Ashanti
United 2 JKT Oljoro 1
Jumapili
Machi 30
Azam FC 2
Simba 1
Mgambo
JKT 2 Yanga 1
Mbeya
City 1 Tanzania Prisons 0
Kagera
Sugar 0 v Ruvu Shooting 0
MABINGWA
Watetezi Yanga Leo huko katika dimba la Mkwakwani Tanga walifungwa Bao 2-1 na Mgambo JKT
iliyokuwa ikicheza Mtu 10 baada ya Mchezaji wao Mohamed Neto kutolewa nje kwa
Kadi Nyekundu katika Dakika ya 30 kwa kile kilichodaiwa kukutwa na Hirizi na
kipigo hicho inaelekea kinapeleka Ubingwa kwa Azam FC ambao Leo wameichapa
Simba Bao 2-1.
Huko
Mkwakwani, Mgambo JKT walipata Bao lao la Kwanza Dakika ya Kwanza tu Mfungaji
akiwa Fully Maganga na Yanga kusawazisha katika Dakika ya 50 kwa Penati ya
Nadir Haroub "Cannavaro" lakini Penati nyingine iliyopigwa na Malima
Busungu katika Dakika ya 69 iliwapa ushindi Mgambo JKT.
Jijini
Dar es Salaam, Azam FC waliichapa Simba Bao 2-1 kwa Bao za Hamisi Mcha, Dakika
ya 16, na John Bocco, Dakika ya 56 wakati Bao la Simba lilifungwa na Joseph
Owino katika Dakika ya 45.
Matokeo
haya yanaifanya Azam FC izidi kupaa kileleni wakiwa na Pointi 53 kwa Mechi 23
na kubakiza Mechi 3 huku Yanga wakiwa Nafasi ya Pili wakiwa na Pointi 46 kwa
Mechi 22 na kubakisha Mechi 4.
MSIMAMO:
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
PTS
|
1
|
Azam FC
|
23
|
15
|
8
|
0
|
31
|
53
|
2
|
Yanga SC
|
22
|
13
|
7
|
2
|
26
|
46
|
3
|
Mbeya City
|
23
|
12
|
9
|
2
|
13
|
45
|
4
|
Simba SC
|
23
|
9
|
9
|
5
|
15
|
36
|
5
|
Kagera Sugar
|
22
|
8
|
9
|
5
|
3
|
33
|
6
|
Mtibwa Sugar
|
22
|
7
|
8
|
7
|
1
|
29
|
7
|
Coastal Union
|
23
|
6
|
11
|
6
|
0
|
29
|
8
|
Ruvu Shooting
|
21
|
7
|
8
|
6
|
-4
|
29
|
9
|
JKT Ruvu
|
23
|
9
|
1
|
13
|
-13
|
28
|
10
|
Prison fc
|
22
|
3
|
10
|
9
|
-10
|
22
|
11
|
Mgambo JKT
|
22
|
5
|
6
|
11
|
-18
|
22
|
12
|
Ashanti united
|
22
|
5
|
6
|
11
|
-17
|
19
|
13
|
JKT Oljoro
|
23
|
2
|
9
|
12
|
-18
|
15
|
14
|
Rhino Rangers
|
23
|
2
|
7
|
14
|
-19
|
13
|
VPL-LIGI KUU VODACOM
RATIBA:
Jumamosi Machi 29
Jumapili Machi 30
Mbeya City v Tanzania Prisons
Kagera Sugar v Ruvu Shooting
Mtibwa Sugar v Coastal Union
JKT Ruvu v Rhino Rangers
Azam FC v Simba
Mgambo JKT v Yanga