Tuesday, May 7, 2013

MESSI KATIKA ULIMWENGU WA SOKA ATWAA TUZO YA BALON D"O MARA 4

Date  ya kuzaliwa
24 June 1987 (age 25)
Place of birth
Height
1.69 m (5 ft 7 in)
Playing position
Club ya sasa
Current club
Number
10
Timu za ujana academi
1995–2000
2000–2003
Timu za ukubwa
Years
Team
mechi
(Goli)
2003–2004
10
(5)
2004–2005
22
(6)
2004–
245
(215)
                                        Timu ya Taifa
2004–2005
16
(11)
2007–2008
5
(2)
2005–
79
(32)


Team
Year
Mechi
Goli
2005
5
0
2006
7
2
2007
14
6
2008
8
2
2009
10
3
2010
10
2
2011
13
4
2012
9
12
2013
3
1
Total
79
32

MATAJI  NA
 FC Barcelona
·         La Liga (5): 2004–052005–062008–092009–102010–11
·         Copa del Rey (2): 2008–092011–12
·         Supercopa de España (5): 20052006200920102011
·         UEFA Champions League (3): 2005–062008–092010–11
·         UEFA Super Cup (2): 20092011
·         FIFA Club World Cup (2): 20092011
Argentina
·         Olympic Gold Medal2008
·         FIFA U-20 World Cup2005
Runner-up:
·         Copa America2007
Third place:

TUZO BINAFSI
·         FIFA Ballon d'Or (3): 201020112012. Created in 2010.
·         Ballon d'Or (1): 2009. Ceased to exist in 2009.
·         FIFA World Player of the Year (1): 2009. Ceased to exist in 2009.
·         World Soccer Young Player of the Year (3): 200620072008.
·         World Soccer Player of the Year (3): 200920112012.
·         Onze d'Or (3): 200920112012. No winner in 2010.
·         IFFHS World's Top Goal Scorer (2): 2011, 2012.[298]
·         IFFHS World's best Top Division Goal Scorer (1): 2012.[299]
·         Goal.com Player of the Year (2): 2009, 2011.
·         El País King of European Soccer (4): 2009, 2010, 2011, 2012.[300]
·         ESPY Best International Athlete (1): 2012.
·         European Golden Shoe (2): 2010, 2012.
·         UEFA Best Player in Europe Award (1): 2011. Created in 2011.
·         UEFA Club Footballer of the Year (1): 2009. Ceased to exist in 2010.
·         UEFA Team of the Year (5): 20082009201020112012.
·         UEFA Champions League Top Goalscorer (4): 2009201020112012.
·         UEFA Champions League Forward of the Year (1): 2009. Ceased to exist in 2010.
·         FIFA U-20 World Cup Top Goalscorer (1): 2005.
·         FIFA Club World Cup Golden Ball (2): 20092011.
·         FIFA FIFPro World XI (6): 200720082009201020112012.
·         FIFPro World Young Player of the Year (3): 200620072008.
·         Pichichi Trophy (2): 20102012.
·         Copa del Rey Top Goalscorer (1): 2010–2011.
·         La Liga Player of the Year (3): 200920102011.
·         La Liga Foreign Player of the Year (3): 200720092010. Ceased to exist in 2010.
·         La Liga Ibero-American Player of the Year (5): 20072009201020112012.
·         LFP Best Player (3): 200920112012. No winner in 2010.
·         LFP Best Forward (3): 200920112012. No winner in 2010.
·         Marca Leyenda (1): 2009.
·         Bravo Award (1): 2007.
·         European Golden Boy (1): 2005.
·         Olimpia de Oro (1): 2011.
·         Olimpia de Plata (7): 2005, 2007, 2008, 2009, 2010, 2011, 2012.[301]

REKODI ALIZOVUNJA
WORLD -DUNIANI
·        Most FIFA Ballon d'Or awards: 4
·        Guinness World Records title for the most goals in a year: 91 goals
·        Most international goals in a year (club and national team): 25 goals (shared with Vivian Woodward)
·        Most consecutive league matches scored in: 19 matches (30 goals)
Europe
·        Most goals scored in a year (club): 79 goals
·        Most goals scored in a European Cup season: 14 goals (held jointly with José Altafini)
·        Most European Cup top scorer awards: 4 (shared with Gerd Müller)
·        Highest scorer in a European Cup game: 5 goals (held jointly with ten other players)
Argentina
·        Most goals scored in a year (national team): 12 goals (shared with Gabriel Batistuta)
Spain
·        Most goals scored in La Liga in a season: 50 goals
·        Most La Liga hat-tricks in a season: 8 hat-tricks
·        Most goals scored in El Clásico matches: 18 goals (shared with Alfredo Di Stéfano)
Barcelona

Monday, May 6, 2013

KMKM YAWEKA HISTORIA KUTWAA UBINGWA WA ZANZIBAR

Ligi kuu ya Zanzibar Grand Malt msimu wa 2012/2013 imemalizika rasmi mwishoni mwa wiki ambapo timu ya KMKM imefanikiwa kuwa bingwa mpya huku timu ya Chuoni ikitwaa nafasi ya pili.
mabingwa watetezi wa ligi hiyo Super Falcon imepatwa na balaa na kushindwa kuhimili mikikimikiki na hatimaye kushuka daraja.
kutokana na kufanikiwa kutwaa ubingwa KMKM ndiyo itaiwakilisha Zanzibar katika Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Chuoni watajitupa katika michuano ya Kombe la Shirikisho.
Kmkm imefanikiwa kutwaa kombe, medali ya dhahabu kwa timu nzima pamoja na fedha taslimu Sh milioni 10, huku mshindi wa pili Chuoni akipata Sh milioni 5 pamoja na medali ya fedha kwa kila mchezaji.
Golikipa bora bora alikuwa ni Khamis Uzidi wa Zimamoto ambaye alikabidhiwa kikombe pamoja na fedha taslimu Sh 500,000 huku mfungaji bora wa ligi hiyo, Juma Mohd Juma wa Chuoni akijipatia Sh milioni 1 na kikombe.
Mchezaji bora wa Grand Malt premier League ni Abdullah Juma wa Jamhuri ya Pemba aliyekabidhiwa Sh milioni 1 taslimu pamoja na kikombe.
Mbali na hilo wadhamini wa ligi hiyo ilitoa zawadi kwa timu za madaraja mengine ambayo mshindi wa kwanza na wa pili katika Ligi Daraja la Kwanza ambazo ni Miembeni na Polisi zilikabidhiwa seti ya jezi na vikombe.
Zawadi hizo zilitolewa kwa mshindi wa kwanza na wapili wa Ligi Daraja la Pili ambazo ni Kimbunga na Bweleo fc.

BAFANABAFANA KUUMANA NA JAMHURI YA AFRIKA YA KATI JUNE 9.


TIMU ya taifa ya Afrika Kusini maarufu kama Bafana Bafana inatarajia kucheza mchezo wake wa kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2014 dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati-CAR katika uwanja huru jijini Yaounde, Cameroon June 9 mwaka huu. 
Hatua hiyo imekuja kufuatia Chama cha Soka nchini Afrika Kusini-Safa ambao waliomba Shirikisho la Soka Duniani-FIFA na lile la Afrika-CAF kubadilishiwa uwanja katika mchezo wao wa marudiano kutokana na vurugu za kisiasa huko CAR.
Wanajeshi wapatao 13 wa Afrika Kusini walifariki kufuatia mapigano katika mji mkuu wan chi hiyo Bangui miezi iliyopita huku idadi hiyo ikiongezeka na kufikia 14 baada ya mwanajeshi mmoja aliyejeruhiwa naye kufariki mwezi uliopita. 
Kocha wa Bafana Bafana aliusifu uamuzi huo wa FIFA na CAF kubadilisha uwanja haswa kutokana na tukio la kuuwawa kwa wapendwa wao katika kipindi kifupi kwenye eneo hilo.

Uli Hoeness rais wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani anajipanga kutangaza kujiuzulu leo kwa muda baada ya mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mpaka hapo uchunguzi wa suala lake la ukwepaji kodi litakapomalizika. Hoeness mwenye umri wa miaka 61 amekuwa akishinikizwa kujiuzulu baada ya taarifa kuwa alikamatwa Machi 20 mwaka huu na baadae kuachiwa kwa dhamana ya kiasi cha euro milioni tano kama sehemu ya uchunguzi wa ukwepaji kodi. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya Ujerumani, Hoeness anatarajiwa kutangaza uamuzi wake baadae leo katika kikao cha bodi ya maofisa wa klabu hiyo. Bayern ambayo imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuing’oa Barcelona kwa jumla ya mabao 7-0 katika mechi za mikondo walizokutana wanatarajiwa kumenyana na wajerumani wenzao Borussia Dortmund katika Uwanja wa Wembley Mei 25 mwaka huu.

RCL MCHAKATO WA UPANGAJI KUCHUKUA NAFASI KESHO"

MCHAKATO wa  upangaji wa ratiba ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) uliokuwa ufanyike juzi (Mei 3 mwaka huu), sasa utafanyika kesho Jumanne (Mei 7 mwaka huu) na ligi hiyo itaanza Mei 12 mwaka huu kama ilivyopangwa.
Uamuzi huo umefanya na Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Mei 5 mwaka huu) kujadili maandalizi ya ligi hiyo, yakiwemo maombi ya baadhi ya mikoa ambayo haijamaliza yao kutaka RCL isogezwe mbele.
Kamati ya Mashindano chini ya Uenyekiti wa Blassy Kiondo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF ilipitia maombi hayo na kuangalia athari ambazo zinaweza kujitokeza huko mbele iwapo RCL itasogezwa mbele.
Baadhi ya athari iwapo RCL itasogezwa mbele ni timu zitakazopanda daraja kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kutopata muda wa kufanya usajili wa wachezaji kwa msimu mpya.

Hivyo draw hiyo itakayofanyika saa 6 mchana itahusisha mikoa ambayo tayari imemaliza ligi na kuwasilisha majina ya mabingwa wao. 
ni Abajalo SC (Dar es Salaam 2), Biharamulo FC (Kagera), Flamingo SC (Arusha), Friends Rangers (Dar es Salaam 3), Katavi Warriors (Katavi), Kiluvya United (Pwani), Kimondo FC (Mbeya) na Machava FC (Kilimanjaro).
Mingine ni Magic Pressure FC (Singida), Mbinga United (Ruvuma), Mji Njombe (Njombe), Polisi Jamii Bunda FC (Mara), Red Coast FC (Dar es Salaam 1), Rukwa United (Rukwa), Saigon FC (Kigoma), TECKFOLT FC ya Kilombero ambayo ni Shule ya Sekondari (Morogoro) na UDC FC ya Ukerewe (Mwanza).
Ada ya ushiriki ni sh. 100,000 wakati usajili wa wachezaji wa timu hizo ni uleule uliofanyika katika Ligi ya Mkoa na unatakiwa kuwasilishwa TFF kwa ajili ya uthibitisho.

TFF inapenda kusisitiza kuwa hakuna usajili mpya wa wachezaji kwa ajili ya ligi hiyo. Mikoa ambayo bado haijawasilisha mabingwa wake ni Dodoma, Geita, Iringa, Lindi, Manyara, Mtwara, Shinyanga, Simiyu, Tabora na Tanga.

KAGAME SASA NI WAKATI WA DARFUR NA KORDOFAN YA KUSINI.

KATIBU Mkuu wa Baraza la Michezo kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati-CECAFA, Nicholas Musonye amesema wameteua miji Darfur na Kordofan ya Kusini nchini Sudan kuwa wenyeji wa michuano ya vilabu inayoandaliwa na baraza hilo. Musonye amesema michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kati ya June 18 na Julai 2 mwaka huu. Aliendelea kusema kuwa wamefikia hatua hiyo baada ya kufanya ziara ya kukagua miundo mbinu pamoja na usalama katika miji hiyo ambayo imekabiliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa kipindi kirefu sasa. Amesema viwanja walivyochagua ni Uwanja wa El Fasher uliopo jijini Darfur na uwanja mwingine mdogo wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 20,000 uliopo Kordofan ya Kusini. Vilabu 13 vimeshathibitisha kushiriki michuano hiyo wakiwemo Yanga ya Tanzania ambao ndio mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

Sunday, May 5, 2013

SIMBA YAITWANGA RUVU SHOOTING BA 3-1 NAKUJIWEKA NAFASI YA 3


Wekundu wa msimbazi SIMBA leo imefanikiwa  kuitandika Ruvu Shootin kwa jumla ya  Bao 3-
katika Mechi ya VPL, Ligi Kuu Vodacom na kufanikiwa kukwea mpaka nafasi ya tatu. 
mabao ya Simba yafungwa  katika  Dakika ya 14 mfungaji akiwa Amri Kiemba Bao huku 
Kipindi cha Pili Ruvu Shootinga walichomoa katika Dakika ya 52 kwa Bao la Abdulrahman Musa
huku  Edward Christopher, Dakika ya 86 na Ismail Mkoko, Dakika ya 88.

MSIMAMO:


TIMU
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
YANGA
25
17
6
2
45
14
31
57
2
AZAM FC
24
14
6
4
42
20
22
48
3
SIMBA SC
24
11
9
4
37
23
14
42
4
KAGERA SUGAR
24
11
7
6
25
18
7
40
5
MTIBWA SUGAR
25
10
9
6
29
24
5
39
6
COASTAL UNION
25
8
11
6
25
23
2
35
7
RUVU SHOOTING
24
8
7
9
21
23
-2
31
8
JKT OLJORO
25
7
8
10
21
26
-5
29
9
TANZANIA PRISONS
25
7
8
10
16
22
-6
29
10
JKT RUVU
25
7
5
13
21
38
-17
26
11
MGAMBO SHOOTING
23
7
4
12
16
23
-7
25
12
POLISI MOROGORO
25
4
10
11
13
23
-10
22
13
TOTO AFRICAN
25
4
10
11
21
33
-12
22
14
AFRICAN LYON
25
5
4
16
16
38
-22
19

CHELSEA YAITANDIKA MAN UNITED MOJA TU KWA MTUNGI'


Katika mechiya BPL, Barclays Premier League, iliyopigwa hii leo  Uwanjani Old Trafford Chelsea imefanikiwa kuibuka na ushindi wa Bao 1-0  kuwafanya kupanda hadi nafasi ya 3.

MATOKEO YA LEO 
Jumapili 5 Mei
Liverpool 0 Everton 0
Man United 0 Chelsea 1 mfungaji dakika ya 87.
MSIMAMO WA LIGI KUU UINGEREZA BPL
BINGWA TAYARI NI MANCHESTER UNITED'
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
36
42
85
2
Man City
35
30
72
3
Chelsea
35
34
68
4
Arsenal
36
31
67
5
Tottenham
35
18
65
6
Everton
36
14
60
7
Liverpool
36
25
55
8
West Brom
35
1
48
9
Swansea
35
-1
43
10
West Ham
36
-8
43
11
Stoke
35
-10
40
12
Fulham
36
-11
40
13
Aston Villa
36
-21
40
14
Southampton
36
-11
39
15
Norwich
36
-22
38
16
Newcastle
36
-23
38
17
Sunderland
35
-12
37
18
Wigan
35
-22
35
19
Reading
36
-26
28
20
QPR
37
-29
25
TIMU HIZI TAYARI ZIMESHUKA DARAJA QPR & READING
kesho Jumatatu Mei 6
[Saa 4 Usiku]
Sunderland v Stoke
Jumanne Mei 7
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Man City v West Brom
Wigan v Swansea
KAZI IPO KATIKA TIMU HIZI KUWANIA 4 BORA KUCHEZA UEFA CHAMPIONS LIGI MSIMU UJAO
A. CHELSEA imeshuka dimbani mara 35 ikiwa na jumla ya pointi 68.
 Mechi zilizobakisha kwa upande wake.
Jumatano Mei 8
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Chelsea v Tottenham
Jumamosi Mei 11
[Saa 8 Dak 45 Mchana]
Aston Villa v Chelsea
Jumapili 19 Mei
[Saa 12 Jioni]
Chelsea v Everton
B. ARSENAL imecheza dimbani mara 36 ikijikusanyia pointi 67
Mechi ilizobakisha kwa upande wake.
Jumanne Mei 14
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Wigan
Jumapili 19 Mei
[Saa 12 Jioni]
Newcastle v Arsenal.
C.TOTTENHAM imeshuka uwanjani mara 35 ikiwa na jumla ya pointi 65.
Mechi zilizobaki kwa upande wake.
Jumatano Mei 8
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Chelsea v Tottenham
Jumapili Mei 12
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Stoke v Tottenham
Jumapili 19 Mei
[Saa 12 Jioni]
Tottenham v Sunderland

RATIBA RCL KUPANGWA J’NNE, LIGI KUANZA MEI 12


Upangaji ratiba (draw) ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) uliokuwa ufanyike juzi (Mei 3 mwaka huu), sasa utafanyika Jumanne (Mei 7 mwaka huu) na ligi hiyo itaanza Mei 12 mwaka huu kama ilivyopangwa.

Uamuzi huo umefanya na Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana leo (Mei 5 mwaka huu) kujadili maandalizi ya ligi hiyo, yakiwemo maombi ya baadhi ya mikoa ambayo haijamaliza yao kutaka RCL isogezwe mbele.

Kamati ya Mashindano chini ya Uenyekiti wa Blassy Kiondo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF ilipitia maombi hayo na kuangalia athari ambazo zinaweza kujitokeza huko mbele iwapo RCL itasogezwa mbele.

Baadhi ya athari iwapo RCL itasogezwa mbele ni timu zitakazopanda daraja kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kutopata muda wa kufanya usajili wa wachezaji kwa msimu mpya.

Hivyo draw hiyo itakayofanyika saa 6 mchana itahusisha mikoa ambayo tayari imemaliza ligi na kuwasilisha majina ya mabingwa wao. Mabingwa ambao wamewasilishwa na mikoa yao kwenye mabano ni Abajalo SC (Dar es Salaam 2), Biharamulo FC (Kagera), Flamingo SC (Arusha), Friends Rangers (Dar es Salaam 3), Katavi Warriors (Katavi), Kiluvya United (Pwani), Kimondo FC (Mbeya) na Machava FC (Kilimanjaro).

Mingine ni Magic Pressure FC (Singida), Mbinga United (Ruvuma), Mji Njombe (Njombe), Polisi Jamii Bunda FC (Mara), Red Coast FC (Dar es Salaam 1), Rukwa United (Rukwa), Saigon FC (Kigoma), TECKFOLT FC ya Kilombero ambayo ni Shule ya Sekondari (Morogoro) na UDC FC ya Ukerewe (Mwanza).

Ada ya ushiriki ni sh. 100,000 wakati usajili wa wachezaji wa timu hizo ni uleule uliofanyika katika Ligi ya Mkoa na unatakiwa kuwasilishwa TFF kwa ajili ya uthibitisho. TFF inapenda kusisitiza kuwa hakuna usajili mpya wa wachezaji kwa ajili ya ligi hiyo.

Mikoa iliyoshindwa kuwasilisha mabingwa wake ni Dodoma, Geita, Iringa, Lindi, Manyara, Mtwara, Shinyanga, Simiyu, Tabora na Tanga.

TAIFA STARS KUANZA COSAFA JULAI 6
Taifa Stars imepangwa kundi A la michuano ya Kombe la COSAFA ambapo itacheza mechi yake ya kwanza Julai 6 mwaka huu jijini Lusaka, Zambia dhidi ya Shelisheli.

Upangaji ratiba (draw) wa mashindano hayo ulifanyika juzi (Mei 3 mwaka huu) jijini Lusaka ambapo timu nyingine zilizo na Taifa Stars katika kundi hilo ni Namibia na Mauritius. Kundi la Taifa Stars litachezea mechi zake jijini Lusaka.

Mechi ya pili ya Taifa Stars katika hatua ya makundi itakuwa Julai 8 mwaka huu dhidi ya Mauritius. Mechi ya mwisho katika hatua hiyo itakuwa Julai 10 mwaka huu dhidi ya Namibia.

Kundi B lina timu za Kenya (Harambee Stars), Botswana (Zebras), Lesotho na Swaziland. Hatua itakayofuata baada ya hapo ni ya mtoano (knockout) na kila kundi litatoa timu moja tu.

Iwapo Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itafuzu kwa hatua itakayofuata itacheza Julai 13 mwaka huu na Afrika Kusini (Bafana Bafana) ambayo pamoja na timu nyingine tano zimekwenda moja kwa moja katika hatua ya mtoano.

Nyingine zilizokwenda moja kwa moja hatua ya mtoano ni wenyeji Zambia, Angola, Zimbabwe, Msumbiji na Malawi ambazo kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ziko juu ya zile zilizoanzia hatua ya makundi.

Kwa mujibu wa ratiba hiyo, fainali ya michuano ya Kombe la COSAFA itafanyika Julai 20 mwaka huu.

AZAM FC KUREJEA NYUMBANI KESHO
Timu ya Azam inatarajiwa kurejea nchini kesho (Mei 6 mwaka huu) saa 7 mchana kwa ndege ya Emirates kutoka Morocco ambapo jana (Mei 5 mwaka huu) ilicheza mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya AS FAR Rabat ya huko.

Azam ilipoteza mechi hiyo kwa mabao 2-1, hivyo kutolewa katika raundi ya pili ya mashindano hayo. Mechi ya kwanza iliyochezwa jijini Dar es Salaam timu hizo zilitoka suluhu.
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)