Simba wameweka kambi visiwani
Zanzibar (Unguja) chini ya kocha mkuu mpya, Mzambia, Patrick Phiri
akisaidiwa na kocha msaidizi, kiungo wa zamani wa klabu hiyo na timu ya
taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Suleiman Abdallah Matola ‘Veron’ na
kocha wa makipa, Idd Pazzi ‘Father’.