Friday, March 28, 2014

BPL:ARSENAL KUIKARIBISHA MAN CITY UWANJANI EMIRATES".

Kesho Jumamosi Ligi Kuu nchini uingereza inaingia tena kilingeni kwa michezo 7 kuanzia Mechi ya Saa Tisa na dakika 45 katika uwanja wa Old Trafford kati ya Manchester United na Aston Villa na kumalizika Usiku kwa Bigi Mechi Uwanjani Emirates kati ya Arsenal na Man City.
RATIBA
[Saa za Bongo]
Jumamosi Machi 29
15:45 Man United v Aston Villa
18:00 Crystal Palace v Chelsea
18:00 Southampton v Newcastle
18:00 Stoke v Hull
18:00 Swansea v Norwich
18:00 West Brom v Cardiff
20:30 Arsenal v Man Cit
Arsene Wenger, Meneja wa Arsenal, licha ya kukaririwa kukiri kwamba wao hawana nafasi ya kutwaa Ubingwa, ametamka kwamba bado lengo lao ni kuwa Mabingwa.
Amesema: “Hatuna kitu kingine zaidi ya kuwa Bingwa! Hiyo ndio azma yetu ya kwanza!”
Lakini Arsenal wanapambana na Man City ambayo iliwakung’uta Bao 6-3 Mwezi Desemba katika Mechi ya Ligi Uwanjani Etihad.
Wenger amesisitiza ni muhimu kwao kuonyesha nguvu Nyumbani kwao na hilo ndio litakalodhihirisha kama wana nafasi ya Ubingwa.
MSIMAMO:
NA TIMU P W D L F A GD PTS
1 Chelsea 31 21 6 4 62 23 39 69
2 Liverpool 31 21 5 5 84 39 45 68
3 Man City 29 21 3 5 79 27 52 66
4 Arsenal 31 19 6 6 54 35 19 63
5 Everton 30 16 9 5 46 30 16 57
6 Tottenham 31 17 5 9 40 40 0 56
7 Man United 31 15 6 10 48 37 11 51
8 Newcastle 31 14 4 13 38 43 -5 46
9 Southampton 31 12 9 10 45 40 5 45
10 Stoke 31 9 10 12 36 45 -9 37
11 West Ham 31 9 7 15 34 41 -7 34
12 Aston Villa 30 9 7 14 33 42 -9 34
13 Hull 31 9 6 16 33 39 -6 33
14 Norwich 31 8 8 15 26 48 -22 32
15 Swansea 31 7 9 15 41 47 -6 30
16 West Brom 30 5 13 12 33 45 -12 28
17 Crystal Palace 30 8 4 18 19 39 -20 28
18 Sunderland 29 6 7 16 27 45 -19 25
19 Cardiff 31 6 7 18 26 58 -32 25
20 Fulham 31 7 3 21 30 70 -40 24
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
[Saa za Bongo]
Jumapili Machi 30
1530 Fulham v Everton
1800 Liverpool v Tottenham
Jumatatu Machi 31
2200 Sunderland v West Ham