Thursday, June 6, 2013

PEREZ. AWEKA WAZI KUWA ZIDANE HANA UZOEFU WA KUTOSHA KUWA KOCHA.

Florentino Perez rais wa klabu ya Real Madrid ametanabaisha na kusema kuwa Zinedine Zidane ana vigezo vyote vinavyohitajika kuchukua nafasi ya Jose Mourinho lakini anadhani bado anahitaji uzoefu zaidi kabla ta kukabidhiwa mikoba hiyo. Perez amesema Zidane ana kila kitu ambacho kocha anatakiwa kuwa nacho na kazi hiyo anaiweza lakini bado anahitaji uzoefu ili kukabidhiwa majukumu makubwa kama hayo. Kwasasa chaguo la kwanza la Madrid katika kutafuta mbadala wa Mourinho ni kocha wa Paris Saint-Germain Carlo Ancelotti ingawa Perez alishindwa kuliongelea kwa kuogopa kuwachukiza PSG ambao bado wamemng’ang’ania kocha huyo. Zidane ambaye ameichezea Madrid kuanzia mwaka 2001 mpaka 2006 kwasasa ni mkurugenzi wa michezo na kocha wa vijana wa klabu hiyo.


      WASIFU WA  ZIDANE
Zinedine Zidane 2008.jpg
Taarifa kuhusu yeye
Full name
Zinedine Yazid Zidane
Date of birth
23 June 1972 (age 40)
Place of birth
Marseille, France
Height
1.85 m (6 ft 1 in)
Playing position
Timu za Ujana
1982–1983
US Saint-Henri
1983–1986
SO Septèmes-les-Vallons
1986–1989
Timu za Ukubwa
Mwaka
Timu
Mechi
Goli
1989–1992
61
(6)
1992–1996
139
(28)
1996–2001
151
(24)
2001–2006
155
(37)
Total
506
(95)
Timu ya Taifa
1988–1989
4
(1)
1989–1990
6
(0)
1990–1994
20
(3)
1994–2006
108
(31)