Tuesday, July 22, 2014

CECAFA KAGAME CUP: RATIBA HADHARANIYANGA KUANZA NA RAYON!

Ratiba ya Mashindano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA KAGAME CUP, ambayo yatachua nafasi huko Kigali Nchini Rwanda kuanzia Agosti 8 na kumalizika Agosti 24.
Yanga, ambao walipangwa Kundi A, wataanza kwa kuivaa Rayon Sports ya Rwanda kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali hapo Ijumaa Agosti 8.
KMKM ya Zanzibar, ambao wako Kundi moja na Yanga, wataanza kwa kuivaa Atlabara ya South Sudan Siku hiyohiyo Agosti 8 kwenye Uwanja wa Nyamirambo huko Kigali.
MAKUNDI:
KUNDI A
-Rayon Sports [Rwanda]
-Yanga [Tanzania]
-Coffee [Ethiopia]
­-Atlabara [South Sudan]
-KMKM [Zanzibar]
KUNDI B
-APR FC [Rwanda]
-KCCA [Uganda]
-Flambeau de l'est [Burundi]
-Gor Mahia [Kenya]
-Telecom [Djibouti]
KUNDI C
-Vital'O [Burundi]
-El Merreikh [Sudan]
-Benadir [Somalia]
-Polisi [Rwanda]
Michezo yote zitachezwa Mjini Kigali kwenye Viwanja vya Amahoro na Nyamirambo huku Rubavu ikiwa ni Uwanja wa Akiba.
Tangu Mwaka 2002 Mdhamini wake mkuu ni Rais Paul Kagame wa Rwanda ambae amekuwa akitoa Dola 60,000 kila Mwaka.
Mashindano haya yatarushwa moja kwa moja kwenye TV na SuperSport International ambacho hivi karibuni kilisaini Mkataba wa Miaka Minne na CECAFA.
Ratiba kamili itatolewa baadae na CECAFA baada Timu zote kuthibitisha kushiriki.
Mbali ya kutwaa Kombe, Bingwa wa Kagame Cup huzoa Donge la Dola 30,000, Mshindi wa Pili Dola 20,000 na Timu ya Tatu hupata Dola 10,000.
RATIBA KAMILI:
TAREHE NA MECHI KUNDI UWANJA
Ijumaa Agosti 8 1 Atlabara v KMKM A NYAMIRAMBO
2 Rayon v Yanga A AMAHORO
3 Gor Mahia v KCCA B AMAHORO
Jumamosi Agosti 9 4 Vital ‘O’ v Banadir C AMAHORO
5 Police v El Mereikh C AMAHORO
6 APR v Flambeau B AMAHORO
Jumapili Agosti 10 7 KMKM v Young A AMAHORO
8 Telecom Vs KCCA B NYAMIRAMBO
9 Coffee v Rayon A AMAHORO
Jumatatu Agosti 11 10 Banadir v El Mareikh C NYAMIRAMBO
11 Gor Mahia v Flambeau B ‘’
12 Vital ’O’ v Police C ‘’
Jumanne Agosti 12 13 KMKM v Coffee A ‘’
14 Yanga v Atlabara A ‘’
Jumatano Agosti 13 15 APR  v Telecom B ‘’
16 KCCA v Flambeau B ‘’
Alhamisi Agosti 14 17 Coffee v Atlabara A
18 Rayon  v KMKM A
19 Police v Banadir C
Ijumaa Agosti 15 20 Flambeau v Telecom B
21 APR v Gor mahia B
22 El Mareikh v Vital ‘O’ C
Jumamosi Agosti 16 23 Coffee v Yanga A
24 Rayon v Atlabara A
Jumapili Agosti 17 25 Telecom v Gormahia B
26 KCC v APR B
Jumatatu Agosti 18 MAPUMZIKO

Jumanne Agosti 19 ROBO FAINALI

27 C1 v B3
NYAMIRAMBO
28 A1 v B2
‘’
Jumatano Agosti 20 29 A2 v C2
‘’
30 B1 v A3
‘’
Alhamisi Agosti 21 MAPUMZIKO

Ijumaa Agosti 22 NUSU FAINALI

31
32
Mshindi 27 v Mshindi 28
Mshindi 29 v Mshindi 30

AMAHORO
Jumamosi Agosti 23 MAPUMZIKO

Jumapili Agosti 24 MSHINDI WA 3 & FAINALI

33
34
Mfungwa 31 v Mfungwa 32
Mshindi 31 v Mshindi 32

AMAHORO
MUDA WA KUANZA MECHI UTAAMULIWA KATI YA CECAFA, FERWAFA NA SUPERSPORT KWA AJILI YA MATANGAZO LAIVU YA TV.