
Ujumbe huo wa FIFA utakaokuwa na
maofisa sita, baada ya ziara yake utashauri jinsi ya kuboresha
uendeshaji huo katika kikao cha pamoja kati yake na Kamati ya Utendaji
ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kitakachofanyika mwishoni
mwa wiki ijayo.