Tuesday, May 14, 2013

AL AHLY KUUMANA USO KWA USO NA USO NA MAHASIMU WAO MISRI ZAMALEK

Katika Jijini Cairo, Misri  hii leo Droo ya hatua ya Makundi ya Mashindano ya CAF ya CHAMPIONZ 
LIGI imechukua nafasi na Mabingwa Watetezi Al Ahly wataanza utetezi wa Taji lao kwa kucheza Ugenini na wenzao Mahasimu wao wakubwa wa huko Misri Zamalek ambao wamepangwa pamoja kwenye Kundi A.
Hii ni mara ya pili kwa Miaka miwili mfululizo kwa
 Miambahiyo ya Misri kupangwa Kundi moja kwenye
michuano hii na safari hii wako pamoja na Orlando
 Pirates ya SouthAfrica na Timu mpya kwenye
 Mashindano haya ACLeopards ya Congo ambayo
 Mwaka jana ilitwaa Kombe la Shirikisho.
aidha Kundi B lina Timu za Esperance ya Tunisia, ambayo ndio ilitolewa Fainali na
 Al Ahly kwenye michuano hii Mwaka jana, na nyingine ni Coton Sport ya Cameroo
n, Sewe Sport ya Ivory Coast na Recreativo de Libolo of Angola, ambao ndio
 waliwatupa nje ya michuano hii waliokuwa Mabingwa wa Tanzania, Simba SC.
hata hivyo Mechi za Makundi zitachezwa kwa Mtindo wa Ligi wa Nyumban
i na Ugenini na Washindi wawili wa juu wa kila Kundi watasonga Nusu Fainali.
Mechi za Makundi zitachezwa kuanzia Julai hadi Septemba huku Nusu Fainali
ikitarajiwa kuwa Oktoba.
DROO:
KUNDI A
Al Ahly  (Egypt)
AC Leopards (Congo)
Orlando Pirates (South Africa)
Zamalek (Egypt)
KUNDI B
Esperance (Tunisia)
Coton Sport (Cameroon)
Recreativo de Libolo (Angola)
Sewe Sport (Ivory Coast)
HABARI HII YA CHINI TULIITOA MEI 7
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO: DROO RAUNDI YA MCHUJO YAFANYWA"
DROO YA RAUNDI YA MCHUJO:
TP Mazembe (DRC) v Liga Muculmana (Mozambique)
St George (Ethopia) v ENPPI (Egypt)
Stade Malien (Mali) v Lydia Academic (Burundi)
Enugu Rangers (Nigeria) v CS Sfaxien (Tunisia)
FUS Rabat (Morocco) v FAR Rabat (Morocco)
CA Bizertin (Tunisia) v Ismaily (Egypt)
Entente Setif (Algeria) v US Bitam (Gabon)
JSM Bejaia (Algeria) v Etoile Sahel (Tunisia)
-MECHI KUCHEZWA Mei 17-19 na Marudiano Mei 31-Jun1 2
-FAHAMU: WASHINDI 8 WA RAUNDI HII WATAINGIZWA KWENYE
 DROO KUPANGA MAKUNDI MAWILI YA TIMU 4 KILA MOJA.