Simba Wekundu wa Msimbazi, Simba wamekamilisha usajili wa kipa
namba moja wa Mtibwa Sugar, Hussein Sharrif
`Iker Casillas` na kumsainisha mkataba wa miaka miwili.
Casillas aliyekuwa tegemeo
katika klabu ya Mtibwa Sugar ameungana na makipa Ivo Mapunda na Abuu
Hashim katika kikosi cha Simba.