Utata wa klabu gani itatwaa Ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu huu
hakichateguliwa kwasasa, na hapo kesho kutakuwa na mechi muhimu kwa
timu zinazopigiwa upatu wa kutwaa ubingwa, Yanga na Azam fc.Vinara
Azam fc watakuwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kukabiliana na
kikosi cha Simba, wakati mabingwa watetezi, Young Africans watakuwa na
kibarua kizito mbele ya wapiga kwata wa Mgambo JKT, kwenye uwanja wa CCM
Mkwakwani, jijini Tanga.
Mechi
ya Azam fc dhidi ya Simba sc itakuwa ngumu kwa klabu zote, lakini kwa
Wana Lambalamba ina uzito wa hali ya juu katika mbio zao za kutwaa
ubingwa.
Kama
watapoteza mechi hiyo, halafu Yanga wakapata ushindi jijini Tanga, Azam
watajiweka mazingira magumu zaidi ya kubeba mwari wao wa kwanza tangu
waingie ligi kuu msimu wa 2008/2009.

Hukutakuwa na sababu yoyote kwa kikosi cha Yanga kuwadharau Mgambo kwakuwa wapo katika mstari mwekundu wa kushuka daraja.
Maskari hawa wa Jeshi la kujenga Taifa wanahitaji ushindi kwa nguvu zote kwasababu ndio matokeo pekee yanayowafaa kwasasa.
VPL-LIGI
KUU VODACOM
RATIBA:
Jumamosi
Machi 29
Ashanti
United v JKT Oljoro
Jumapili
Machi 30
Mbeya
City v Tanzania Prisons
Kagera
Sugar v Ruvu Shooting
Mtibwa
Sugar v Coastal Union
JKT
Ruvu v Rhino Rangers
Azam
FC v Simba
Mgambo
JKT v Yanga
MSIMAMO:
MSIMAMO:
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
PTS
|
1
|
Azam
FC
|
22
|
14
|
8
|
0
|
30
|
50
|
2
|
Yanga
SC
|
21
|
13
|
7
|
1
|
27
|
46
|
3
|
Mbeya
City
|
22
|
11
|
9
|
2
|
12
|
42
|
4
|
Simba
SC
|
22
|
9
|
9
|
4
|
16
|
36
|
5
|
Kagera
Sugar
|
21
|
8
|
8
|
5
|
3
|
32
|
6
|
Coastal
Union
|
22
|
6
|
11
|
5
|
2
|
29
|
7
|
Ruvu
Shooting
|
20
|
7
|
7
|
6
|
-4
|
28
|
8
|
Mtibwa
Sugar
|
21
|
6
|
8
|
7
|
-1
|
26
|
9
|
JKT
Ruvu
|
22
|
8
|
1
|
13
|
-15
|
25
|
10
|
Prisons
FC
|
21
|
3
|
10
|
8
|
-9
|
19
|
11
|
Ashanti
United
|
21
|
4
|
6
|
11
|
-18
|
18
|
12
|
Mgambo
JKT
|
21
|
4
|
6
|
11
|
-19
|
18
|
13
|
JKT
Oljoro
|
22
|
2
|
9
|
11
|
-17
|
15
|
14
|
Rhino
Rangers
|
22
|
2
|
7
|
13
|
-17
|
13
|