Saturday, May 18, 2013

BUNDASLIGA TAMATI LEO, BPL,LA LIGA NA SERIA A TAMATI KESHO.

Katika anga za michezo barani ulaya ligi mbalimbali hufikia tamati hapo kesho lakini kwa hapa bongo na kule nchini ujerumani  ligi kuu nchini humo imefikia tamati hii ambapo timu zite zimeshuka dimbani katika viwanja mbalimbali nchini humo ikimbukwe bingwa wa nchini humo ni bayen munich tazama matokeo kwa uzuri hapa kwa table:
BUNNDASLIGA
MATOKEO YA LEO MEI 18
Germany - Bundesliga I. (Table)

May 18 
 FTAugsburg3 - 1Greuther Furth
 FTBorussia Dortmund1 - 2Hoffenheim
 FTEintracht Frankfurt2 - 2Wolfsburg
 FTFreiburg1 - 2Schalke
 FTHamburger SV0 - 1Bayer Leverkusen
 FTHannover3 - 0Fortuna Dusseldorf
 FTMonchengladbach3 - 4Bayern Munich
 FTNurnberg3 - 2Werder Bremen
 FTStuttgart2 - 2Mainz
MSIMAMO: TIMU 10 ZA JUU.
**BINGWA BAYERN MUNICH
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Bayern Munich
34
28
4
1
94
18
82
92
2
BV Borussia Dortmund
34
19
9
5
80
42
41
66
3
Bayer 04 Leverkusen
34
18
8
7
64
39
26
65
4
Schalke 04
34
15
7
11
56
49
9
55
5
SC Freiburg
34
14
9
10
44
38
6
51
6
Eintracht Frankfurt
34
14
8
11
47
44
3
51
7
Hamburger SV
34
14
6
13
42
52
-10
48
8
Mönchengladbach
34
12
11
10
42
45
-3
47
9
Hannover 96
34
12
6
15
57
62
-5
45
10
VfL Wolfsburg
34
10
12
11
45
50
-5
43
LIGI KUU YA ENGLAND
JUMAPILI, Mei 19
Chelsea              v Everton             saa (12:00) jioni  
Liverpool            v Queens Park Rangers saa (12:00) jioni  
Manchester City      v Norwich City        saa (12:00) jioni  
Newcastle United     v Arsenal             saa (12:00) jioni  
Southampton          v Stoke City          saa (12:00) jioni  
Swansea City         v Fulham              saa (12:00) jioni  
Tottenham Hotspur    v Sunderland          saa (12:00) jioni  
West Bromwich Albion v Manchester United   saa (12:00) jioni  
West Ham United      v Reading             saa (12:00) jioni  
Wigan Athletic       v Aston Villa         saa (12:00) jioni

MSIMAMO:
*MAN UNITED BINGWA
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man United
37
43
88
2
Man City
37
33
78
3
Chelsea
37
35
72
4
Arsenal
37
34
70
5
Tottenham
37
19
69
6
Everton
37
16
63
7
Liverpool
37
27
58
8
West Brom
37
-4
48
9
Swansea
37
-1
46
10
West Ham
37
-10
43
11
Stoke
37
-11
41
12
Norwich
37
-18
41
13
Newcastle
37
-22
41
14
Southampton
37
-11
40
15
Fulham
37
-13
40
16
Aston Villa
37
-22
40
17
Sunderland
37
-12
39
18
Wigan *
37
-26
35
19
Reading *
37
-28
28
20
QPR *
37
-29
25
*ZIMESHUKA DARAJA
LIGI KUU NCHINI ITALIA.

RATIBA:
Jumapili Mei 19
Atalanta v Chievo Verona
Bologna v Genoa
Internazionale v Udinese
AS Roma v Napoli
Torino FC v Catania
Siena v AC Milan
Pescara v Fiorentina
Palermo v Parma
Cagliari v SS Lazio
MSIMAMO:
**BINGWA JUVENTUS
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Juventus
37
27
6
4
69
21
48
87
2
Napoli
37
23
9
5
72
34
38
78
3
AC Milan
37
20
9
8
65
38
27
69
4
Fiorentina
37
20
7
10
67
43
24
67
5
Udinese
37
17
12
8
54
43
11
63
6
SS Lazio
37
18
7
12
51
41
10
61
7
AS Roma
37
17
8
12
69
55
14
59
8
Catania
37
15
10
12
48
44
4
55
9
Inter Milan
37
16
6
15
53
52
1
54
10
Parma
37
12
10
15
42
45
-3
46
11
Cagliari
37
11
11
15
42
55
-13
44
12
Chievo
37
12
8
17
35
50
-15
44
13
Bologna
37
11
10
16
46
52
-6
43
14
Sampdoria
37
10
10
17
40
49
-9
39
15
Atalanta
37
11
8
18
37
54
-17
39
16
Torino FC
37
8
15
14
44
53
-9
38
17
Genoa
37
8
13
16
38
52
-14
37
18
Palermo
37
6
14
17
33
51
-18
32
19
Siena
37
9
9
19
35
55
-20
30
20
Pescara
37
6
4
27
26
79
-53
22
LIGI NCHINI HISPANIA LA LIGA
LA LIGA
RATIBA:
Jumamosi Mei 18
Getafe CF v Valencia
Granada CF v Osasuna
Sevilla FC v Real Sociedad
Jumapili Mei 19
Levante v Rayo Vallecano
Deportivo La Coruna v RCD Espanyol
Real Zaragoza v Athletic de Bilbao
FC Barcelona v Real Valladolid
Jumatatu Mei 20
Real Mallorca v Real Betis
Jumapili Mei 26
Athletic de Bilbao v Levante
Atletico de Madrid v Real Mallorca
MSIMAMO:
*BINGWA FC BARCELONA
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
35
29
4
2
107
38
69
91
2
Real Madrid CF
36
25
6
5
96
37
59
81
3
Atletico de Madrid
36
22
6
8
62
30
32
72
4
Real Sociedad
35
16
11
8
64
45
19
59
5
Valencia
35
17
8
10
62
50
12
59
6
Malaga CF
36
15
9
12
49
45
4
54
7
Real Betis
35
15
7
13
52
54
-2
52
8
Sevilla FC
35
13
8
14
52
47
5
47
9
Getafe CF
35
13
8
14
42
52
-10
47
10
Rayo Vallecano
35
14
4
17
43
61
-18
46
11
RCD Espanyol
35
11
11
13
43
47
-4
44
12
Real Valladolid
35
11
10
14
46
50
-4
43
13
Levante
35
11
9
15
36
53
-17
42
14
Athletic  Bilbao
35
11
8
16
40
61
-21
41
15
Osasuna
35
9
9
17
29
42
-13
36
16
Granada CF
35
9
9
17
32
53
-21
36
17
Real Zaragoza
35
9
7
19
35
53
-18
34
18
Deportivo 
35
7
11
17
44
66
-22
32
19
Celta de Vigo
36
8
7
21
34
52
-18
31
20
Real Mallorca
35
7
8
20
38
70
-32
29

JOSE MOURINHO ASEMA HUU ULIKUWA MSIMU WANGU MBAYA"".

KOCHA wa klabu ya Real Madrid, Jose Mourinho ametanabaisha kuwa msimu huu kwamba ni mbaya zaidi kwake katika maisha yake ya soka baada ya kushuhudia kikosi cvhake kikitoka kapa kwa kukubali kipigo cha mabao 2-1 kwenye muda wa nyongeza dhidi ya Atletico Madrid katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mfalme. Madrid tayari walishalitema taji la La Liga kwa mahasimu wao Barcelona na kuenguliwa na Borussia Dortmund katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hivyo Kombe la Mfalme ndio ilikuwa karata ya mwisho kwa Mourinho msimu huu kuondoka taji lakini nalo lilishindikana. Mourinho amesema kwa makocha wengine nafasi ya pili aliyopo katika ligi, na kufika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya pamoja na kucheza fainali ya Kombe la Mfalme ni mafanikio lakini kwake umekuwa msimu mbaya zaidi. Kocha huyo pia alikwepa swali kwamba msimu ujao ana mpango wa kutimkia klabu ya Chelsea akidai kuwa kwasasa anachojua bado ana mkataba na Madrid, na pia hajakaa chini na rais wa klabu hiyo kuzungumzia mstakabali wake wa huko mbele.

ATHLETICO MADRID YATWAA UBINGWA YAICHALAZA REAL MADRID 2-1.

CLUB ya  soka ya  Atletico Madrid usiku wa jana ilifanikiwa kuifunga Read Madrid kwa goli 2-1 na kuchukua kombe la Copa del Rey katika fainal iliyopigwa Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid Uhispania.
Read Madrid ndio iliyokua ya kwanza kupata goli kupita kwa Ronaldo katika dakika ya 14 kabla ya kiungo Diego Costa kuisawazishia Atletico dakika ya 35 nakufanya matokeo kuwa 1-1 mpaka dakika 90 zinamalizika.
Alikuwa ni beki wa kibrazil Miranda alipeleka kilio kwa kikosi cha Jose Mourinho mara baada ya kufunga goli la pili na la ushindi kwa timu yake katika dakika ya 99 mara kuwa zimeongezwa dakika 120.
Fainali hiyo ya jana iligubikwa na vitendo vibaya vilivyooneshwa na wachezaji kutoka timu zote mbili na muhamuzi kutoa jumla ya kadi za njano 13 na nyekundu 2 kwa timu zote mbili.
Nyota wa Real Madrid Ronaldo ye akipata kadi nyekundu katika dakika ya 114 huku akiwa na kadi ya njano kabla na Fernandez wa Atletico pia akipewa nyekundu dakika ya mwisho ya 120 baada ya awali kuwa na kadi ya njano.

FERGUSON BALE WATWAA TUZO YA MSIMU WA BPL LIGI KUU UINGEREZA.

Meneja wa Manchester United,Sir Alex Ferguson na Mchezaji wa Tottenham Gareth Bale jana walipewa tuzo za msimu wa ligi kuu ya Uingereza.
Ferguson ameshinda tuzo ya kocha bora wa msimu huku Bale akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu huu unaomalizika kesho na tayari Man United imetwaa ubingwa huo.
Hii inakuwa tuzo ya 11 kwa Ferguson na akiwa ameshinda makombe 38 na United huku 13 yakiwa ya ligi kuu ya Uingereza.Pia akiwa ametangaza kustaafu baada ya kuifundisha timu hiyo kwa miaka 26 na Jumapili hii atakua anakamilisha mechi yake ya 1,500 tangu aanze kuifundisha timu hiyo.
Bale akiwa amefunga magoli 19 msimu huu huku akiwa amecheza michezo 29 amekuwa mchezaji wa kwanza wa Tottenham na raia wa Wales kutwaa tuzo hiyo.
Hii ni tuzo ya nne kwa mchezaji huyo kutoka Wales baada ya kuchukua ile ya mchezaji bora wa PFA,Mchezaji bora chipukizi na Mchezaji bora wa Chama cha Waandishi wa habari za soka nchini Uingereza.
Tottenham watakuwa na kazi kubwa ya kumbakiza Gareth Bale katika klabu hiyo kutokana na kiwango bora alichoonesha msimu huu kwani timu nyingi zimeonyesha nia ya kutaka kumnyakua.

BRAZIL YAJA NA ROBOTI KATIKA KUHAKIKISHA ULINZI MICHEZONI.

SERIKALI ya nchini Brazil imesema baadhi ya roboti za kuimarisha usalama zilizonunuliwa kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia 2014 zitakuwa tayari kutumika wakati wa Kombe Shirikisho itakayoanza kutimua vumbi Juni mwaka huu. Kampuni ya iRobot imesema roboti 30 zitawasilishwa kabla ya mwisho wa mwaka pamoja na vipuri na vifaa vingine vya kusaidia katika kuzitumia. Serikali ilithibitisha Alhamisi kuwa baadhi zitakuwa tayari kutumiwa katika miji sita itakayokuwa wenyeji wa mechi za Kombe la Shirikisho. Kampuni hiyo imesema serikali ya Brazil iliyotia saini mkataba wa $7.2 milioni, ambao unahusisha magari madogo yasiyokuwa na dereva ambayo yanaweza kutumiwa kupeleleza, kupekua na kuondoa mabomu pamoja na shughuli nyingine za kudumisha utawala wa sheria. Michuano ya Kombe la Shirikisho ni ya kwanza katika msururu wa hafla za ngazi ya juu za michezo zitakazoandaliwa na Brazil, ikiwa ni pamoja na Kombe la Dunia na Olimpiki 2016 jijini Rio de Janeiro.

PATA MAKALA KUHUSU CLUB YA MAN UNITED KATIKA HARAKATI ZA SOKA.

                                                        SEHEMU YA KWANZA. 
Manchester United ni klabu ya kandanda  ndani ya nchi ya Uingereza, ambacho ni mojawapo ya vilabu maarufu sana ulimwenguni makao  yake yapo Old Trafford eneo la Greater Manchester. Klabu hii ilikuwa mwanachama mwanzilishi wa Ligi ya Primia mwaka 1992, na kimeshiriki mara nyingi katika soka la Uingereza tangu mwaka wa 1938, isipokuwa msimu wa 1974-75. Mahudhurio ya wastani  ya klabu  hii yamekuwa ya juu kuliko timu nyingine yoyote katika  soka la Uingereza kwa misimu yote isipokuwa sita tangu 1964-65.
Manchester United ndiyo bingwa wa sasa wa Uingireza na ndio wasshiriki wa Kombe la Dunia la Vilabu, baada ya kushinda Ligi ya Primia 2008-09 na Kombe la Dunia la FIFA. Klabu hicho ni miongoni mwa vilabu vyenye ufanisi mkubwa katika historia ya kandanda la Uingereza na kimeshinda mataji makubwa 22 tangu Alex Ferguson alipochukua wadhifa wa meneja wake mnamo Novemba 1986. Mwaka wa 1968 ilikuwa klabu cha kwanza kushinda Kombe la Uropa kwa kuifunga  Benfica 4-1. Walishinda kombe la pili la Ulaya kama sehemu ya ushindi wa mataji matatu mwaka 1999, na la tatu mwaka wa 2008, kabla ya kumaliza katika nafasi ya pili mwaka 2009. Kilabu hicho kinashikilia rekodi mbili ya kushinda mataji mengi ya Ligi ya Uingereza mara 18 na pia kushikilia rekodi kwa wingi wa kutwaa kombe la FA ikiwa imeshinda mara 11.
Tangu mwisho wa mwaka ya 1990, kilabu hicho kimekuwa mojawapo ya vilabu tajiri duniani kilicho na mapato ya juu kuliko kilabu chochote,na sasa kinatajwa kama kilabu chenye thamani zaidi katika mchezo wowote, na makisio ya thamana ya takriban bilioni £ 1.136 (bilioni € 1.319 ) Aprili 2009.Manchester United ilikuwa mwanachama mwanzilishi wa kundi la vilabu la G-14 la Vilabu kuu vya kandanda Uingereza ambalo halipo tena, na European Club Association ,muungano uliochukua nafasi yake.
Alex Ferguson amekuwa meneja wa kilabu hicho tangu 6 Novemba 1986 alipojiunga na kilabu hicho kutoka Aberdeen baada ya kung'atuka kwa Ron Atkinson. Nahodha wa kilabu wa sasa ni Garry Neville, aliyechukua nafasi ya Roy Keane Novemba 2005.