Kamati ya BPL, ligi kuu uingereza imethibitisha kuwa yawezekana
ikawepo Mechi ya Mchujo yakupata Mshindi wa 3 endapo Chelsea na
Arsenal zitamaliza Msimu hapo Jumapili zikiwa zimelingana kila kitu.
ikawepo Mechi ya Mchujo yakupata Mshindi wa 3 endapo Chelsea na
Arsenal zitamaliza Msimu hapo Jumapili zikiwa zimelingana kila kitu.
Hivyo ikitokea jumapili Chelsea
na everton zikitoka sare ya bila
kufungana 0-0 na arsenal kuifunga Newcastle United 2-1 timu hizo
kufungana 0-0 na arsenal kuifunga Newcastle United 2-1 timu hizo
zitakuwa sawa kwa pointi na tofauti ya magoli ya
kufunga na
kufungwa Sababu kubwa ya kuwepo kwa mtange huo wa mchujo
kupata msindi wa tatu wa
kufungwa Sababu kubwa ya kuwepo kwa mtange huo wa mchujo
kupata msindi wa tatu wa
BPL ambapo timu tatu za juu zitacheza UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI"
MSIMAMO: BPL FAHAMU MAN U TAYARI NI BINGWA" 4 KUCHEZA UEFA.
NA
|
TIMU
|
P
|
GD
|
PTS
|
1
|
Man Utd
|
37
|
43
|
88
|
2
|
Man City
|
37
|
33
|
78
|
3
|
Chelsea
|
37
|
35
|
72
|
4
|
Arsenal
|
37
|
34
|
70
|
5
|
Tottenham
|
37
|
19
|
69
|
6
|
Everton
|
37
|
16
|
63
|
7
|
Liverpool
|
37
|
27
|
58
|
8
|
West Brom
|
37
|
-4
|
48
|
9
|
Swansea
|
37
|
-1
|
46
|
10
|
West Ham
|
37
|
-10
|
43
|
11
|
Stoke
|
37
|
-11
|
41
|
12
|
Norwich
|
37
|
-18
|
41
|
13
|
Newcastle
|
37
|
-22
|
41
|
14
|
Southampton
|
37
|
-11
|
40
|
15
|
Fulham
|
37
|
-13
|
40
|
16
|
Aston Villa
|
37
|
-22
|
40
|
17
|
Sunderland
|
37
|
-12
|
39
|
18
|
Wigan
|
37
|
-26
|
35
|
19
|
Reading
|
37
|
-28
|
28
|
20
|
QPR
|
37
|
-29
|
25
|
Matokeo yafuatayo ndio yatafanya Chelsea na Arsenal zimalize
Msimu zikiwa sawa kwa kila kitu:
Msimu zikiwa sawa kwa kila kitu:
Chelsea 1-1; Arsenal washindi 3-2
Chelsea 2-2; Arsenal washindi 4-3
Chelsea 3-3; Arsenal washindi 5-4
Wasimamizi hao wa BPL wamefafanua kuwa Mechi hiyo ya Mchujo itachezwa
kwenye Uwanja ambao si Stamford Bridge wala Emirates kwenye Tarehe
ambayo itapangwa.
kwenye Uwanja ambao si Stamford Bridge wala Emirates kwenye Tarehe
ambayo itapangwa.
TIMU ZA ULAYA:
UCL:
-Man United
-Man City
-2 kati ya Chelsea, Tottenham & Arsenal
Timu 3 za Juu BPL huanza Makundi na
Timu iliyo nafasi ya 4 huanzia Raundi ya Mchujo.
Timu 3 za Juu BPL huanza Makundi na
Timu iliyo nafasi ya 4 huanzia Raundi ya Mchujo.
EUROPA LIGI:
*Swansea City
*Wigan athletic
Timu itakayomaliza Nafasi ya 5 kwenye BPL
Huenda ikaongezeka 1 nyingine ikiwa England itakuwemo 3 Bora ya UEFA
Respect Fair Play League.
Respect Fair Play League.
BPL: RATIBA-MECHI ZA MWISHO MSIMU HUU
Jumapili 19 Mei
[Saa 12 Jioni]
Chelsea v Everton
Liverpool v QPR
Man City v Norwich
Newcastle v Arsenal
Southampton v Stoke
Swansea v Fulham
Tottenham v Sunderland
West Brom v Man United
West Ham v Reading
Wigan v Aston Villa