MBALI ya Juventus kutangulia kwa Bao 2 za mapema kupitia Carlos Tevez, Hellas Verona walijipanga na hatimaye kurudisha Bao zote na kupata Sare ya Bao 2-2 walipocheza na Mabingwa hao wa Italy ambao pia ni Vinara wa Serie A huko Italy.
Baada Tevez kupiga Bao 2, Luca Toni
aliifungia Hellas Verona Bao la kwanza na Muargetina Juanito Gomez
kusawazisha katika Dakika ya 94.
Baada ya hii Leo Timu ya Pili AS Roma
nao kubanwa na kutoka Sare 0-0 Lazio, Juve wamebaki kileleni wakiwa
Pointi 9 mbele ya AS Roma na wako Pointi 13 mbele ya Timu ya Tatu Napoli
ambao waliifunga AC Milan 3-1 hapo Jana Jumamosi.
RATIBA/MATOKEO:
Jumapili Februari 9
Torino 1 Bologna 2
Lazio 0 AS Roma 0
Parma 0 Catana 0
Sampdoria 1 Cagliari 0
Livorno 0 Genoa 1
Hellas Verona 2 Juventus 2
2245 Inter Milan v Calcioa
MSIMAMO-Timu za Juu:
NA | TIMU | P | W | D | L | F | A | GD | PTS |
1 | Juventus FC | 23 | 19 | 3 | 1 | 56 | 18 | 38 | 60 |
2 | AS Roma | 22 | 15 | 6 | 1 | 45 | 11 | 34 | 51 |
3 | SSC Napoli | 23 | 14 | 5 | 4 | 47 | 27 | 20 | 47 |
4 | Fiorentina | 23 | 13 | 5 | 5 | 42 | 24 | 18 | 44 |
5 | Hellas Verona | 23 | 11 | 3 | 9 | 39 | 37 | 2 | 36 |
6 | Inter Milan | 22 | 8 | 9 | 5 | 39 | 27 | 12 | 33 |