
Raundi ya Tano
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Februari 15
15:45 Sunderland v Southampton
18:00 Cardiff v Wigan
18:00 Sheff Wed v Charlton
20:15 Man City v Chelsea
Jumapili Februari 16
16:30 Everton v Swansea
18:00 Sheff Utd v Nottm Forest
19:00 Arsenal v Liverpool
Jumatatu Februari 17
22:45 Brighton v Hull City
MANCHESTER CITY v CHELSEA
Man City hawajashinda katika Mechi zao
mbili zilizopita, wakifungwa moja na Sare moja, lakini Chelsea
hawajafungwa katika Mechi zao 12 zilizopita wakishinda 9 na Sare 3.
ARSENAL VS LIVERPOOL KESHO FEB16
Kwenye FA CUP, Timu hizi zimekuwa
zikukutana kila Msimu katika Misimu 12 iliyopita na Arsenal kushinda
mara 7, zikiwemo Fainali 2, na Liverpool kushinda Fainali 1 na kusonga
mara 4 mbele ya Arsenal.
Katika Mechi za FA CUP 8 zilizopita , Arsenal wamefungwa moja tu na Liverpool na hiyo ilikuwa kwenye Fainali ya 2001.
Katika Mechi 12 zilizopita wakicheza kwao Emirates, Arsenal hawajafungwa hata Bao moja kati Mechi 11.
Liverpool hawajafungwa katika Mechi 9 zilizopita wakishinda 7 na Sare 2.