
Mlinda mlango Chipukizi wa Azam FC AISHI MANULA ameongezwa katika kikosi cha wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' inayojiandaa kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi tarehe 7 September 2014. Sasa Azam FC ina jumla ya wachezaji 10 katika kikosi cha Stars ambao ni