Tuesday, May 7, 2013

MOTO KUWAKA CHELSEA KUUMANA NA TOTTENHAM KESHO"

Kona ya Charlie Adam katika Dakika ya 9 imezaa bao liliofungwa na Jon Walters baada ya hapo Sunderland walipata pigo baada ya mchezaji wake Craig Gardner kutolewa kwa Kadi Nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya kwa Charlie Adam  katika dakika ya 63Sunderland walisawazisha kufuatia Frikiki ya Sebastian Larsson nakunaswa na  Nahodha John O’Shea alieachia Shuti na kutinga wavuni na kuwa Balake la pili tangu ahamie Sunderland kutoka Manchester United.
hivyo Sare hii imewafanya Sunderland wapande hadi nafasi ya 15 wakiwa Pointi 3 mbele ya Wigan walio nafasi ya 18 ambayo ndio moja ya Timu tatu za mwisho zinazoporomoka Daraja mwishoni mwa Msimu.
BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
RATIBA KESHO
Jumanne Mei 7
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Man City v West Brom
Wigan v Swansea
Jumatano Mei 8
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Chelsea v Tottenham

TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
36
42
85
2
Man City
35
30
72
3
Chelsea
35
34
68
4
Arsenal
36
31
67
5
Tottenham
35
18
65
6
Everton
36
14
60
7
Liverpool
36
25
55
8
West Brom
35
1
48
9
Swansea
35
-1
43
10
West Ham
36
-8
43
11
Stoke
36
-10
41
12
Fulham
36
-11
40
13
Aston Villa
36
-21
40
14
Southampton
36
-11
39
15
Sunderland
36
-12
38
16
Norwich
36
-22
38
17
Newcastle
36
-23
38
18
Wigan
35
-22
35
19
Reading
36
-26
28
20
QPR
37
-29
25
                            Hawa tayari wameshuka daraja  QPR & READING