Friday, September 12, 2014

MCHEZO WA KIRAFIKI WA KIMATAIFA MBEYA CITY VS VIPERS FC

Jumamosi hii kwenye uwanja wa Sokoine  kutakuwa na mchezo wa kirafiki kati ya Mbeya City Fc na Vipers FC (Zamani Bunamwaya Fc)ya Uganda . 

Mchezo huo unamepangwa kuanza saa       10:00. 

Vipers Fc inatarajiwa kuwasili Mbeya jioni ya leo ikitokea Entebbe kupitia  Dar Es Salaam ambapo Kiingilio kitakuwa Sh.3000
Hii ikiwa ni mabadiliko kutoka kiingilio  kilichotangazwa  awali cha sh.  5000

DISMAS  TEN
OFISA HABARI
MBEYA CITY COUNCIL FC.