Saturday, April 20, 2013

WENGER AKATAAA KUFUNGUKA KUSUHU MAN U
BOSI wa Washika bunduki wa jiji la london Arsenal, mzee Arsene Wenger, amegoma kuzungumza lolote kuhusu kuipa Man United heshima wanayostahili ikiwa watatwaa Ubingwa na wakati huo huo Jumapili, Meneja wa zamani wa Liverpool, Rafael Benitez, atarudi tena Anfield kwa mara ya kwanza tangu atimuliwe na safari hii anaiongoza Chelsea, Timu ambayo baadhi ya Washabiki wake hawamkubali kabisa hasa kwa sababu ya uhasama wake na Chelsea alipokuwa Liverpool.

PATA HABARI KAMILI:
RATIBA- BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE:

Jumamosi Aprili 20
[Saa 11 Jioni]
Fulham v Arsenal
Norwich v Reading
QPR v Stoke
Sunderland v Everton
Swansea v Southampton
West Brom v Newcastle
West Ham v Wigan
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
WENGER NA MAN UNITED
Wakati Arsene Wenger akimsifia Straika wake Olivier Giroud kwa kuwa na Msimu mzuri wa kwanza na Arsenal, Meneja huyo aligoma kujibu hoja ya Wanahabari ya uwezekano wa Manchester United, ikiwa na Straika wake wa zamani Robin van Persie, kutua Emirates Jumapili ijayo Aprili 28 na kutwaa Taji la Ubingwa wa BPL, Barclays Premier League, Uwanjani hapo.
Upo uwezekano kwa Man United kutwaa Taji lao la 20 Jumatatu Usiku kwa kuifunga Aston Villa na katika Mechi inayofuata huko Emirates dhidi ya Arsenal, Klabu hiyo ya London itawajibika kuweka Gwaride la misitari miwili ya Wachezaji wake kabla Mechi kuanza na kuipigia makofi Timu ya Man United ikiingia Uwanjani kama Bingwa.
Kitendo hicho, huku Staa wao wa zamani Robin van Persie akiwemo Man United baada ya kuihama Arsenal mwanzoni mwa Msimu huu, bila shaka kitawakera sana Arsenal.
Wenger alikataa kuzungumzia hilo na kusema mkazo wake ni Mechi yao ya leo na Fulham na si Mechi ijayo na Man United.
Alisema: kikubwa  ni ushindi dhidi ya Fulham Jumamosi. Sioni sababu ya kuzungumzia Man United leo. Niulize tena Wiki ijayo"
MENEJA WA CHELSEA RAFAEL BENITEZ USO KWA USO NA LIVERPOOL"
BOSI wa muda wa  club ya Chelsea Rafael Benitez anategemea mapokezi mazuri kutoka kwa Mashabiki wa Liverpool wakati atakapotua Anfield kwa mara ya kwanza tangu atimuliwe huko Mwaka 2010 hapo Jumapili wakati Chelsea itakapocheza na Liverpool Mechi ya BPL.
Akiwa na Liverpool kwa Miaka 6, Benitez alimudu kutwaa UEFA CHAMPIONZ LIGI na FA CUP.
BENITEZ NA LIVERPOOL:
Juni 2004 - Aondoka Valencia kwenda Liverpool kumbadili Gerard Houllier
Mei 2005 - Liverpool waitoa AC Milan kwa Penati, watwaa UEFA CHAMPIONZ LIGI
Mei 2006 - Liverpool waitoa West Ham kwa Penati, watwaa FA Cup
Mei 2007 - Liverpool wafungwa 2-1 na AC Milan Fainali UEFA CHAMPIONZ LIGI
Mei 2009 - Liverpool wamaliza Nafasi ya 2 BPL nyuma ya Manchester United
Mei 2010 - Liverpool wamaliza Nafasi ya 7 BP –ikiwa nafasi ya chini kabisa tangu 1999
3 Juni 2010 - Benitez atimuliwa Liverpool
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
KOCHA huyo ametamka: “Nina Marafiki wengi huko lakini safari hii mkazo ni Soka tu. Ni kweli nilikuwa na Liverpool kwa Miaka 6 na kutwaa Mataji mengi lakini nadhani Mashabiki wataelewa sasa ni mpinzani na wao wataishabikia Timu yao!”
Akiwa na Liverpool, Benitez aliongoza Liverpool kuifunga Chelsea kwenye Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI na hatimae kutwaa Kombe Mwaka 2005 na pia kutwaa FA CUP na vilevile kuifunga tena Chelsea kwenye Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI Mwaka 2007.
Matokeo hayo yalileta ushindani mkubwa kati ya Benitez na Chelsea na hasa Meneja wao wa wakati huo, Jose Mourinho.
Matukio hayo yamewafanya baadhi ya Mashabiki wa Chelsea kutomkubali Benitez kama Meneja wao tangu alipoteuliwa Meneja wa muda Mwezi Novemba Mwaka jana ili kumbadili Roberto Di Matteo.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
RATIBA- BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE:
Jumapili Aprili 21
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Tottenham v Man City
[Saa 12 Jioni]
Liverpool v Chelsea
Jumatatu Aprili 22
[Saa 4 Usiku]
Man United v Aston Villa
MSIMAMO==BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
MAN UNITED
33
26
3
4
75
35
40
81
2
MAN CITY
32
20
8
4
58
27
31
68
3
CHELSEA
32
18
7
7
64
33
31
61
4
ARSENAL
33
17
9
7
64
35
29
60
5
TOTTENHAM
32
17
7
8
55
40
15
58
6
EVERTON
33
14
14
5
51
37
14
56
7
LIVERPOOL
33
13
11
9
59
40
19
50
8
WBA
32
13
5
14
42
43
-1
44
9
SWANSEA
32
10
11
11
43
42
1
41
10
FULHAM
33
10
10
13
44
51
-7
40
11
WEST HAM
33
10
9
14
38
47
-9
39
12
SOUTHAMPTON
33
9
11
13
47
54
-7
38
13
NEWCASTLE
33
10
6
17
42
59
-17
36
14
NORWICH
33
7
14
12
31
52
-21
35
15
SUNDERLAND
33
8
10
15
37
45
-8
34
16
STOKE CITY
33
7
13
13
28
41
-13
34
17
ASTON VILLA
33
8
10
15
36
60
-24
34
18
WIGAN
32
8
7
17
37
58
-21
31
19
QPR
33
4
12
17
29
54
-25
24
20
READING
33
5
9
19
36
63
-27
24

NANI MKALI KATI YA MESSI' VS NEYMA VS C.RONALDO


Friday, April 19, 2013

SIMBA YAPELEKA MKATABA WA NGASA TFF
Club ya Simba SC imeupeleka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mkataba wake mpya na mshambuliaji Mrisho Khalfan Ngassa, ambao unaonyesha ataitumikia klabu hiyo na msimu ujao pia, kwa mujibu wa blogu ya bin zubeiry.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya Simba SC, kimesema; “Tumeupeleka mkataba ambao Ngassa alisaini na sisi na TFF wamegonga muhuri wa kuupokea,”.
Kikifafanua, chanzo hicho kimesema; “Sisi tuliununua mkataba wa Ngassa uliokuwa umebaki Azam FC kwa shilingi Milioni 25, kwa hivyo, haki za mchezaji huyo zote zikahamia kwetu,”. “Lakini alipokuja kwetu, tukazungumza naye, akasaini mkataba wa msimu mmoja zaidi kutoka ule mkataba wake uliobaki Azam FC na tulimpa shilingi Milioni 30.

Fedha taslimu Milioni 12 na gari aina ya verosa yenye thamani ya Sh. Milioni 18, akasaini kila sehemu na kuweka dole gumba,”kilisema chanzo hicho.
Hata hivyo, chanzo hicho kimesema kwa sasa Mrisho amekuwa akilalamika kwa uongozi wa Simba kwamba alidhani alipewa Milioni 12 na Verosa ili akubali kuja Simba.
Ikumbukwe awali Ngassa aligoma kupelekwa kwa mkopo Simba SC, hadi alipofanya mazungumzo na viongozi wa klabu hiyo na kufikia makubaliano ndipo akajiunga na klabu hiyo.
Mrisho NgassaLakini chanzo hicho kimesema kwa sasa Mrisho anataka kufanya tena mazungumzo na Simba SC kwa ajili ya kusaini rasmi mkataba mwingine. “Sisi bado tunajiuliza, huyu mtu alikwishasaini na sasa anasema alidhani alipewa fedha na gari ili akubali kuja Simba SC. Inawezekana kwa sababu wachezaji wetu wana  matatizo, wakishaona fedha wao wanasaini tu bila hata kuisoma mikataba,”.

“Bado tunatafakari, tunaweza kurudi naye mezani, ili aitumikie klabu kwa moyo bila kinyongo, au tu tukaamua autumikie mkataba ambao tayari tumekwishausajili na TFF,”kilisema chanzo.
Siku zote, Mrisho mwenyewe amekuwa akisistiza hakusaini mkataba mwingine Simba SC akitokea Azam, bali anajua alikuja kumalizia mkataba wake wa klabu yake ya zamani.

Mrisho Ngassa alipelekwa kwa mkopo Simba baada ya kuonyesha mapenzi kwa klabu yake ya Zamani ya yanga.
IBF YATEUA REFA PAMBANO LA CHEKA VS MASHALI
SHIRIKISHO la Ngumi la Kimataifa (IBF) limeteua refarii na majaji wa pambano la kutetea ubingwa wa Afrika kati ya anayeushukilia ubingwa huo Francis Cheka wa Tanzania na mpinzani wake Thomas Mashali ambaye ni bingwa wa uzito wa Middle ukanda wa Afrika ya Mashariki na Kati (ECAPBA). Refarii wa mpambano huo wa kukata na shoka atakuwa ni John Shipanuka kutoka nchini Zambia mbaye alilisimamia pambano kati yaFrancis Chaka na Mada Maugo mwaka jana kwa ustadi mkubwa. Shipanuka ni Afisa Ugavi katika jeshi la Jamhuri ya Watu wa Zambia na ana ujuzi mkubwa wa kusimamia mapambano ya ngumi ya kimataifa.
Aidha, majaji wa mpambano huo ni Daudi Chikwanje kutoka Malawi ambaye ndiye Katibu Mkuu wa Chama Cha Ngumi Cha Malawi na ambaye anakuwa jaji namba moja. Steve Okumu wa Kenya ambaye anakuwa jaji namba mbili na Ismail Sekisambu wa Uganda ambaye anakuwa jaji namba tatu.
Msimamizi mkuu wa mpambano huo ni Rais wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati Mtanzania Onesmo Ngowi.Hata hivyo Ngowi amemwagiza Mwenyekiti wa Kamati ya Viwango  na Ushindi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Nchini (TPBC)Boniface Wambura amshikie nafasi hiyo ili Ngowi apate nafasi nzuri ya kusimamia mapambano matatu ( moja la ubingwa wa dunia kwa vijana,, lingine la ubingwa wa mabara kwa wanawake na lingine ubingwa wa Afrika) yatakayofanyika nchini Ghana tarehe 3 mwezi Mei.        
Nayo Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini TPBC imeshateua maofisa watakaosimamia mapambano ya awali pamoja na kutoa kibali kwa kampuni ya Mumask Investment and Gebby ili iendeshe mpambano huo"                          
Hii ni mara ya pili kwa bondia Francis Cheka kutetea ubingwa wake tangu amsambaratishe kwa TKO bondia machachari Mada Maugokatika mpambano uliofanyika mwaka jana mwezi wa Aprili katika ukumbi wa PTA jijini Dar es Salaam.
MURRAY ASHINDWA KUSONGA MBELE
MCHEZAJI nyota tetenesi namba moja wa Uingereza, Andy Murray ameshindwa kusonga mbele katika hatua ya nane bora baada ya kukubali kipigo cha 6-1 6-2 kutoka kwa Stanislas Wawrinka katika mzunguko wa tatu wa michuano ya Monte Carlo Masters inayoendelea huko Monaco. Murray ambaye ameshinda mara nane katika mechi 12 walizokutana Wawrinka wa Switzerland katika mchezo huo alionekana kucheza chini ya kiwango chake cha kawaida nafasi ambayo ilitumiwa vyema na mpinzani wake kuhakikisha anaibuka kidedea. Kupoteza mchezo huo ni pigo kubwa kwa Murray ambaye alikuwa akitumia michuano hiyo kujiandaa kwa ajili ya kutetea taji lake la michuano ya wazi ya Ufaransa. Kwa upande mwingine Novak Djokovic na Rafael Nadal wao walifanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo baada ya kushinda mechi zao.


RAIS wa klabu ya fc Barcelona, Sandro Rosell amebainisha kuwa amepanga kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kingine pindi atakapomaliza kipindi cha kwanza mwaka 2016. Rosell alichaguliwa kuwa rais wa klabu hiyo ya Hispania mwaka 2010 ambapo hapo kabla alikuwa mjumbe wa bodi katika uongozi wa aliyekuwa rais wa klabu hiyo Joan Laporta kabla ya kujiuzulu mwaka 2005. Chini ya uongozi wa Rosell Barcelona imefanikiwa kushinda taji moja la Ligi ya Mabingwa Ulaya, taji lingine moja la Ligi Kuu nchini Hispania na moja la Kombe la Mfalme ambapo msimu huu wako katika nafasi ya kunyakuwa taji lingine la ligi huku wakiwa katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. 
Barcelona inamilikiwa na maelfu ya wanachama ambao huchagua rais na kamati ya utendaji, uchaguzi ambao hufuatiliwa kwa karibu na mashabiki wa soka wa mji huo na nchi nzima kwa ujumla.
BPL: JE NANI KUSHUKA DARAJA, NANI WATANUSURIKA
BPL_LOGO












DONDOO:
Reading na Queens Park Rangers zipo hatarini kushuka daraja .
hata hivyo zipo Aston Villa, Wigan, Stoke City, Sunderland, Norwich na 
Newcastle
MSIMAMO-Timu za chini: kuanzia nafasi ya 8"
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
8
WBA
32
13
5
14
42
43
-1
44
9
SWANSEA
32
10
11
11
43
42
1
41
10
FULHAM
33
10
10
13
44
51
-7
40
11
WEST HAM
33
10
9
14
38
47
-9
39
12
SOUTHAMPTON
33
9
11
13
47
54
-7
38
13
NEWCASTLE
33
10
6
17
42
59
-17
36
14
NORWICH
33
7
14
12
31
52
-21
35
15
SUNDERLAND
33
8
10
15
37
45
-8
34
16
STOKE CITY
33
7
13
13
28
41
-13
34
17
ASTON VILLA
33
8
10
15
36
60
-24
34
18
WIGAN
32
8
7
17
37
58
-21
31
19
QPR
33
4
12
17
29
54
-25
24
20
READING
33
5
9
19
36
63
-27
24
NEWCASTLE UNITED
MECHI ZILIZOBAKI:
Aprili 20: West Brom v Newcastle
April: Newcastle v Liverpool
Mei 4: West Ham v Newcastle.
Mei 12: QPR v Newcastle
May 19: Newcastle v Arsenal




NORWICH CITY
MECHI ZILIZOBAKI:
Aprili 20: Norwich City v Reading
Aprili 27: Stoke v Norwich City
04 Mei 4: Norwich City v Aston Villa
Mei 12: Norwich City v West Brom
Mei 19: Man City v Norwich City







SUNDERLAND
MECHI ZILIZOBAKI:
Aprili 20: Sunderland v Everton
Aprili 29: Aston Villa v Sunderland
06 Mei: Sunderland v Stoke
Mei 12: Sunderland v Southampton
Mei 19: Tottenham v Sunderland





STOKE CITY
MECHI ZILIZOBAKI:
Aprili 20: a v QPR
Aprili 27: Stoke City v Norwich
Mei 6: Sunderland v Stoke City
Mei 12: Stoke City v Tottenham
Mei 19: Southampton v Stoke City






ASTON VILLA
MECHI ZILIZOBAKI:
Aprili 22: Man United v Aston Villa
Aprili 29: Aston Villa v Sunderland
Mei 4: Norwich v Aston Villa
Mei 11: Aston Villa v Chelsea
Mei 19: Wigan v Aston Villa






WIGAN ATHLETIC

MECHI ZILIZOBAKI
Aprili 20: West Ham  v Wigan
Aprili 27: Wigan v Tottenham
Mei 4: West Brom v Wigan
Mei 7: Wigan v Swansea
Mei 11: Wigan v Man City (FA Cup-Fainali, Wembley)
Mei 14: Arsenal v Wigan
Mei 19: Wigan v Aston Villa


QUEENS PARK RANGERS

Aprili 20: QPR v Stoke
Aprili 28: Reading v QPR
Mei 4: QPR v Arsenal
Mei 12: QPR v Newcastle
Mei 19: Liverpool v QPR




READING
Aprili 20: Norwich v Reading
Aprili 28: Reading v QPR
Mei 4: Fulham v Reading
Mei 12: Reading v Man City
Mei 19: West Ham v Reading
Neil Warnock says:





MSIMAMO==BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE 
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
MAN UNITED
33
26
3
4
75
35
40
81
2
MAN CITY
32
20
8
4
58
27
31
68
3
CHELSEA
32
18
7
7
64
33
31
61
4
ARSENAL
33
17
9
7
64
35
29
60
5
TOTTENHAM
32
17
7
8
55
40
15
58
6
EVERTON
33
14
14
5
51
37
14
56
7
LIVERPOOL
33
13
11
9
59
40
19
50