Shirikisho la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF) yaliyoko kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala ili
yawe katika kiwango cha kisasa ikiwa ni pamoja na kuwa na vitendea kazi
na miundombinu ikiwa ni pamoja na upanuzi wa ofisi.
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na
mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi. Vilevile kupitia
programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana
na TFF katika kuendeleza mradi wa kiuchumi kwenye Uwanja wa Kumbukumbu
ya Karume.