LIGI imechukua nafasi na Mabingwa Watetezi Al Ahly wataanza utetezi wa Taji lao kwa kucheza Ugenini na wenzao Mahasimu wao wakubwa wa huko Misri Zamalek ambao wamepangwa pamoja kwenye Kundi A.
Hii ni mara ya pili kwa Miaka miwili mfululizo kwa
Miambahiyo ya Misri kupangwa Kundi moja kwenye
michuano hii na safari hii wako pamoja na Orlando
Pirates ya SouthAfrica na Timu mpya kwenye
Mashindano haya ACLeopards ya Congo ambayo
Mwaka jana ilitwaa Kombe la Shirikisho.
Miambahiyo ya Misri kupangwa Kundi moja kwenye
michuano hii na safari hii wako pamoja na Orlando
Pirates ya SouthAfrica na Timu mpya kwenye
Mashindano haya ACLeopards ya Congo ambayo
Mwaka jana ilitwaa Kombe la Shirikisho.
aidha Kundi B lina Timu za Esperance ya Tunisia, ambayo ndio ilitolewa Fainali na
Al Ahly kwenye michuano hii Mwaka jana, na nyingine ni Coton Sport ya Cameroo
n, Sewe Sport ya Ivory Coast na Recreativo de Libolo of Angola, ambao ndio
waliwatupa nje ya michuano hii waliokuwa Mabingwa wa Tanzania, Simba SC.
Al Ahly kwenye michuano hii Mwaka jana, na nyingine ni Coton Sport ya Cameroo
n, Sewe Sport ya Ivory Coast na Recreativo de Libolo of Angola, ambao ndio
waliwatupa nje ya michuano hii waliokuwa Mabingwa wa Tanzania, Simba SC.
hata hivyo Mechi za Makundi zitachezwa kwa Mtindo wa Ligi wa Nyumban
i na Ugenini na Washindi wawili wa juu wa kila Kundi watasonga Nusu Fainali.
i na Ugenini na Washindi wawili wa juu wa kila Kundi watasonga Nusu Fainali.
Mechi za Makundi zitachezwa kuanzia Julai hadi Septemba huku Nusu Fainali
ikitarajiwa kuwa Oktoba.
ikitarajiwa kuwa Oktoba.
DROO:
KUNDI A
Al Ahly (Egypt)
AC Leopards (Congo)
Orlando Pirates (South Africa)
Zamalek (Egypt)
KUNDI B
Esperance (Tunisia)
Coton Sport (Cameroon)
Recreativo de Libolo (Angola)
Sewe Sport (Ivory Coast)
HABARI HII YA CHINI TULIITOA MEI 7
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO: DROO RAUNDI YA MCHUJO YAFANYWA"
DROO YA RAUNDI YA MCHUJO:
TP Mazembe (DRC) v Liga Muculmana (Mozambique)
St George (Ethopia) v ENPPI (Egypt)
Stade Malien (Mali) v Lydia Academic (Burundi)
Enugu Rangers (Nigeria) v CS Sfaxien (Tunisia)
FUS Rabat (Morocco) v FAR Rabat (Morocco)
CA Bizertin (Tunisia) v Ismaily (Egypt)
Entente Setif (Algeria) v US Bitam (Gabon)
JSM Bejaia (Algeria) v Etoile Sahel (Tunisia)
-MECHI KUCHEZWA Mei 17-19 na Marudiano Mei 31-Jun1 2
-FAHAMU: WASHINDI 8 WA RAUNDI HII WATAINGIZWA KWENYE
DROO KUPANGA MAKUNDI MAWILI YA TIMU 4 KILA MOJA.
DROO KUPANGA MAKUNDI MAWILI YA TIMU 4 KILA MOJA.