Kona ya Charlie Adam katika Dakika ya 9 imezaa bao liliofungwa na Jon Walters baada ya hapo Sunderland walipata pigo baada ya mchezaji wake Craig Gardner kutolewa kwa Kadi Nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya kwa Charlie Adam katika dakika ya 63Sunderland walisawazisha kufuatia Frikiki ya Sebastian Larsson nakunaswa na Nahodha John O’Shea alieachia Shuti na kutinga wavuni na kuwa Balake la pili tangu ahamie Sunderland kutoka Manchester United.
hivyo Sare hii imewafanya Sunderland wapande hadi nafasi ya 15 wakiwa Pointi 3 mbele ya Wigan walio nafasi ya 18 ambayo ndio moja ya Timu tatu za mwisho zinazoporomoka Daraja mwishoni mwa Msimu.
BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
RATIBA KESHO
Jumanne Mei 7
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Man City v West Brom
Wigan v Swansea
Jumatano Mei 8
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Chelsea v Tottenham
TIMU
|
P
|
GD
|
PTS
| |
1
|
Man Utd
|
36
|
42
|
85
|
2
|
Man City
|
35
|
30
|
72
|
3
|
Chelsea
|
35
|
34
|
68
|
4
|
Arsenal
|
36
|
31
|
67
|
5
|
Tottenham
|
35
|
18
|
65
|
6
|
Everton
|
36
|
14
|
60
|
7
|
Liverpool
|
36
|
25
|
55
|
8
|
West Brom
|
35
|
1
|
48
|
9
|
Swansea
|
35
|
-1
|
43
|
10
|
West Ham
|
36
|
-8
|
43
|
11
|
Stoke
|
36
|
-10
|
41
|
12
|
Fulham
|
36
|
-11
|
40
|
13
|
Aston Villa
|
36
|
-21
|
40
|
14
|
Southampton
|
36
|
-11
|
39
|
15
|
Sunderland
|
36
|
-12
|
38
|
16
|
Norwich
|
36
|
-22
|
38
|
17
|
Newcastle
|
36
|
-23
|
38
|
18
|
Wigan
|
35
|
-22
|
35
|
19
|
Reading
|
36
|
-26
|
28
|
20
|
QPR
|
37
|
-29
|
25
|
Hawa tayari wameshuka daraja QPR & READING