Gareth Bale
|
|||
Kuhusu yeye binafsi
|
|||
Full name
|
Gareth Frank Bale
|
||
Date of birth
|
|||
Place of birth
|
Cardiff, Wales
|
||
Height
|
|||
Playing position
|
|||
Timu ya sasa
|
|||
Current team
|
|||
Number
|
11
|
||
Timu za Vijana
|
|||
–
|
|||
2005–2006
|
|||
Timu za ukubwa
|
|||
Years
|
Team
|
Mechi
|
(Goli)
|
2006–2007
|
40
|
(5)
|
|
2007–2013
|
146
|
(42)
|
|
2013–
|
27
|
(15)
|
|
Timu ya Taifa
|
|||
2005–2006
|
7
|
(1)
|
|
2006
|
1
|
(1)
|
|
2006–2008
|
4
|
(2)
|
|
2006–
|
44
|
(12)
|
Wednesday, July 16, 2014
GARETH BALE LEO ATIMIZA MIAKA 25 AKIWA NDANI YA REAL MADRID
AFRIKA KUSINI YAWASILI KUIVAA SERENGETI BOYS

Timu hiyo yenye msafara wa watu 37
ilitua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jana usiku
(Julai 15 mwaka huu) na imefikia hoteli ya Sapphire. Amajimbos itafanya
mazoezi leo saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Waamuzi watakaochezesha mechi hiyo
kutoka Shelisheli wakiongozwa na Allister Barra tayari wamewasili
nchini. Kamishna wa mechi hiyo ni Andriamiasasoa Doda Nirimboavonjy
kutoka Madagascar.
Makocha wa timu za Seregenti Boys
na Amajimbos pamoja na manahodha wao watakuwa na mkutano na waandishi wa
habari kesho (Julai 17 mwaka huu) saa 5 asubuhi kwenye ofisi za
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Kiingilio katika mechi hiyo ni sh. 2,000. Tiketi zitauzwa uwanjani katika magari maalumu siku ya mechi.
SAMATA, ULIMWENGU WATUA, MWINYI KAZIMOTO KESHO
Washambuliaji Mbwana Samata na
Thomas Ulimwengu wamewasili nchini leo asubuhi (Julai 16 mwaka huu)
kutoka Tunisia kujiunga na Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi ya
Msumbiji itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Wachezaji hao wamefikia hoteli ya
Courtyard, Seaview Upanga na leo (Julai 16 mwaka huu) watafanya mazoezi
kwa programu maalumu waliyopewa na Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Mart Nooij
wakati wakiwasubiri wenzao.

Taifa Stars inayodhaminiwa na
Kilimanjaro Premium Lager itawasili Dar es Salaam kesho (Julai 17 mwaka
huu) saa 3.20 asubuhi kwa ndege ya Fastjet kutoka Mbeya tayari kwa
maandalizi ya mwisho kabla ya kuivaa Msumbiji.
RAIS MALINZI KUZUNGUMZA NA WAANDISHI
Rais wa Shirikisho la Mpira wa
Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi atakuwa na mkutano na waandishi wa
habari Ijumaa (Julai 18 mwaka huu).
Thursday, July 10, 2014
SIMBA YAMNASA HUSSEIN SHARRIF KUTOKA MTIBWA
Simba Wekundu wa Msimbazi, Simba wamekamilisha usajili wa kipa
namba moja wa Mtibwa Sugar, Hussein Sharrif
`Iker Casillas` na kumsainisha mkataba wa miaka miwili.
Casillas aliyekuwa tegemeo
katika klabu ya Mtibwa Sugar ameungana na makipa Ivo Mapunda na Abuu
Hashim katika kikosi cha Simba.
SERENGETI BOYZ VS AFRICA KUSINI AZAM COMPLEX
Timu ya Taifa ya vijana
wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boyz) inacheza mechi ya kujipima
nguvu kesho (Julai 11 mwaka huu) dhidi ya Azam U-20 kwenyeUwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Mechi hiyo ambayo ni maalumu kwa
benchi la ufundi la Serengeti Boyz likiongozwa na kocha Hababuu Ali
Omari kuangalia kikosi chao itaanza saa 2 kamili asubuhi.
Serengeti Boyz itacheza mechi yake ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika
dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos) siku ya Ijumaa, Julai 18 mwaka huu
kwenye uwanja huo huo wa Azam Complex kuanzia saa 10 kamili jioni.
Wachezaji wanaounda kikosi cha
Serengeti Boyz ni Abdallah Shimba, Abdulrasul Bitebo, Abutwalibu Mshery,
Adolf Bitegeko, Ally Mabuyu, Ally Mnasi, Amin Noren, Athanas Mdamu,
Badru Othman, Baraka Baraka, Hatibu Munishi na Issa Athuman.
Wengine ni Juma Yusuf, Kelvin Faru, Kelvin Kamalamo, Martin
Luseke, Mashaka Ngajilo, Mechata Mnata, Mohamed Abdallah, Mussa Vicent,
Nazir Barugire, Omary Omary, Omary Wayne, Prosper Mushi, Seif Seif na
Yahya Hafidh.
Wednesday, July 9, 2014
STARS, MSUMBIJI KIINGILIO 7,000/=, TIKETI KWA M-PESA.

Tiketi zinapatikana kwa mfumo wa
elektroniki kupitia M-PESA. Kiingilio hicho kwa ajili ya viti vya rangi
ya rangi ya chungwa, kijani na bluu. Viingilio katika maeneo mengine
vitatangazwa baadaye.

7000 kama kiasi cha bei ya tiketi na mwisho weka namba yao ya siri.
Baada ya hapo utapokea ujumbe wenye
orodha ya vituo vya MaxMalipo kwa ajili ya kuchukulia tiketi ukiwa na
namba ya uhakiki wa malipo yako.

Vodashop (Ubungo na Mill Pamba), Shop Mwenge (Born to Shine), Puma Petrol Station
(Mwenge na Uwanja wa Ndege), Engen Petrol Station (Mbezi Beach), Big
Bon Petrol Station (Kariakoo, Sinza Mori, Mbagala na Temeke), YMCA
(Posta Mpya), City Sports Lounge (Posta), Uwanja wa Taifa) na ofisi za TFF (PPF Tower).
BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
VPL:LIGI KUU KUANZA SEPTEMBA 20
Michuano
ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa
2014/2015 itaanza kutimua vumbi Septemba 20 mwaka huu.

Michuano ya Kombe la Kagame
inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira
wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) itafanyika Agosti mwaka huu
nchini Rwanda.
Timu 14 zitashiriki Ligi Kuu msimu huu.
Timu hizo ni mabingwa watetezi Azam, Coastal Union, JKT Ruvu Stars,
Kagera Sugar, Mbeya City, Mgambo Shooting, Mtibwa Sugar, Ndanda FC,
Polisi Morogoro, Ruvu Shooting, Simba, Stand United, Tanzania Prisons na
Yanga.
Ratiba ya ligi hiyo itatolewa mwezi mmoja kabla ya michuano hiyo kuanza kutimua vumbi.
BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Friday, July 4, 2014
ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA
RATIBA
ROBO FAINALI
IJUMAA, JULAI 4 ,2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
1900
|
France v Germany [57]
|
ROBO FAINALI
|
Estadio do Maracanã.
|
2300
|
Brazil v Colombia [58]
|
ROBO FAINALI
|
Estadio Castelão.
|
JUMAMOSI, JULAI 5, 2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
1900
|
Argentina v Belgium [59]
|
ROBO FAINALI
|
Nacional, Brasilia.
|
2300
|
Netherlands v Costa Rica [60]
|
ROBO FAINALI
|
Arena Fonte.
|
NUSU FAINALI
JUMANNE, JULAI 8, 2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Mshindi 57 v Mshindi 58 [61]
|
NUSU FAINALI
|
Estadio Mineirão
|
JUMATANO, JULAI 9, 2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Mshindi 59 Mshindi 60 [62]
|
NUSU FAINALI
|
Arena Corinthians.
|
MSHINDI WA TATU
JUMAMOSI, JULAI 12, 2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Aliefungwa 61 v Aliefungwa 62
|
MSHINDI WA 3
|
Nacional, Brasilia.
|
FAINALI
JUMAPILI, JULAI 13, 2014
| |||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2200
|
Mshindi Mechi 61 v Mshindi Mechi 62
|
FAINALI
|
Estadio do Maracanã.
|

Uso kwa Uso
Timu hizi zimekutana mara 25 na Brazil kushinda mara 15 Colombia 2 na Sare 8.
REFA: Carlos Ve
lasco [Spain]
KOMBE LA DUNIA
RATIBA
Saa za Bongo
VIKOSI VINATARAJIWA:
Brazil: Cesar, Marcelo, Silva, Alves, Luiz, Paulinho, Fernandinho, Hulk, Neymar, Fred, Willian.
Colombia: Ospina; Armero, Yepes, Zapata, Zunjiga; Guarin, Sanchez, Vargas, Martinez, Rodriguez; Teofilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)