Valcke
ambaye atafuatana na maofisa wengine saba wa FIFA baadaye kesho hiyo
hiyo (Mei 1 mwaka huu) atakuwa na mkutano na waandishi wa habari.
Mkutano huo utafanyika saa 4 kamili asubuhi kwenye hoteli ya Double Tree
by Hilton iliyopo Oysterbay, Dar es Salaam.