Monday, April 29, 2013

MAKAMU M/KITI SIMBA AIPONGEZA YANGA KUTWAA UBINGWA


KLABU ya Simba imewapongeza watani zao Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara huku wakiapa kuwatibulia furaha kwa kuwafunga katika mechi ya kufunga pazia la ligi hiyo itakayochezwa Mei 18 kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Joseph Itang’ale ikiwa ni siku chache tangu Yanga itwae ubingwa wa ligi hiyo baada ya Azam kutoka sare ya bao 1-1 na Coastal Union ya Tanga, hivyo kutokewepo timu yenye ubavu wa kuzifikia pointi 56 ilizonazo hadi sasa.
Kinesi amesema pamoja na pongezi hizo, wajiandae kwani wamejipanga kutibua furaha hiyo kwa kuwafunga na kamwe hawawezi kukubali kuvuliwa ubingwa na kufungwa na mtani wao.
Kinesi ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo anayekaimu nafasi ya Makamu Mwenyekiti baada ya kujiuzulu kwa Geofrey Nyange  amesema japo watani zao wametwa ubingwa, wasitarajie ushindi Mei 18.
 ambapo wekundu hao ndio mabingwa wa msimu uliopita baada ya kuwachalaza watani hao bao 5-0 toka ligi kuu ianzishwe simba imetwaa taji hilo mara 18 huku yanga ikitwaa mara 24
Mwaka 1965, 1966 (as Sunderland)
1972, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001/02, 2002/03, 2004/05, 2007/08, 2009/10, 2011/12 
Mwaka1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1985, 1987, 1989, 1991, 1992, 1993, 1996, 1997, 1998, 2002, 2005, 2006, 2008, 2009, 2011,2013

FERGUSON NASEMA LIVERPOOL WALIKUWA SAWIA SAWIA.


BOSI wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema  kuwa nakuweka imani kuwa uongozi wa Liverpool ulikuwa sahihi kutochukua hatua dhidi ya mshambuliaji wao Luis Suarez kabla ya kufungiwa mechi 10 na Chama cha Soka cha Uingereza-FA kwa kumng’ata beki wa Chelsea Branislav Ivanovic. Ferguson amesema tukio hilo linamkumbusha jinsi walivyotendwa na FA baada ya mshambuliaji wake Eric Cantona kumpiga teke la kung-fu mshabiki wa Crystal Palace mwaka 1995. Ferguson amedai kuwa FA iliwahakikishia kuwa hatachukua hatua zaidi kama United watamuadhibu mchezaji huyo lakini pamoja na United kumfungia Cantona miezi minne, chama hicho kiliongeza adhabu na kufikia miezi nane. Kwa matokeo hayo yaliyowakuta United kipindi hicho Ferguson amesema ameelewa kwanini Liverpool hawakumuadhibu nyota huyo mapema.

GARETH BALE ATWAA UCHEZAJI BORA PFA.

KIUNGO machachali wa klabu ya Tottenham Hotspurs Gareth Bale amekuwa mchezaji wa tatu kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwa upande wa wakubwa na wachezaji wanaochipukia kwa msimu mmoja, tuzo ambazo hutolewa na Chama cha Wachezaji wa Kulipwa nchini Uingereza. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Wales mwenye umri wa miaka 23 ambaye pia alishinda tuzo ya wakubwa mwaka 2011, amefunga mabao 19 katika ligi msimu huu na kuwa nyuma ya kinara wa mabao Robin van Persie mwenye mabao 25 na Luis Suarez mwenye mabao 23. Akikabidhiwa tuzo hiyo Bale amesema ni heshima kubwa kwake kunyakuwa tuzo hizo mbili muhimu na kushukuru wapiga kura kwa kutambua mchango wake haswa ikizingatiwa kumekuwa na majina makubwa mengine katika orodha iliyokuwepo. Bale anaungana na wachezaji wengine walioshinda tuzo ya wakubwa mara mbili ambao ni Cristiano Ronaldo, Thierry Henry, Alan Shearer and Mark Hughes wakati walioshinda tuzo zote mbili kwa mwaka mmoja ni Ronaldo mwaka 2007 na Andy Gray mwaka 1977.


REKODI ZA BALE:


-2012-13 (Inaendelea): Mechi 29, Magoli 19, Amesaidia 4
-2011-12: Mechi 36, Magoli 9, Amesaidia 10
-2010-11: Mechi 30, Magoli 7, Amesaidia 1
-2009-10: Mechi 23, Magoli 3, Amesaidia 5
-2008-09: Mechi 16, Magoli 0, Amesaidia 0
-2007-08: Mechi 8, Magoli 2, Amesaidia 0

WASHINDI WALIOPITA:
2011-12: Gareth Bale (Tottenham)
2011-12: Robin van Persie (Arsenal)
2010-11: Gareth Bale (Tottenham)
2009-10: Wayne Rooney (Man Utd)
2008-09: Ryan Giggs (Man Utd)
2007-08: Cristiano Ronaldo (Man Utd)
Wanandinga wengine ambao walikuwa wakigombea na Bale ni 
Michael Carrick wa Man United, 
Wachezaji wa Chelsea Eden Hazard na Juan Mata, ambao wote hao pamoja na Suarez na Van Persie wapo Kwenye Timu Bora ya Mwaka ya Wachezaji 11.

Gareth Balle
Gareth Bale - Spurs vs Brighton.jpg
Kuhusu yeye
Full name Gareth Frank Bale
Date of birth 16 July 1989 (age 23)
Place of birth Cardiff, Wales
Height 1.86 m (6 ft 1 in)
Playing position Winger
Timu ya sasa
Current club Tottenham Hotspur
Number 11
Academy
2005–2006 Southampton
Timu za ukubwa
Years Team mechi (Goli)
2006–2007 Southampton 40 (5)
2007– Tottenham Hotspur 142 (40)
Timu ya taifa
2005–2006 Wales U17 7 (1)
2006 Wales U19 1 (1)
2006–2008 Wales U21 4 (2)
2006– sasa Wales 41 (11)

MATAJI
Southampton Academy 

TUZO BINAFSI

Sunday, April 28, 2013

SAMWELI ETO'O KATIKA ULIMWENGU WA SOKA
Samuel 2011.jpg
Eto'o in 2011.
Kuhusu yeye
Full nameSamuel Eto'o Fils
Date of birth10 March 1981 (age 32)
Place of birthDoualaCameroon[1]
Height1.80 m (5 ft 11 in)[2]
Playing positionStriker
Timu
Current clubAnzhi Makhachkala
Number9
academy
1992–1997Kadji Sports Academy
Timu za ukubwa
YearsTeammechi(Goli)"
1997–2000Real Madrid3(0)
1997–1998→ Leganés (mkopo)30(4)
1999→ Espanyol (mkopo)0(0)
2000→ Mallorca (mkopo)19(6)
2000–2004Mallorca120(48)
2004–2009Barcelona145(108)
2009–2011Internazionale67(33)
2011–Anzhi Makhachkala43(21)


TIMU YA TAIFA CAMEROON 
YearmechiGoli
199730
199850
199910
200095
200192
2002135
200372
200494
200561
200655
200731
20081111
200985
2010128
201194
201220
201312
Total11255

TIMU NA MATAJI ALIYOCHUKUWA

Mallorca
Barcelona
Inter milan

kimataifa

Cameroon
Cameroon Olympic Team




TUZO BINAFSI
 1.Mchezaji wa Mwaka afrika: 2003, 2004, 2005, 2010
 2.mshambuliaji bora wa Mwaka UEFA: 2006
 3.FIFA World Cup - Golden mpira 2010
 4.2005 FIFA World Mchezaji wa Mwaka wa Tatu
 5.Vijana wa Afrika Mchezaji wa Mwaka: 2000
 6.ESM Timu ya Mwaka: 2004-05, 2005-06, 2008-09, 2010-11
 7.FIFPro World XI: 2005, 2006
 8.UEFA Timu ya Mwaka: 2005, 2006
 9.Kombe la Mataifa mfungaji bora: 2006, 2008
10.Kombe la Mataifa ya wakati wote mfungaji bora
11.RCD Mallorca ya wakati wote mfungaji bora
12.mfungaji bora Cameroon wakati wote
13.Ligi ya Mabingwa ya Final Man of the mechi 2006
14.CAF Kuanzia XI katika Kombe la Mataifa ya Afrika 2006 Misri