Tuesday, April 23, 2013

VAN MAGOLI JEZI 20 APIGA TATU NA KUILETEA UBINGWA WA 20 MAN U:
Katika mechi ya jana Robin van Persie, amefanya kile ambacho wadau na mashabiki wa man u ambao waliondoa imani naye kuwa haufumanii nyavu lakini aliweza kudhihilisha kuwa yeye ni bora zaidi baada ya kutupia Bao Dakika za 2, 13 na 33 na, kufuatia kazi nzuri ya Nguli Ryan Giggs na Wayne Rooney, na kuwatwanga Aston Villa Bao 3-0 Uwanjani Old Trafford na kuipatia Manchester United Ubingwa wa BPL, Barclays Premier League huku wakiwa na Mechi 4 mkononi.
HISTORIA:
.Hii ni mara ya 4 kwa Man United kutwaa Ubingwa Uwanjani kwao Old Trafford
.Mara nyingine walizotwaa Ubingwa Old Trafford ni Mwaka 1999, 2002 na 2009
.Mwaka 2001 walitwaa Ubingwa wakiwa na Mechi 5 mkononi
.Msimu wa 1999/2000 walitwaa Ubingwa kwa pengo la Pointi 18
kwa sasa Van Persie  anaongoza Ufungaji Bora BPL akiwa na Bao 24 kwa mtukutu Luis suarez akiwa na mabao 23.
Huu ni Ubngwa wa 13, chini ya Sir Alex Ferguson, katika Miaka 21 ya Historia ya Ligi Kuu England.
MSIMAMO==BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
34
40
84
2
Man City
33
29
68
3
Arsenal
34
30
63
4
Chelsea
33
31
62
5
Tottenham
33
17
61
6
Everton
34
13
56
7
Liverpool
34
19
51
8
West Brom
33
-1
45
9
Swansea
33
1
42
10
West Ham
34
-7
42
11
Fulham
34
-8
40
12
Southampton
34
-7
39
13
Norwich
34
-20
38
14
Sunderland
34
-7
37
15
Stoke
34
-11
37
16
Newcastle
34
-17
37
17
Aston Villa
34
-27
34
18
Wigan
33
-23
31
19
QPR
34
-27
24
20
Reading
34
-28

24