Robo Fainali
Mechi za Kwanza
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Jumanne Aprili 1
Barcelona v Atletico Madrid
Manchester United v Bayern Munich
Leo Usiku Uwanja wa Old Trafford huko Jijini Manchester utashuhudia
mtanange mkali kati ya Mabingwa wa England, Manchester United, na
Mabingwa wa Ulaya, ambao pia ndio Mabingwa wa Germany, Bayern Munich,
katika Mechi ya Kwanza ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, UCL.
Mara ya mwisho kukutana kwa Timu hizi
kwenye Michuano ya Ulaya ni Mwaka 2010 wakati Bayern Munich ilipoitoa
Man United kwenye Robo Fainali kwa Bao za Ugenini.
Safari hii, hali ipo tofauti kwani Man
United wanaingia kwenye Mechi hii huku Wachambuzi wengi hawawapi
matumaini makubwa ya kufanya viziru dhidi ya Bayern Munich inayosifiwa
kuwa ndio Timu Bora Ulaya hivi sasa na Juzi ilitwaa tena Ubingwa wa
Germany huku wakiwa na Mechi 7 mkononi wakati Man United wanasuasua
kwenye Ligi Kuu England wakiwa Nafasi ya 7.
UEFA CHAMPIONZ LIGI
ROBO FAINALI
Robo Fainali
Jumatano Aprili 2
Real Madrid v Borussia Dortmund
Paris Saint-Germain v Chelsea
Marudiano
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Jumanne Aprili 8
Chelsea v Paris Saint-Germain
Borussia Dortmund v Real Madrid
Jumatano Aprili 9
Bayern Munich v Manchester United
Atletico Madrid v Barcelona
-DROO YA NUSU FAINALI: 11 Aprili
-Mechi kuchezwa 22 & 23 Aprili na Marudiano 29 & 30 Aprili
-FAINALI: Estádio da Luz, Lisbon, Portugal 24 Mei 2014.
WASHINDI [Miaka ya karibu]:
MSIMU |
MSHINDI |
NCHI |
MSHINDI WA PILI |
NCHI |
GOLI |
2012-13 |
Bayern Munich |
Germany |
Borussia Dortmund |
Germany |
2-1 |
2011-12 |
Chelsea |
England |
Bayern Munich |
Germany |
1-1 (4–3) |
2010-11 |
Barcelona |
Spain |
Manchester United |
England |
3-1 |
2009-10 |
Internazionale |
Italy |
Bayern Munich |
Germany |
2-0 |
2008-09 |
Barcelona |
Spain |
Manchester United |
England |
2-0 |
2007-08 |
Man United |
England |
Chelsea |
England |
1-1 (6–5) |
UEFA CHAMPIONZ LIGI
WAFUNGAJI BORA 2013/14:
C. Ronaldo-Real Madrid Goli 13
Zlatan Ibrahimovic-PSG Goli 10 [Penati 1]
Messi-Barcelona Goli 8 [Penati 2]
Diego Costa-Atletico Madrid Goli 7
Sergio Agüero-Manchester City Goli 6 [Penati 2]