Saturday, November 8, 2014

YANGA YAKWEA MPAKA NAFASI YA PILI MBEYA CITY BADO HALI TETE YAPIGWA 1 NA STEND UNITED.


MATOKEO MECHI ZA VPL
Stand United 1 Mbeya City 0       
Yanga 2 Mgambo JKT 0             
Mtibwa Sugar v Kagera Sugar (Mvua yavunja yaleta balaa Mtibwa 1 Kagera 0)             
Azam FC 2 Coastal Union 1                 
Polisi Moro 1 Prisons 0
Katika Mtanange wa Vinara wa Ligi Kuu Vodacom, Mtibwa Sugar, na Kagera Sugar huko Morogoro umevunjika kutokana na mvua kunyesha ambapo Mtibwa wakiwa mbele kwa Bao 1-0 na katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam baada ya kupoteza dhidi ya kagera sugar Yanga leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa 2-0 zikiwekwa kimiani na Saimon Msuva kunako Dakika za 74 na 90 na kuipandisha Yanga hadi Nafasi ya Pili. .
na huko katika Viunga vya Azam Complex, Chamazi Mabingwa Azam FC walifunga mabao yao katika dakika za mwishoni na kushinda 2-1 wakiumana na Coastal Union.
Mabao Azam FC wamefunga Kipre Tchetche Dakika ya 88 kwa Azam FC na Rama kuisawazishia Coastal lakini Shomari Kapombe akaipa ushindi Azam FC kwa Bao la Dakika ya 90.
LIGI KUU VODACOM
RATIBA
Jumapili Novemba 9
Simba v Ruvu Shootings             
JKT Ruvu v Ndanda FC
Ijumaa Desemba 26
Simba v Kagera Sugar
Jumamosi Desemba 27
Mtibwa Sugar v Stand United               
Prisons v Coastal Union             
JKT Ruvu v Ruvu Shootings
Jumapili Desemba 28
Mbeya City v Ndanda FC            
Polisi Moro v Mgambo JKT          
Yanga v Azam FC             
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Mtibwa Sugar
6
4
2
0
9
2
7
14
4
Yanga
7
4
1
2
9
5
4
13
3
Azam FC
7
4
1
2
8
4
4
13
2
Coastal Union
7
3
2
2
8
6
2
11
5
Kagera Sugar
6
2
3
1
4
2
1
9
12
Polisi Moro
7
3
2
2
6
7
-1
9
6
Mgambo JKT
7
3
0
4
4
7
-3
9
13
Stand United
7
2
3
2
5
9
-4
9
7
JKT Ruvu
6
2
1
3
5
7
-2
7
8
Ruvu Shooting
6
2
1
3
4
6
-2
7
9
Simba
6
0
6
0
6
6
0
6
10
Tanzania Prisons
7
1
3
3
5
6
-1
6
11
Ndanda FC
6
2
0
4
8
10
-2
6
14
Mbeya City
7
1
2
4
3
5
-2
5