TIMU ya taifa ya Brazil imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi yake ya pili ya Kombe la Mabara ambapo mshambuliaji mpya wa FC Barcelona Neymar akiifungia timu yake bao safi kunako dakika ya 10 ya kipindi cha kwanza kabla ya kumtengenezea nafasi ya kufunga bao la pili Jo.
Brazil imeichalaza Mexico mabao 2-0 ambapo sasa imefanikiwa kufikisha ponti sita na kuzidi kuziweka katika nafasi nzuri na kuongoza Kundi A.
katika goli hili hilo Daniel Alves alipiga krosi safi kutoka kulia ambapo ilimfikia Neymar akaitokea kwa mbele ya beki wa Mexico, kabla ya kuhadaa na kumtungua kipa Jose Corona dakika ya tisa na dakika ya 90 akampa pande Jo kufunga la pili.
Katika mchezo huo uliokuwa chini refa Howard Webb wa Uingereza, kikosi cha Brazil kilikuwa: Cesar, Alves, Silva, Luiz, Marcelo, Luiz Gustavo, Paulinho, Oscar/Hernanes dk62, Hulk/Lucas Moura dk78, Neymar na Fred.
Mexico: Corona, Rodriguez, Salcido, Torrado, Dos Santos, Henandez, Moreno, Guardado, Torres/Barrera dk70, Mier na Flores/Herrera dk68.
MSIMAMO KUNDI A
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
1
|
Brazil
|
2
|
2
|
0
|
0
|
5
|
0
|
5
|
6
|
2
|
Italy
|
2
|
2
|
0
|
0
|
6
|
4
|
2
|
6
|
3
|
Mexico
|
2
|
0
|
0
|
2
|
1
|
4
|
-3
|
0
|
4
|
Japan
|
2
|
0
|
0
|
2
|
3
|
7
|
-4
|
0
|
MSIMAMO KUNDI B
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
PTS
|
1
|
Nigeria
|
1
|
1
|
0
|
0
|
6
|
1
|
5
|
3
|
2
|
Hispain
|
1
|
1
|
0
|
0
|
2
|
1
|
1
|
3
|
3
|
Uruguay
|
1
|
0
|
0
|
1
|
1
|
2
|
-1
|
0
|
4
|
Tahiti
|
1
|
0
|
0
|
1
|
1
|
6
|
-5
|
0
|
RATIBA LEO
Alhamis Juni 20
Saa 4 usiku
Spain vs Tahiti
Saa 7 usiku
Nigeria vs Uruguay