Sunday, May 4, 2014

STARS YATOA SARE NA MALAWI MECHI YA KIRAFIKI-SOKOINE

Kikosi cha Taifa Stars, chini ya Kocha mpya wa Mart Nooij leo amekiongoza kikosi chake kutoka sare ya bao 0-0 dhidi ya Malawi katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, leo.


Nooij raia wa Uholanzi alikipanga kikosi chake leo kikiongozwa na wachezaji wengi wazoefu kilishambulia zaidi lakini hakikuweza kupata bao kutoka na kukosa mawasiliano mazuri katika safu ya ushambuliaji.
Hata hivyo Malawi nao walijibu mashambulizi katika kipindi cha pili  lakini hawakuweza kupata bao ambapo katika mtanange huo mashabiki wengi mashabiki mbalimbali mkoani mbeya wamejitokeza kuiunga mkono stars ya Mart Nooij.