WASHIRIKI 16 wa Fanali za
Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2015, ambazo zitachezwa huko Nchini
Equatorial Guinea kuanzia Januari 17, watajua nani Wapinzani kwenye Makundi yao Leo Jumatano makundi ya Timu 4 kila moja kutajwa kwa
ajili ya Droo hiyo na CAF.
Timu hizo 16 zimepangwa
kwenye Vyungu Vinne vya Timu 4 kila moja na kwenye Droo kila Chungu kitatoa
Timu moja ili kupanga Makundi Manne.
CHUNGU 1
Equatorial Guinea, Ghana,
Zambia, Burkina Faso
CHUNGU 2
Ivory Coast, Mali, Tunisia,
Algeria
CHUNGU 3
Cape Verde, South Africa,
Gabon, DR Congo
CHUNGU 4
Cameroon, Senegal, Guinea,
Congo