Wednesday, March 19, 2014

CHELSEA YAIZIBUA GALATASARAY 2-MTUNGI.

Club ya soka ya Chelsea imefanikiwa kuichalaza Timu ya  Galataray ya Uturuki kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye UWanja wa Stamford Bridge London.

Mabao ya Chelsea yaliwekwa kimiani  na Samuel Eto’o na beki Garry Cahill na kuipa Chelsea ushindi wa jumla ya mabao 3-1 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 jijini Istambul katika mechi ya kwanza.
UEFA CHAMPIONZ LIGI

Raundi ya Mtoano ya Timu 16

MARUDIANO MATOKEO.

Jumanne Machi 18

Chelsea FC 2 Galatasaray Spor Kulübü 0 [3-1]

Real Madrid CF 3 Schalke 1 [9-2]

RATIBA MECHI ZA LEO:

Jumatano Machi 19

22:45 BV Borussia Dortmund v Zenit St. Petersburg [4-2]

22:45Man United v Olympiacos CFP [0-2].