TIMU
ya taifa ya Tanzania,
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager imewasili nchini leo asubuhi.
Taifa stars ilikuwa Morocco kucheza na wenyeji wao
ambapo katika mchezo huo taifa star imefungwa bao 2-1 katika mechi ya Kundi C
kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil.
Stars ambayo bado inashika nafasi ya pili katika kundi hilo
ikiwa na pointi sita imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere.
Aidha katika kundi c kinara wa kundi hilo ni Ivory Coast yenye point kumi ambayo
itacheza mchezo wa marudiano na Taifa Star wikiendi ijayo katika uwanja wa
taifa jijini Dar es salaam.
Hata hivyo kwa upande wa kundi hilo nafasi ya tatu
inashikiliwa na Morocco yenye point tano huku nafasi ya mwisho ikishiliwa na
Gambia yenye point moja.
KUNDI C
Pos
|
Team
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
GD
|
Pts
|
1
|
Ivory Coast
|
4
|
3
|
1
|
0
|
10
|
2
|
8
|
10
|
2
|
Tanzania
|
4
|
2
|
0
|
2
|
6
|
6
|
0
|
6
|
3
|
Morocco
|
4
|
1
|
2
|
1
|
6
|
7
|
-1
|
5
|
4
|
Gambia
|
4
|
0
|
1
|
3
|
2
|
9
|
-7
|
1
|