Thursday, April 10, 2014

FIFA LISTI UBORA DUNIANI: SPAIN1, TANZANIA YA 122

Droo ya Listi ya ubora ya fifa  iliyotolewa Leo imeonyesha Mabingwa wa Dunia Spain bado wapo Nambari Wani wakifuatiwa na Germany, ambao wamebakia Namba 2, huku Tanzania ikiporomoka Nafasi 5 na kushika Nafasi ya 122 wakati Nafasi ya Juu kabisa kwa Nchi ya Afrika inakamatwa na Ivory Coast ambao wako Nafasi ya 21wakiwa wamepanda Nafasi 3.
FIFA_LOGOWenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia Mwaka huu, Brazil, wamepanda Nafasi 3 na sasa wapo Namba 6 pamoja na Argentina walioporomoka Nafasi 3.
Listi nyingine ya Ubora Duniani itatolewa tena na FIFA hapo Tarehe 8 Mei.
20 BORA DUNIANI:
1        Spain
2        Germany
3        Portugal       [Wamepanda Nafasi 1]
4        Colombia      [Wamepanda Nafasi 1]
5        Uruguay        [Wamepanda Nafasi 1]
6        Argentina     [Wameshuka Nafasi 3]
6        Brazil            [Wamepanda Nafasi 3]
8        Switzerland   [Wameshuka Nafasi 1]
9        Italy             [Wameshuka Nafasi 1]
10      Greece          [Wamepanda Nafasi 3]
11      England        [Wamepanda Nafasi 1]
12      Belgium        [Wameshuka Nafasi 2]
13      USA              [Wamepanda Nafasi 1]
14      Chile             [Wamepanda Nafasi 1]
15      Netherlands  [Wameshuka Nafasi 4]
16      France           [Wamepanda Nafasi 1]
17      Ukraine        [Wamepanda Nafasi 1]
18      Russia           [Wamepanda Nafasi 1]
19      Mexico          [Wamepanda Nafasi 1]
20      Croatia         [Wameshuka Nafasi 4]