Friday, June 27, 2014

RASMI:COUTINHO WA YANGA AWASILI DAR

Coutinho (kushoto) akiwa na msemaji wa Yanga Baraka Kizuguto
Kiungo mshambuliaji Mbrazil Andrey Macrcel Ferreira Coutinho amewasili leo na tayari kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha Young Africans kwenye maandalizi ya msimu mpya wa 2014/2015