Sunday, April 28, 2013

VILANOVA BADO YUPO YUPO NDANI YA FC BARCELONA
Meneja wa klabu ya Barcelona, Tito Vilanova ana nia ya kuendelea kuinoa klabu hiyo msimu ujao pamoja na athari za matibabu yake ya kansa ya koo na pia anaamini kuwa kikosi chake inaweza kuitoa Bayern Munich na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Akihojiwa katika mkutano wake wa kwanza na waandishi toka alipotoka katika matibabu ya mionzi jijini New York mwezi mmoja uliopita, Vilanova amesema bado ana shauku kubwa na kuendelea na kazi yake na hakuna mara moja alipofikiria kuacha. Vilanova amesema madaktari kuwa kitu kizuri cha kufanya kwasasa ili kumsaidia kupona ni kufanya kazi na anafurahia jambo hilo. Kocha huyo pia mbali na timu yake kugaragazwa na Bayern kwa mabao 4-0 Jumanne iliyopita lakini ameonyesha kujiamini kwamba wachezaji wake wanauwezo wa kugeuza matokeo katika mchezo wa marudiano utakaopigwa katika Uwanja wa Camp Nou Jumatano ijayo. Vilanova amesema anaamini wachezaji wake wanaweza kufanya maajabu katika mchezo huo haswa ikizingatiwa watakuwa wakicheza mbele ya mashabiki wao ingawa amekiri itakuwa kazi ngumu kwani wapinzania wao nao hawataifanya kazi yao iwe rahisi.

WAKATI WA NEYMA KUONDOKA SANTOS UMEWADIA
LA LIGA KUTIMUA VUMBI DIMBANI
MATOKEO
Jumamosi Aprili 27
17:00 Levante 0 v  1 Celta de Vigo
19:00 Athletic de Bilbao 2 v FC 2 Barcelona
21:00 Atletico de Madrid 1 v  2Real Madrid CF
23:00 Real Zaragoza 3 v 2 Real Mallorca
WAFUNGAJI BORA-LA LIGA:
-43 Lionel Messi (Barcelona)
-31 Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
-25 Radamel Falcao (Atletico Madrid)
-18 Alvaro Negredo (Sevilla)
-17 Roberto Soldado (Valencia)
-16 Ruben Castro (Real Betis)
-15 Piti (Rayo Vallecano)
-13 Aduriz (Athletic Bilbao) Gonzalo Higuain (Real Madrid) Carlos Vela (Real Sociedad)
-12 Riki (Deportivo Coruna)
-11 Oscar (Real Valladolid) Helder Postiga (Real Zaragoza) Jonas (Valencia)
-10 Iago Aspas (Celta Vigo) Cesc Fabregas (Barcelona) Jorge Molina (Real Betis)
-9 Kike Sola (Osasuna) Joan Verdu (Espanyol) Karim Benzema (Real Madrid) Imanol Agirretxe (Real Sociedad)
WAFUNGAJI BORA-LA LIGA:


Lionel Messi 44 (Barcelona)
-31 Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
-25 Radamel Falcao (Atletico Madrid)
-18 Alvaro Negredo (Sevilla)
-17 Roberto Soldado (Valencia)
-16 Ruben Castro (Real Betis)
-15 Piti (Rayo Vallecano)
-13 Aduriz (Athletic Bilbao) Gonzalo Higuain (Real Madrid) Carlos Vela (Real Sociedad)
-12 Riki (Deportivo Coruna)
-11 Oscar (Real Valladolid) Helder Postiga (Real Zaragoza) Jonas (Valencia)
-10 Iago Aspas (Celta Vigo) Cesc Fabregas (Barcelona) Jorge Molina (Real Betis)
-9 Kike Sola (Osasuna) Joan Verdu (Espanyol) Karim Benzema (Real Madrid) Imanol Agirretxe (Real Sociedad)

MSIMAMO WA LA LIGA 10 BORA



TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Barcelona
33
27
3
2
99
33
68
85
2
Real Madrid
33
22
5
5
83
30
55
74
3
Atletico
33
21
5
6
57
25
33
68
4
Sociedad
32
15
10
7
57
39
18
55
5
Valencia
32
15
8
9
52
46
6
53
6
Malaga CF
32
14
8
10
45
37
8
50
7
Real Betis
32
14
6
12
48
49
-1
48
8
Vallecano
33
14
4
15
43
54
-11
46
9
Getafe CF
32
12
8
12
39
48
-9
44
10
Espanyol
32
11
10
11
42
42
0
43













LA LIGA
RATIBA/MATOKEO:
[Saa za Bongo]
Jumapili Aprili 28
13:00 RCD Espanyol v Granada CF
18:00 Malaga CF v Getafe CF
20:00 Real Valladolid v Sevilla FC
22:00 Real Sociedad v Valencia




































LIVERPOOL YATOA NUSU DOZENI DHIDI YA NEWCASTLE UNITED 6-MTUNGI
MATOKEO:
Jumamosi 27 Aprili
Man City 2 West Ham 0
Everton 1 Fulham 0
Southampton 0 West Brom 3
Stoke 1 Norwich 0
Wigan 2 Tottenham 2
Newcastle 0 Liverpool 6
WAKIWA UWANJANI bila Straika waomahili, Luis Suarez, ambae leo ameanza kutumikia ADHABU  ya  Mechi 10 kwa kumng"ata" meno Branislav Ivanovic wa Chelsea, Liverpool, wakiwa ugenini Uwanjani St James Park, wamefanikiwa kuitandika Newcastle united Bao 6-0 katika Mechi ya BPL.
MAGOLI:
Newcastle 0
Liverpool 6
-Agger Dakika ya 3
-Henderson 17 & 76
-Sturridge 54 & 60
-Borini 74
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
34
43
84
2
Man City
34
30
71
3
Arsenal
34
30
63
4
Chelsea
33
31
62
5
Tottenham
34
17
62
6
Everton
35
14
59
7
Liverpool
35
25
54
8
West Brom
34
2
48
9
Swansea
33
1
42
10
West Ham
35
-8
42
11
Fulham
35
-9
40
12
Stoke
35
-10
40
13
Southampton
35
-10
39
14
Norwich
35
-21
38
15
Sunderland
34
-7
37
16
Newcastle
35
-23
37
17
Aston Villa
34
-27
34
18
Wigan
34
-23
32
19
QPR
34
-27
24
20
Reading
34
-28
24
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
Jumapili 28 Aprili
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Reading v QPR
[Saa 11 Jioni]
Chelsea v Swansea City
[Saa 12 Jioni]
Arsenal v Man United
Jumatatu 29 Aprili
[Saa 4 Usiku]
Aston Villa v Sunderland

Friday, April 26, 2013

INIESTA AFUNGUKA KUHUSU  KIPIGO CHA BAO 4-0

KIUNGO wa klabu ya FC Barcelona, Andres Iniesta amesisitiza kuwa watu hawaitendei haki timu hiyo baada ya kufungwa na Bayern Munich mabao 4-0 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Watu ambali mbalimbali wamekuwa wakiponda kiwango cha timu hiyo baada ya kupigo hicho cha kushtusha walichikipata katika Uwanja wa Allianz Arena Jumanne huku wengi wengi wao wakidai enzi za timu hiyo kung’ara zimekwisha. Hata hivyo Iniesta amesisitiza kuwa ni mapema mno kudai kuwa kiwango cha timu hiyo kimekwisha na kuwataka watu wawape heshima zaidi kwasababu wanastahili. Iniesta amesema katika kipindi cha misimu mitano wameshinda taji la Ligi ya Mabingwa mara tatu na kufika zaidi ya mara tatu nusu fainali na kwasasa wanakaribia kunyakuwa taji la nne la ligi na kwao hayo ni mafanikio makubwa. Nyota huyo aliendelea kusema kuwa badala ya watu kuwaponda wanatakiwa wawaheshimu kwasababu wamekuwa wakijitolea kwa kila kitu pindi wanapokuwa uwanjani na wamefanikiwa mambo mengi. Barcelona inatarajiwa kukwaana na Athletico Bilbao baadae leo katika mchezo wa La Liga .
DANY LYANGA AIPA YANGA UBINGWA LEO NA KULETA SHANGWE JANGWANI"
Katika mechi ya ligi kuu iliochezwa leo katika dimba la uwanja wa mkwakwani jijini tanga kati ya wawakilishi wa tanzania waliobaki katika michuano ya kombe la shirikisho barani africa azam fc wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wagosi wa kaya coastal union katika mchezo uliokuwa na upinzani wa hali ya juu.

Katika mchezo huo azam fc ndio wa kwanza kupata bao kupitia waliokuwa wa klililowekwa kimiani na beki Aggrey Morris kwa  njia ya mkwaju wa penalti dakika ya 60, baada ya mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Gaudence Mwaikimba kuchezewa rafu katika eneo la hatari  na beki Yussuf Chuma na refa Andrew Shamba wa Pwani kuamuru penalti.
Kwa upande wa coastal union lilipata bao kunako dakika ya  72 mshambuliaji wao hatari dany lyanga aliechukuwa nafasi ya mzenji suileman kassim selembe nakupelea kuleta furaha za ubingwa kwa wanajangwani dar es salaam yanga afrika.
Kwa Matokeo hayo yanaonyesha kuwa Azam FC waliokuwa washindani wakuu wa Yanga SC yenye pointi 56,  kamwe hawawezi kufikisha pointi hizo ambazo wanazo mabingwa hao wapya, kwani hata wakishinda mechi zao nyingine  mbili zilizobaki, watamaliza na pointi 54. 
MECHI ZILIZOBAKI KWA VIGOGO

AZAM FC
Mei 11, 2013;    Vs Mgambo JKT  (Chamazi)
Mei 18, 2013;    Vs JKT Oljoro      (Arusha)

P W D L GF GA GD Pts
2 Azam FC 24 14 5 4 41 19 22 48

SIMBA SC:
Aprili 28, 2013; Vs Polisi Moro       (Taifa)
Mei 5, 2013;      Vs Ruvu Shooting (Taifa)
Mei 8, 2013;      Vs Mgambo JKT   (Taifa)
Mei 18, 2013;    Vs Yanga SC        (Taifa)

P W D L GF GA GD Pts
4 Simba SC 22 9 9 4 32 21 11 36

YANGA SC:
Mei 1, 2013;    Vs Coastal Union  (Taifa)
Mei 18, 2013;  Vs Simba SC        (Taifa)

P W D L GF GA GD Pts
1 Yanga SC 24 17 5 2 44 13 31 56 

MSIMAMO VPL

3 Kagera Sugar      23 11 7 5 25 18 7 40

4 Simba SC        22 9 9 4 32 21 11 36

5 Mtibwa Sugar       24 9 9 6 27 23 4 36

6 Coastal Union      24 8 10 6 24 21 3 34

7 Ruvu Shooting 22 8 6 8 21 21 0 30
8 JKT Oljoro 24 7 7 10 22 27 -5 28
9 Prisons        24 6 8 10 14 21 -7 26
10 JKT Ruvu 24 7 5 12 20 37 -17 26
11 Mgambo JKT        23 7 4 12 16 23 -7 25
12 Toto African        25 4 10 11 22 34 -12 22
13 Polisi Moro        23 3 10 10 12 22 -10 19
14 African Lyon        24 5 4 15 16 36 -20 19

ORODHA TIMU ZILIZOTWAA UBINGWA WA LIGI KUU:
1965 : Sunderland (simba) 
1966 : Sunderland (simba) 
1967 : Cosmopolitans (Dar es Salaam) 
1968 : Yanga 
1969 : Yanga 
1970 : Yanga 
1971 : Yanga 
1972 : Yanga 
1973 : Simba 
1974 : Yanga 
1975 : Mseto SC (Morogoro) 
1976 : Simba 
1977 : Simba 
1978 : Simba 
1979 : Simba 
1980 : Simba 
1981 : Yanga 
1982 : Pan African 
1983 : Yanga 
1984 : Simba 
1985 : Yanga 
1986 : Tukuyu Stars (Mbeya) 
1987 : Yanga 
1988 : Coastal Union (Dar es Salaam) 
1989 : Yanga 
1990 : Simba  
1991 : Yanga 
1992 : Yanga 
1993 : Yanga 
1994 : Simba 
1995 : Simba 
1996 : Yanga 
1997 : Yanga 
1998 : Yanga 
1999 : Mtibwa Sugar (Morogoro) 
2000 : Mtibwa Sugar (Morogoro)  
2001 : Simba 
2002 : Yanga 
2003 : Simba 
2004 : Simba 
2005 : Yanga 
2006 : Yanga 
2007 : Simba (Ligi Ndogo) 
2008 : Yanga 
2009:  Yanga  
2010: Simba SC
2011: Yanga SC
2012: Simba SC
2013: Yanga SC