
Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United, Muhibu Kanu akizungumza na mkali wa dimba kupitia mtandao huu kwa njia ya simu amesema kuwa wameamua kufika jijini dar kuuona uongozi wa Yanga SC ili aruhusiwe kuwanasa wachezaji hao kuimarisha kikosi chao kilichop[o nfasi ya 10 katika msimamo wa VPL kikiwa na pointi tisa sawa na Mgambo walioko nafasi ya tisa, Polisi Morogoro (8) na Simba (7).