DROGBA VS ETOO KUWANIA TUZO GUU LA DHAHABU
WASHAMBULIAJI
bora barani Afrika, Didier Drogba na Samuel Eto’o
wameingizwa kwenye orodha ya kuwania tuzo ya Guu la Dhahabu mwaka 2013, kufuata nyayo za mshambuliaji wa Paris Saint Germain ya Ufaransa, Zlatan Ibrahimovic, aliyeshinda mwaka jana.
Manahodha hao wa Ivory Coast na Cameroon ni Waafrika pekee katika orodha ya wachezaji tisa walioingizwa kwenye kinyang’anyiro cha tuzi hiyo, inayotolewa kwa wachezaji wenye mafanikio makubwa na mwonekano mzuri.
Wawania tuzo hiyo wengine ni Mfaransa David Trezeguet, Mjerumani Miroslav Klose, Mtaliano Andrea Pirlo, Waspanyola Andres Iniesta na Iker Casillas na Waingereza Franck Lampard na David Beckham.
Tuzo huyo Guu la Dhahabu inatolewa kwa mchezaji aliye uwanjani ambaye angalau ana umri usiopungua miaka 29 na hawezi kushinda zaidi ya mara moja
Washindi wa awali wa tuzo hiyo ni; 2003: Roberto Baggio (Italia, Brescia) 2004: Pavel Nedved (Jamhuri ya Czech, Juventus) 2005: Andryi Shevchenko (Ukraine, AC Milan) 2006: Ronaldo (Brazil, Real Madrid) 2007: Alessandro Del Piero (Italia, Juventus) 2008: Roberto Carlos da Silva (Brazil, Fenerbahçe) 2009: Ronaldinho (Brazil, AC Milan) 2010: Francesco Totti (Italia, Roma) 2011: Ryan Giggs (Wales, Manchester United) na 2012: Zlatan Ibrahimovic (Sweden, Paris SG).
wameingizwa kwenye orodha ya kuwania tuzo ya Guu la Dhahabu mwaka 2013, kufuata nyayo za mshambuliaji wa Paris Saint Germain ya Ufaransa, Zlatan Ibrahimovic, aliyeshinda mwaka jana.
Manahodha hao wa Ivory Coast na Cameroon ni Waafrika pekee katika orodha ya wachezaji tisa walioingizwa kwenye kinyang’anyiro cha tuzi hiyo, inayotolewa kwa wachezaji wenye mafanikio makubwa na mwonekano mzuri.
Wawania tuzo hiyo wengine ni Mfaransa David Trezeguet, Mjerumani Miroslav Klose, Mtaliano Andrea Pirlo, Waspanyola Andres Iniesta na Iker Casillas na Waingereza Franck Lampard na David Beckham.
Tuzo huyo Guu la Dhahabu inatolewa kwa mchezaji aliye uwanjani ambaye angalau ana umri usiopungua miaka 29 na hawezi kushinda zaidi ya mara moja
Washindi wa awali wa tuzo hiyo ni; 2003: Roberto Baggio (Italia, Brescia) 2004: Pavel Nedved (Jamhuri ya Czech, Juventus) 2005: Andryi Shevchenko (Ukraine, AC Milan) 2006: Ronaldo (Brazil, Real Madrid) 2007: Alessandro Del Piero (Italia, Juventus) 2008: Roberto Carlos da Silva (Brazil, Fenerbahçe) 2009: Ronaldinho (Brazil, AC Milan) 2010: Francesco Totti (Italia, Roma) 2011: Ryan Giggs (Wales, Manchester United) na 2012: Zlatan Ibrahimovic (Sweden, Paris SG).
TAZAMA MECHI WALIZO CHEZA NA MAGOLI WALIOFUNGA
Didier Drogba Games/Goals
2009/10 Chelsea 21/17
2008/09 Chelsea 24/5
2007/08 Chelsea 19/8
2006/07 Chelsea 36/20
2005/06 Chelsea 29/12
2004/05 Chelsea 26/10
2003/04 Marseille 35/19
2002/03 Guingamp 34/17
2001/02 Guingamp 10/3
2001/02 Le Mans 21/5
2000/01 Le Mans 11/0
1999/00 Le Mans 30/7
1998/99 Le Mans 2/0
TOTAL: 298/123
Samuel Eto 'o Games/Goals
2009/10 Inter 19/8
2008/09 Barcelona 36/30
2007/08 Barcelona 18/16
2006/07 Barcelona 17/11
2005/06 Barcelona 34/27
2004/05 Barcelona 37/25
2003/04 Mallorca 32/17
2002/03 Mallorca 29/14
2001/02 Mallorca 29/6
2000/01 Mallorca 25/11
1999/00 Mallorca 9/6
1999/00 R Madrid 2/0
1998/99 R Madrid 1/0
1997/98 Leganes 28/3
TOTAL: 316/174
2009/10 Chelsea 21/17
2008/09 Chelsea 24/5
2007/08 Chelsea 19/8
2006/07 Chelsea 36/20
2005/06 Chelsea 29/12
2004/05 Chelsea 26/10
2003/04 Marseille 35/19
2002/03 Guingamp 34/17
2001/02 Guingamp 10/3
2001/02 Le Mans 21/5
2000/01 Le Mans 11/0
1999/00 Le Mans 30/7
1998/99 Le Mans 2/0
TOTAL: 298/123
Samuel Eto 'o Games/Goals
2009/10 Inter 19/8
2008/09 Barcelona 36/30
2007/08 Barcelona 18/16
2006/07 Barcelona 17/11
2005/06 Barcelona 34/27
2004/05 Barcelona 37/25
2003/04 Mallorca 32/17
2002/03 Mallorca 29/14
2001/02 Mallorca 29/6
2000/01 Mallorca 25/11
1999/00 Mallorca 9/6
1999/00 R Madrid 2/0
1998/99 R Madrid 1/0
1997/98 Leganes 28/3
TOTAL: 316/174
BONDIA wa uzito wa juu
wa Uingereza, Dereck Chisora amefanikiwa kumchakaza Hector Alfredo Avila
katika raundi ya tisa likiwa ni pambano lake la kwanza toka alipopata
kipigo kutoka kwa David Haye Julai mwaka jana. Chisora
mwenye umri wa miaka 29 alikuwa akipigana pambano lake la kwanza toka
aliporejeshewa leseni yake Machi mwaka huu baada ya leseni hiyo kuzuiwa
kufuatia vurugu za nje ya ulingo alizofanya na Haye mapema mwaka huu. Akihojiwa
mara baada ya kumpiga Avila ambaye ni raia wa Argentina Chisora amesema
lilikuwa pambano gumu kwasababu mpinzani wake alikuwa amempania lakini
anashukuru amemaliza kwa ushindi na anasubiri mpinzani mwingine. Chisora
anasubiri pambano linguine dhidi ya bondia mwingine wa uzito wa juu wa
Uingereza David Price ambaye kabla ya kupambana na Chisora atapigana na
Tony Thompson katika pambano la marudiano Julai mwaka huu.
NUSU FAINALI UEFA CHAMPION LIGI KESHO WANAUME DIMBANI
[Mechi zote kuanza Saa 3 Dak 45 Usiku, Bongo Taimu]
Bayern Munich v Barcelona
Jumatano Aprili 24
Borussia Dortmund v Real Madrid
MARUDIANO
Jumanne Aprili 30
Real Madrid v Borussia Dortmund
Jumatano Mei 1
Barcelona v Bayern Munich
FAINALI
25 Mei 2013
UWANJA wa WEMBLEY, Londo