho (Aprili 19 mwaka huu) saa 4 asubuhi kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itapiga kambi kwenye hoteli ya Kunduchi Beach kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Wachezaji waliopatikana katika mpango wa maboresho ya Stars wanatarajiwa kuwasili leo (Aprili 18 mwaka huu), na kwenda moja kwa moja kambini kuwasubiri wenzao watakaotajwa kesho (Aprili 19 mwaka huu).

Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Mara), Emma Namwondo Simwanda (Temeke), Joram Nason Mgeveje (Iringa), Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba), Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala), Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke) na Said Juma Ally (Mjini Magharibi).

Wengine ni Abubakar Ally Mohamed (Kusini Unguja), Hashim Ramadhan Magona (Shinyanga), Omari Athumani Nyenje (Mtwara), Chunga Said Zito (Manyara), Mohammed Seif Saidi (Kusini Pemba), Ayoub Kasim Lipati (Ilala), Abdurahman Othman Ally (Mjini Magharibi) na Paul Michael Bundara (Ilala).

BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)