Kocha msaidizi wa azam Fc kali Ongala ameachia ngazi kuifundisha klabu hiyo kwa sababu ya kwenda nchini England kuendelea na masomo.

Jaffari iddy amekanusha taarifa za kocha huyo kuachia ngazi kwa sababu ya kutoelewana na klabu hiyo baada ya matokeo yasiyolizisha.
Kali alisajiliwa mwaka 2009 kama mchezaji wa ndani akitokea nchini Sweden na baadaye aliondoka nchini Uingereza kwa ajili ya kusomea ukocha na kurejea akiwa kocha msaidizi wa timu hiyo.