Thursday, August 14, 2014

PHIRI AJITIA KITANZI CHA MWAKA MMOJA MSIMBAZI.


Mzambia Patric Phiri hii leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuitumikia club yake ya zamani kwa msimu mpya wa ligi kuu ya vodacom inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi September 20 mwaka huu raia huyo wa Zambia amesaini mkataba huo kwenye Hoteli ya Regency.
Phiri ameiambia mkali wa dimba tz kuwa mkataba huo unampa fursa kubwa katika kuitumikia Simba kwa matumaini makubwa.

Phiri maheshima ya Simba kwangu ni kubwa sana, ingawa nilikuwa nina mipango mingine, lakini nimekubali kurejea hivyo haitakuwa Kazi rahisi, lakini uzuri sasa tumeingia mkataba mpya wa kazi ninaamini mambo yatakwenda vizuri sana.
Phiri amesema heshima kuwa ya kwangu ni kubwa ambapo miaka ya nyumba nilikuwa Kocha bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2009/2010.
Patrick Phiri ni Kocha mkongwe ambapo sana katika soka la afrika ambapo amazaliwa Mei 3 mwaka 1956.
Kwa phiri hii na mara ya nne kufanya kazi kwa awamu tatu tofauti akiwa na Wekundu hao wa Msimbazi kati ya mwaka 2004 na 2010 na kwa mafanikio makubwa- na sasa anataka kurejesha enzi zake.
Mzambia huyo alishinda mataji mawili ya Ligi Kuu akiwa na Simba SC, misimu ya 2004/2005 na 2009/2010 na pia alishinda Makombe ya Tusker mwaka 2005 la Tanzania na Kenya.

 
Taarifa Binafsi
Date of birth 3 May 1956 (age 58)
Place of birth Luanshya, Northern Rhodesia
Paying position Forward (retired)
Timu za Vijana
Years Team Mechi Goli
1973–1974 Buseko FC

1974-1975 Rokana United
(21)
1975–1986 Red Arrows

Kuwa Kocha
1986-1991 Red Arrows
1992–1994 Ndeke Rangers
1995–1997 Lusaka Dynamos
1997 Mochudi Centre Chiefs
1997–2002 Nkana F.C.
2002–2003 Zambia
2003–2005 Simba
2006–2008 Zambia
2008–2011 Simba
2012 NAPSA Stars