Tuesday, November 4, 2014

RAIS WA BARCA BARTOMEU AKANUSHA BARCELONA KUWA NA MGOGORO.

RAIS wa Barcelona, Josep Maria Bartomeu amesisitiza kuwa hakuna mgogoro wowote Camp Nou na kudai kocha Luis Enrique bado anaungwa mkono na klabu hiyo.
Baada ya kuanza vyema msimu wa La Liga, Barcelona walijikuta wakiteleza kutoka nafasi ya kwanza mpaka ya nne katika msimamo wa ligi kufuatia vipigo viwili mfululizo dhidi ya Real Madrid na Celta Vigo.

Kumekuwa na taarifa kutoka vyombo vya habari vya Hispania kuwa wachezaji nyota wa timu hiyo hawakufurahishwa na kikosi kilichoanza na mbinu walizoelekezwa wakati walipofungwa na mabao 3-1 na Madrid. 
Hata hivyo, Bartomeu amesema haamini kama kufungwa mechi mbili kutaleta tatizo lolote kwani bado wana imani kuwa Enrique ndiye mtu sahihi kwa kazi hiyo.

JE WAJUA KUFANYA KAZI USIKU KUNA MADHARA MAKUBWA

Wanasayansi wanasema kuwa kufanya kazi katika muda usio wa kawaida kikazi au katika mazingira yaliyo ya upweke kunaweza kuzeesha ubongo na kufanya uwezo wa utendaji kuwa duni.
Utafiti huo umeeleza katika jarida la Occupational and Environmental Medicine kuwa iwapo kazi za kupokezana, mfano nyakati za usiku zitafanywa kwa takriban miaka kumi mfululizo zitazeesha ubongo kabla ya wakati wake.
Wanasayansi wanasema ahueni imeonekana kwa watu baada ya kuacha kufanya kazi hizo lakini ilichukua miaka mitano kurejea kwenye hali ya kawaida.
Utafiti huu unaelezwa kuwa muhimu, kwa kuwa waathiriwa wengi kutokana na tatizo hilo wamekuwa wakilala usingizi wa mang'amung'amu
Moja ya madhara yatokanayo na kufanya kazi usiku ni kuongezeka uzito kupita kiasi                    
Wataalam hawa wameiambia BBC kuwa miili na akili zimejengwa kwa kufanya kazi mchana na kulala nyakati za usiku.
Athari mbaya ambazo zinaelezwa kutokana na mtindo huo wa ufanyaji kazi ni madhara ya Saratani na uzito mkubwa.
Timu ya wanasayansi kutoka chuo cha Swansea na Toulouse wameonesha kuwa kuna madhara ya kiakili pia.

RASMI:KALI ONGALA WA AZAM FC ACHIA NGAZI KUIFUNDISHA TIMU HIYO

Kocha msaidizi wa azam Fc kali Ongala ameachia ngazi kuifundisha klabu hiyo kwa sababu ya kwenda nchini England kuendelea na masomo.
Jafari iddy Maganga Ofisa Habari wa klabu hiyo amesema kocha huyo amekuwa akishiriki kozi fupi fupi za ukocha kwa muda mrefu nchini humo,lakini sasa ameamua kuomba uongozi wa klabu hiyo muda mrefu wa kwenda kasoma masomo hayo yatakayochukuwa muda mrefu.
Jaffari iddy amekanusha taarifa za kocha huyo kuachia ngazi kwa sababu ya kutoelewana na klabu hiyo baada ya matokeo yasiyolizisha.
Kali alisajiliwa mwaka 2009 kama mchezaji wa ndani akitokea nchini Sweden na baadaye aliondoka nchini Uingereza kwa ajili ya kusomea ukocha na kurejea akiwa kocha msaidizi wa timu hiyo.

UEFA CHAMPIONZ LIGI:LIVERPOOL KUTUA BENEBEU KUUMANA NA REAL MADRID

UCL-2014-15-LOGORatiba Mechi za Kesho
Jumanne Novemba 4
KUNDI A
Juventus v Olympiakos              
Malmö FF v Atletico Madrid             
KUNDI B
FC Basel v Ludogorets Razgrad         
Real Madrid v Liverpool             

KUNDI C
2000 Zenit St Petersburg v Bayer Leverkusen  
Benfica v AS Monaco                 

KUNDI D
Arsenal v Anderlecht                 
Borrussia Dortmund v Galatasaray     Jumatano Novemba 5

KUNDI E
Bayern Munich v AS Roma          
Man City v CSKA             

KUNDI F
Ajax v Barcelona             
Paris Saint-Germain v Apoel Nicosia               

KUNDI G
NK Maribor v Chelsea                
Sporting Lisbon v Schalke          

KUNDI H
Athletic Bilbao v FC Porto          
Shakhtar Donetsk v BATE Borisov
MSIMAMO:
KUNDI A
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Atletico Madrid
3
2
0
1
8
3
5
6
Olympiacos
3
2
0
1
4
4
0
6
Juventus
3
1
0
2
2
2
0
3
Malmo
3
1
0
2
2
7
-5
3


KUNDI B
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Real Madrid CF
3
3
0
0
10
2
8
9
PFC Ludogorets
3
1
0
2
3
4
-1
3
FC Basel 1893
3
1
0
2
2
6
-4
3
Liverpool FC
3
1
0
2
2
5
-3
3

KUNDI C
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Bayer Leverkusen
3
2
0
1
5
2
3
6
AS Monaco
3
1
2
0
1
0
1
5
FC Zenit St Petersburg
3
1
1
1
2
2
0
4
Benfica
3
0
1
2
1
5
-4
1
KUNDI D
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Borussia Dortmund
3
3
0
0
9
0
9
9
Arsenal FC
3
2
0
1
6
4
2
6
RSC Anderlecht
3
0
1
2
2
6
-4
1
Galatasaray AÅž                  
3
0
1
2
2
9
-7
 1

KUNDI E
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
FC Bayern München
3
3
0
0
9
1
8
9
AS Roma
3
1
1
1
7
9
-2
4
Manchester City FC
3
0
2
1
3
4
-1
2
PFC CSKA                            
3
0
1
2
3
-8
-5
 1

KUNDI F
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Paris Saint-Germain
3
2
1
0
5
3
2
7
FC Barcelona
3
2
0
1
6
4
2
6
AFC Ajax
3
0
2
1
3
5
-2
2
APOEL FC                          
3
0
1
2
1
3
-2
 1

KUNDI G
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
Chelsea
3
2
1
0
8
1
7
7
Schalke
3
1
2
0
6
5
1
5
NK Maribor
3
0
2
1
2
8
-6
2
Sporting Lisbon
3
0
1
2
4
6
-2
1
KUNDI H
KLABU
P
W
D
L
F
A
+/-
Pts
FC Porto
3
2
1
0
10
3
7
7
Shakhtar Donetsk
3
1
2
0
9
2
7
5
BATE Borisov
3
1
0
2
2
14
-12
3
Athletic Bilbao
3
0
1
2
2
4
-2
1