Simba SC ilikuwa ya kwanza kupata
bao kupitia kwa Haroun Chanongo dakika ya 68 na kwa matokeo hayo, Azam
inamaliza Ligi Kuu na pointi 62 wakati Yanga SC inamaliza na pointi 56 katika
nafasi ya pili- ambapo sasa Azam FC ni mabingwa wapya ambao hawaja poteza mechi
hata moja katika msimu wa Ligi Kuu 2013/2014.
Mabingwa
hao wakisherehekea na taji lao ambapo sherehe za ubingwa zimeanza jioni hii
katika uwanja wa Complex hadi usiku wa
mana
|