Thursday, March 27, 2014

BPL-LIVERPOOL YAITUNGUA SUNDERLAND YAKWEA NAFASI YA PILI

Liverpool jana usiku imefanikiwa kuibuka na ushindi kwa Bao za Steven Gerrard na Daniel Stirridge zimewapa Liverpool ushindi wa Bao 2-1 walipocheza na Sunderland kwenye Mechi ya Ligi Kuu England na kuzidi kuwapa matumaini ya kuweza kutwaa Ubingwa Msimu huu.
Bao la Sunderland lilifungwa na Ki Su

WEST HAM 2 HULL CITY 1
West Ham wameizibua Hull City Bao 2-1 na kuchupa hadi Nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu England.
West Ham walikuwa wa kwanza kupata Penati ya Mark Noble katika Dakika ya 26, Penati ambayo ilitolewa baada ya Kipa Allan McGregor kumwangusha Mohamed Diame na kupewa Kadi Nyekundu.
Hull City waliwasazisha katika Dakika 48 kwa Bao la Nikica Jelavic lakini ushindi ukawa kwa West Ham kwa Bao la James Chester aliejifunga mwenyewe katika Dakika ya 54. 
LIGI KUU ENGLAND
MSIMAMO:
NA  TIMU  P  W  D  L  F  A GD PTS
1 Chelsea 31 21 6 4 62 23 39 69
2 Liverpool 31 21 5 5 84 39 45 68
3 Man City 29 21 3 5 79 27 52 66
4 Arsenal 31 19 6 6 54 35 19 63
5 Everton 30 16 9 5 46 30 16 57
6 Tottenham 31 17 5 9 40 40 0 56
7 Man United 31 15 6 10 48 37 11 51
8 Newcastle 31 14 4 13 38 43 -5 46
9 Southampton 31 12 9 10 45 40 5 45
10 Stoke 31 9 10 12 36 45 -9 37
11 West Ham 31 9 7 15 34 41 -7 34
12 Aston Villa 30 9 7 14 33 42 -9 34
13 Hull 31 9 6 16 33 39 -6 33
14 Norwich 31 8 8 15 26 48 -22 32
15 Swansea 31 7 9 15 41 47 -6 30
16 West Brom 30 5 13 12 33 45 -12 28
17 Crystal Palace 30 8 4 18 19 39 -20 28
18 Sunderland 29 6 7 16 27 45 -19 25
19 Cardiff 31 6 7 18 26 58 -32 25
20 Fulham 31 7 3 21 30 70 -40 24
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
[Saa za Bongo]
Jumamosi Machi 29
1545 Man Utd v Aston Villa
1800 Crystal Palace v Chelsea
1800 Southampton v Newcastle
1800 Stoke v Hull
1800 Swansea v Norwich
1800 West Brom v Cardiff
2030 Arsenal v Man City
Jumapili Machi 30
1530 Fulham v Everton
1800 Liverpool v Tottenham
Jumatatu Machi 31
2200 Sunderland v West Ham